Kitabu cha Lucifer - enki kilicho potea. Kibao cha sita

Nov 7, 2019
27
60
SIXTH TABLET OF LOST BOOK OF ENKI.
(THE CREATION OF FIRST HUMAN BEING)

Mwandishi OLYME SONGO III STUDENT A MEMBER OF JAMES KORDY KASHIRINA TEAM.

Mara ya mwisho tuliona viongozi wakipigwa na butwaa na mpango wa Enki kutengeneza jamii ya wafanyakazi(LULU) kutoka kwenye viumbe jamii ya nyani, Lady ninmah aliona ni jambo gumu lisiliwezekana.

Lakin Enki aliendelee kuwaeleza viongozi wote juu ya mpango wake wa kuweka DNA zao kwenye viumbe hao wa Abzu ambao walikua wakitembea wima kwa miguu miwili,miguu yao ya mbele wakiitumia kama mikono,walikua hawavai nguo, walikua wakila majani kwa mikono yao na kunywa maji kutoka kwwnye ziwa,nywele zimeufunika mwili wote,na kichwani nywele ni nyingi kama simba.

(Bila shaka tunaona hao ni viumbe jamii ya nyani.)

Enlil aliendelea kubisha juu ya uwepo wa viumbe hao sababu hajawahi kuwaona sehemu yoyote ile.
Ninmah alikua akiwaza, inawezekana hata mababu wa mababu(ancestors) zao huko Nibiru waliwahi kuwa hivyo, na kupelekea kusema hao sio viumbe wa ajabu bali ni viumbe wa kawaida (it is a Being, not a creature)

Enki aliwachukua wote kuwapeleka kwenye Nyumba ya uzima/"House of life" ambako alikuwa amewafungia viumbe hao ndani ya mabanda.
Waliwaona wakiwarukia huku wengine wakipiga ngumi mabanda, walikua hawawezi kuongea neno lolote zaidi ya kukoroma na kuguna guna.

Enki aliwaeleza kuwa viumbe hao wanafanana na wao, sababu wana uke na uume,wanaweza kuzaliana, pia majibu kutoka majaribio ya Ningishzidda(mtoto wa Enki) yanaonesha nao wana DNA kama zetu(double helix) hivyo tukiweka alama zetu(DNA) basi viumbe hawa wataimarika(-na kuwa primitives worker) wataweza kufuata maelekezo yetu hivyo kupunguza karaha za wafanyakazi(Anunnaki) kuchimba dhahabu.

Enlil alipinga jambo hilo kwa hoja mbili, "utumwa tulishautokomeza miaka mingi iliyopita huko Nibiru, zana za kazi tulizifanya watumwa wetu na sio watu(being)".
Pili, hatukuja kuleta maisha mapya dunia ila kuchimba dhahabu, kuumba kitu kisichokuwepo na kukiweka katika uwepo hiyo ni kazi ya "Father of All"

ENKI alimjibu kusema, hatutengenezi watumwa bali wasaidizi.
Naye Ninmah akaongezea, hatuumbi kiumbe mpya bali tunamuimarisha/kumuongeze uwezo kiumbe ambaye tayali yupo.
ENLIL hakuacha kupinga sababu kuumba viumbe wapya ilikua ni kinyume na taratibu au sheria za kusafiri kutoka sayari moja kwenda nyingine (rules of planetary journey).
pia aliona ni kama kumsaidia "Father of all" kazi yake ya uumbaji. Lakin Ninmah alimjibu kumueleza kuwa "Father of all" amewapa akili,ufahamu na maarifa kwahiyo hii ni hatima yetu kuvitumia tulivyopewa.
NINURTA alimjibu mama yake(Ninmah): kwa hizo akili na ufahamu tumetengeneza vyombo vya anga, milima tunaisambaratisha kwa miale, hata anga letu la Nibiru tunaliponya kwa dhahabu, hivyo inapasa kutumia akili na ufahamu kwa ajili ya kutengeneza zana mpya mashine mpya na siyo watumwa.

NINGISHIZZIDA: matumizi ya ufahamu wetu hayawezi kuzuilika, na hatima haiwezi kubadilika tangu mwanzo hutafutwa.
ENLIL: Je, hivi ndivyo ilivyopangwa tangu mwanzo(destiny) au ni sisi ndo tunajiamlia(fate)?

