St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,638
- 4,522
- Thread starter
- #21
masikini wee....kumbe na wao wanapataga ukame.....jamani jamani....
Tena usiombe,ukame wao hauwezi kuridhishwa na mwanaume mmoja hao unaowaona hapo ni wa kufugwa na hakuna dume karibu ndio maana wako hivyo,Ukiwapelekea mwanaume wanaweza kumuua maana wao huwa hata majike yana uwezo wa kubaka...