St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,633
- 4,513
Sitawachambua kwa undani sana kwani nina imani picha zitajieleza zenyewe.....
Huyu ni Sokwe mtu ambaye anakaribiana sana na binadamu kitabia na hata kijenetiki 98% ya genes zake ni sawa na za mwanadamu..na hana mkia kama wengine..
Huyu ni Sokwe mtu ambaye anakaribiana sana na binadamu kitabia na hata kijenetiki 98% ya genes zake ni sawa na za mwanadamu..na hana mkia kama wengine..