Mjadala haukuishia hapo waliendelea kubishana na mwishowe waliwasilisha hilo jambo kwa mfalme Anu na baraza lote la Nibiru.
Baada ya majadiliano na makubaliano, Anu na baraza lake walikubaliana kuachana na sheria za kusafiri katika sayari ili nibiru iokolewe.
Anu alikubali wazo la kuwatengeneza LULU ili kurahisisha Mission yao ya dhahabu.
Taarifa zilitumwa kutoka ikulu ya Nibiru, lord Enki alizifurahia taarifa hizo. Alimuomba Lady Ninmah ashirikiane nae sababu ya uwezo wake mkubwa kwenye kwenye maswala ya hayo.

Ennugi ofisa mkuu wa machimbo ya Abzu aliwatangazia anunnaki wote wa Abzu, utengenezaji wa LULU utakapokamilika, kufanya kazi machimboni itakuwa ni hiari sio lazima. Basi wafanyakazi wa migodini waliacha kufanya uasi na kurudi tena kazini.

Ndani ya nyumba ya uzima, Ninmah alioneshwa majaribio mbali mbali ya kijenetiki ya wanyama tofauti.
Alimpeleka kwa Ningishzidda aliyemuelezea zaid kuhusu Genetic engineering na namna ya kuunganisha vinasaba.
Ningishzidda alimuonesha kanuni takatifu zilizohifadhiwa ndani ya "Me"
Ninmah alitazama namna viumbe wa kiume waliopo kwenye mabanda wanavyofanya mapenzi.
Baada ya kuuliza maswali mengi, Ninmah alipendekeza kiumbe jinsia ya kike apewe mimba na Anunnaki mwanaume, ili kizaliwe kichanga/"offspring" chenye vinasaba mchanganyiko, lakin Enki alijibu kusema wamefanya hivyo mara nyingi lakini hawajafanikiwa kutungisha mimba hata mara moja.

Baada ya kuumiza kichwa zaidi, Ninmah alipendekeza wachukue yai(ovum) la kiumbe jamii ya kike, walipandikize DNA za Anunnaki mwanaune kisha warudishe yai lililorutubishwa ndani ya tumbo la kiumbe jamii ya kike.

Baada ya Ninmah kufanya hivyo, mimba ilifanikiwa kutunga ndani ya tumbo la kiumbe huyo wa kike.
Walipiga hesabu tarehe ya kujifungua (Expected Date Of Delivery<EDD>) kila mmoja kamoyo kalikuwa juu juu(anxious) kusubiri tarehe hiyo ifike.

Muda ulipofika kiumbe huyo alishindwa kujifungua/kuzaa, ilimpasa Lady Ninmah kumfanyia upasuaji(Caesarian delivery) na kumtoa kiumbe huyo.
Kichanga(Newborn) kilikua kipo hai, Enki alishangilia,Ningishzidda alilia kwa furaha lakini Ninmah hakufurahia kwa sababu kichanga hicho kilifunikwa na nywele/manyoya mwili wote, miguu yake ya mbele ilikua sawa na viumbe wa duniani(viumbe jamii ya nyani), miguu ya nyuma ilikua kama ya anunnaki.

Walimwacha mama(kiumbe jamii ya nyani) akinyonyeshe kichanga na kichanga huyo alikua kwa kasi.
Mtoto huyo mpya alikuwa kwa kasi, uso wake haukua na sura kama za Anunnaki, mikono yake haikuwa ya kushika zana za kazi na kuongea kwake kulikuwa ni kwa kukoroma
Ninmah akishirikiana na Enki na Ningishzidda, walirudia tena upandikizaji wa mbegu za Anunnaki kweny yai la kiumbe jamii ya nyani.
Kwa umakini mkubwa Ninmah aliboresha uchanganyaji wa vinasaba vya yai/ova na sperm(mbegu) za Anunnaki kisha kurirudisha yai lililorutubishwa(fertilized) ndani ya tumbo la uzazi la kiumbe jamii ya nyani.

Kiumbe alipata mimba na siku ya kujifungua iliwadia. Kichanga kilinyonyeshwa na mama yake baada ya muda aliongezeka kimo,
Alikua na sura yenye mfanano na Anunnaki, mikono yakuweza kushika zana za kazi, ufahamu wa mtoto huyo ulikuwa na mapungufu sababu alikua hawezi kusikia , uwezo wa kuona ulikua dhaifu sana.
Bila kuchoka Lady ninmah alirudia zoezi la uchanganyaji vinasaba (genetic engineering) lakini hakufanikiwa sababu alipata matokeo chini ya kiwango.
Alipata watoto waliopalalaizi("paralyze") miguu,mwengine mikono ilikua ikitetemeka,mwingine alikuwa na matatizo ya ini,mwingine na matatizo ya mapafu,mwingine alipata mikono mifupi isiyofika mdomon.

Enki alikatishwa tamaa na matokeo hayo sababu alishindwa kupata kiumbe wa kuweza kufanya kazi.
Lakin Ninmah alimwambia kaka yake kuwa bado anamsukumo wa kuendelea na majaribio.
Ninmah alifanya jaribio lingine lakina bado hakufanikiwa

Baada ya kutafakari kwa muda, Lord Enki alipata wazo kuwa tatizo linaweza lisiwe kwenye uchanganyaji(genetic engineering) ila kwenye kifaa(vessel) ya kuchanganyia.
Enki aliona inatakiwa kutumia kifaa cha kuchanganyia kilichotengenezwa na marighafi za hapa duniani na sio kutumia kifaa kilichotengenezwa Nibiru,
Enki alipendekeza kifaa kitengenezwe kwa udongo wa mfinyanzi wa huko Abzu.

Ninmah alikubaliana na wazo la Enki, na kutengeneza chombo kisha kukisafishabkwa ajili ya kazi ya uchanganyaji wa vinasaba.
Alirudia tena zoezi la upandikizaji mimba kwenye kiumbe jamii ya nyani kwenye chombo kilichotengenezwa kwa udongo wa Abzu.
Baada ya mtoto kuzaliwa, Enki na Ningishzidda walimpongeza Ninmah kwa kazi nzito aliyoifanya na kuruhusu kichanga anyonyeshwe.
Baada ya mtoto huyo kukuwa walikuja kugundua nae anakasoro ya kuelewa, hawezi kuongea zaidi ya kukoroma na kugunaguna.

Enki aliwaza zaidi mara zote wamekuwa wakiweka yai lililorutubishwa ndani ya tumbo la uzazi la kiumbe wa duniani jamii ya nyani, alidhania tumbo hilo la uzazi linaweza kuwa kikwazo katika kupata kichanga"newborn" asiye na mapungufu. Alipendekeza yai lililorutubishwa liwekwe ndani ya tumbo la uzazi la Anunnaki mwanamke.

Ukimya ulitawala ndani ya nyumba ya uzima, sababu hakuna aliyewaza wala kusikia maneno kama hayo kabla.
Ndipo Ninmah alivunja ukimya kusema "maneno yako yanahekima kaka, inawezekana mchanganyiko sahihi unawekwa kwenye tumbo lisilosahihi" Kwa sauti ya kutetemeka Ninmah aliuliza je, ni Anunnaki gani yupo tayali kuruhusu tumbo lake libebe ujauzito?
Enki alikubali mkewe Ninki/Damkina kubeba mimba yenye mchanganyiko wa vinasaba vya Anunnaki na viumbe vya duniani jamii ya nyani.
Muda Enki anapotaka kuondoka kwenda kwa mkewe ili amshawishi, Lady Ninmah alimshika mkono begani kumwambia "mimi ndo ninayetengeneza mchanganyiko wacha pongezi au hatari vinikute mimi mwenyewe, nimejitolea tumbo langu kubeba ujauzito either kwa hatima mbaya au nzuri"
Enki aliinamisha kichwa chake kisha kumkombatia na kusema "na iwe hivyo"

Kama kawaida wakachanganya mchanganyiko wa yai la kiumbe wa duniani na vinasaba vya Anunnaki mwanaume kwenye chimbo cha udongo, Enki mwenyewe ndiye aliyeuweka mchanganyiki huo ndani ya tumbo la uzazi la Ninmah. Mimba ilitungwa ndani ya Ninmah na kila mtu alijiuliza atajifungua baada ya muda gani, je ni miezi tisa ya Nibiru au miezi tisa ya duniani?
Lakini kwa muda mrefu zaidi ya miezi tisa ya duniani na muda mchache kuliko miezi 9 ya Nibiru, Ninmah alijifungua mtoto wa kiume mwenye muonekano kama Anunnaki.
Enki alikapiga matako nako kakalia kama kilio kama ilivyokawaida. Ninmah alifurahi na kusema kazi ya mikono yangu imefanikiwa.
Walipomchunguza kichanga huyo waliona hana mapungufu yotote kama wale waliozaliwa mwanzo, alikua na kichwa chenye nywele nyeusi, na ngozi nyeusi laini kama ya anunnaki.
Alikua na "penis"(uume) yenye gomvi-ngozi inayofunika kichwa cha penis tofauti na Anunnaki ambao penis zao zilikua hazina gomvi.
Enki alisema na hii iwe tofauti ya earthings na Anunaki.
Enki alimwangalia Ninmah anavyomnyonyesha kichanga, naye akasema machoyangu yanamuona mama na mwanae wala sio Ninmah na kiumbe.

Enki alimuuliza utampa jina gani maana huyu sio kiumbe tena bali ni mtu(A Being he is, not a creature)
Ninmah alimtazama mwanae huku akimpapasa ngozi yake, alimwita Adam akimaanisha yeye ambaye anafanana na udongo wa dunia (ADAM-One Who Like Earth's Clay Is)

Enki akasema, mfano wa wafanyakazi tunaohitaji tumepata,adamu atalelewa kama mzaliwa wa kwanza, kamwe hatohusishwa na kazi za migodini ila vinasaba vyake vitatumiwa kuzalisha kundi kubwa la wafanyakazi kama yeye.
Ninmah alifurahisha na maneno hayo, Ningishzidda aliuliza je, tutapata wapi matumbo ya kubebesha mayai ya viumbe jamii ya nyani yaliyorutushishwa?

Ninmah akasuluhisha tatizo , kwa kuahidi kuwaita manesi wake waliopo kule Shurubak mji wa uponyaji/Healing city.

Anunnaki 7 waliokubali zoezi hilo walipita mbele na Ningishzidda akiweka majina yao katika kumbukumbu nao walikuwa ni Ninimma, Shuzianna, Ninmada, Ninbara, Ninmug, Musardu na Ningunna.

Kama kawaida, ninmah alichukua mayai 7 ya viumbe jamii ya nyani na kuyaweka kweny chombo cha udongo kisha kufanya uchanganyaji wa kijenetiki na vinasaba vya Adamu kisha alikata kidog gomvi la Adamu kisha kunyunyizia tone la damu kwenye vyombo 7 na kusema hili itakua ni ishara ya maisha nyama na roho vinaunganishwa pamoja, na kwenye vyombo hivi vya udongo watu wa duniani(earthlings) na Anunnaki wanaunganishwa.
Wakati Ninmah akisema yote hayo, Ningishzidda alikua akiyarekodi maneno hayo katik kumbukumbu.

Baada ya muda, wafanyakazi 7 walizaliwa katika matumbo ya Anunnaki kwa ajili ya kazi za migodini, Ningishzidda alikuwa na mpango wa kurudia zoezi ili wapatikane wengine zaid Enki alimwambia tutarudia maranyingi lakini bado watakuwa wachache, Ninmah alipendekeza kutengeneza watu wa kike ili wazaliane wao kwa wao na kuondoa karaha kwa Anunnaki wanawake.

Enki alimwambia Ningishzidda abadilishe formula iliyopo kwenye kifaa cha "Me" kwa ajili ya kupata mtoto wa kike.
Enki alikubali mke wake damkina kwa ajili ya zoezi zima la kubeba mimba ya mtoto wa kike.
Walimuita Damkina kwenye nyumba ya uzima, wakamuonesha adamu nankumueleza kila kitu, nae Damkina alikubali kubeba mimba ya mtoto wa kike.

Kwa utaratibu ule ule Damkina/Ninki alibeba ujauzito, muda wa kujifungua ulipofika hakufanikiwa kujifungua hivyo ilimpasa kujifungua kwa upasuaji chini ya Lady Ninmah .
Baada ya upasuaji alipata mtoto wa kike asiye na kasoro yoyote, alikua na nywele zenye rangi kama mchanga wa ufukweni(beach).
Ninki alifurahi sana na alimpatia jina la Ti-Amat lenye maan ya mama wa maisha(-the Mother of Life) yaani jina la sayari ambayo dunia na mwezi vilitokea.

Kama walivyotengeneza wanaume 7, walitengeneza wanawake wengine saba na kuwajemgea vumba 7 ili waishi pamoja kwa muda na waanze kuzaliana wao kwa wao.

Basi Enki, Ninmah ,Ningishzidda na Ninki walisherekea na kufurahia kwa sababu waliona wao ndio watakuwa watatuzi wa Anunnaki kuteseka machimbon/migodini.

Enki aliwachukua Adamu na Tiamati mpake Edini kweny mji wake wa Eridu, kisha kuwajengea makazi yao ili wawe huru kuzunguka watakapo.
Anunnaki waishio edin pamoja na Enlil na Ninurta ,Igigi waishio mars wakiongozana na Marduk wote walienda kuwaona.
Lakin Enlil hakupendezwa nao, igigi walishangilia kwa kuona mfano wa wafanyakazi(Lulu) kwa kuwa mateso yao yalikua mwishoni, Marduk alimpongeza Enki.

Na kule Abzu wale watoto 7 wa kiume na7 wakike walizidi kukua na kuongezeka.
Baada ya muda kusonga mbele na watu wa dunia kukua, Anunnaki wa Abzu walianza kukosa uvumilivu kwakuwa hawakuona hata mmoja wa wanawake (earthlings) wakipata mimba.
Ndipo Ningishzidda aliamua kuwachunguza kwa umakini kila siku ili kuyachunguza matendo yao. Aliwaona wakifanya mapenzi lakini hawakupata mimba hivyo hakuna kilichozaliwa.

Ndipo Ningishzidda alimpa toa wazo kwa Enki kuwa vinasaba(DNA) za Adamu na Tiamat zichunguzwe upya pia wapitie kumbu kumbu zote za kigenetic zilizohifadhiwa katika "Me" ili kugundua tatizo linalowafanya washindwe kuzaliana.

Ningishzidda alichukua vinasaba vya Adamu na Tiamati na kwenda navyo mpaka mji wa Shurubak, na akiwa ndani ya nyumba ya uponyaji/"house of healing" Alichunguza vinasaba hivyo huku akilinganisha na vinasaba vya anunnaki wa kike na wakiume.

Ningishzidda alifanya majaribio mbalimbali ya kigenetiki kwenye DNA za Adamu na Tiamati na aligundua kuwa DNA za mwanadamu (Adam na Tiamati) zilikuwa na matawi"Branches" 22 tofauti na vinasaba vya Anunnaki vyenye matawi 24. Akatambua kuwa hayo matawi mawili yaliyokosekana katika DNA za wanadamu ndio yamebeba nguvu ya uzazi. Aliwaonesha na kuwaelekeza Enki na Ninmah kitu kinachosababisha wanadamu washindwe kuzaliana.
Ninmah kusikia hivyo alitahamaki enki alichanganyikiwa, sababu uasi ulikuwa ukipamba moto kule Abzu. Enki aliwaambia kwa namna yoyote inatakiwa tupate jamii ya wanadamu wanaoweza kuzaliana nje na hapo itakuwa mwisho wa uchimbaji dhahabu.

Kwa kuwa Ningishzidda alikuwa ni mtaalamu wa genetics, aliwanong'oneza kitu wakubwa zake(Enki na Ninmah) kisha wasaidizi wote wa Ninmah waliokuwa ndani ya nyumba ya uponyaji walitolewa nje na milango yote ikafungwa na kubakia watano tu-Enki,Ninmah,Adam,Tiamati na Ningishzidda )

Kisha aliwapiga usingiz mzito wote wanne na kuwaondolea maumivu,kisha akachukua DNA kutoka kwenye ubavu(-rib bone marrow-) za Enki na kuzipandikiza kwenye ubavu wa Adam, kisha akachukua DNA katika ubavu wa Ninmah na kuupandikiza kwenye ubavu wa Tiamat.
Na akashona sehemu zote zilizokatwa.
Baada ya kumaliza aliwaamsha na kuwatangazia kwa sauti na ujasiri kuwa imekwisha(it is done)
Kisha akawaambia kwenye miti yao ya uzima(Mti wa Uzima/Vinasaba/DNA) nimeongeza matawi mawili yenye nguvu ya uzazi.
Ninmah alipendekeza waachiwe huru kutembea tembea ndani ya bustani ya Edin.
Baada ya muda, Adamu na Tiamati walipata ufahamu na kujijua wapo uchi, bila kuchelewa Tiamati alitengeneza vinguo vya majani kujisitiri sehemu zao.

Muda wa mchana jua kali,Enlili alikua akizunguka zunguka katika bustani, bila kutarajia alishangaa kuwaona Adam na Tiamati wamejivisha nguo za majani kusitiri nyeti zao.

Alimuita Enki na kumuuliza, "nini maana yake hii?"
Enki alimweleza juu ya kila kitu

Enlil alitokwa na maneno yenye hasira akisema, mpango huu sikuupenda tangu mwanzo, ninyi kujifanya ni muumba/waumbaji nilipinga.
Enki alimjibu , kiumbe tulichokuwa tunahitaji kilikuwepo tayali kilichotakiwa ni kuweka alama(Vinasaba) yetu ili kupata jamii ya viumbe duni vya kut*usaidia katika uchimbaji dhahabu
Jambo hilo liliwawwka hatarini Enki,Ninmah na Ningishzidda maana Enlil hakuamini kama wamefanikiwa kumpa mwanadamu uwezo wa kuzaliana (knowledge of procreation) na alikuwa akiogopa kama wanadamu wangekuwa na uwezo wa kuishi maisha marefu zaidi pia alihofia kama DNA za wanadamu zitajiimarisha zaidi(upgrading).

Basi bila kuchelewa Enki aliwaita Ninmah na Ningishzidda ili wampe maneno ya kumpooza Bwana Enlil.
Ningishzidda: ni kweli tumempa uwezo wa kuzaliana lakini tawi la maisha marefu hatujapandikiza katika mti wa uzima(DNA)

Ninmah: Kwan chagua letu ni lipi kaka yangu? Je, tumalize kwa kufeli na Nibiru yote iinge matatizoni kupamban na hatima(fate) yake au kujaribu tena na tena na tena, na kuwaacha wanadamu wazaliena ili wachukue nafasi yetu kule migodini?

Enlil: Basi wanadamu na waishi sehemu wanayotakiwa kuishi(Enlil aliongea kwa hasira), waende Abzu mbali na edin tuwafukuzie huko

ITAENDELEA...
Na huu ni mwisho wa kipande cha sita kati ya vipande 14 vya mawe vilivyopo huko sumeria vinavyoelezea historia yote ya Anunnaki kutokea huko kwao NIBIRU pamaja na Maisha yao hapa DUNIANI.

¤See you on seventh Tablet of Enki

MASWALI YAWE MAFUPI MAFUPI NA YENYE KUELEWEKA TAFADHALI.
YOTE YATAJIBIWA KWA MAELEZO SIKU INAYOFUATA.

Prepared by
Olyme Songo III
............. .............
For @everyone
FB_IMG_1700679927124.jpg
FB_IMG_1700679929921.jpg
 
SIXTH TABLET OF LOST BOOK OF ENKI.
(THE CREATION OF FIRST HUMAN BEING)

Mwandishi OLYME SONGO III STUDENT A MEMBER OF JAMES KORDY KASHIRINA TEAM.

Mara ya mwisho tuliona viongozi wakipigwa na butwaa na mpango wa Enki kutengeneza jamii ya wafanyakazi(LULU) kutoka kwenye viumbe jamii ya nyani, Lady ninmah aliona ni jambo gumu lisiliwezekana.

Lakin Enki aliendelee kuwaeleza viongozi wote juu ya mpango wake wa kuweka DNA zao kwenye viumbe hao wa Abzu ambao walikua wakitembea wima kwa miguu miwili,miguu yao ya mbele wakiitumia kama mikono,walikua hawavai nguo, walikua wakila majani kwa mikono yao na kunywa maji kutoka kwwnye ziwa,nywele zimeufunika mwili wote,na kichwani nywele ni nyingi kama simba.

(Bila shaka tunaona hao ni viumbe jamii ya nyani.)

Enlil aliendelea kubisha juu ya uwepo wa viumbe hao sababu hajawahi kuwaona sehemu yoyote ile.
Ninmah alikua akiwaza, inawezekana hata mababu wa mababu(ancestors) zao huko Nibiru waliwahi kuwa hivyo, na kupelekea kusema hao sio viumbe wa ajabu bali ni viumbe wa kawaida (it is a Being, not a creature)

Enki aliwachukua wote kuwapeleka kwenye Nyumba ya uzima/"House of life" ambako alikuwa amewafungia viumbe hao ndani ya mabanda.
Waliwaona wakiwarukia huku wengine wakipiga ngumi mabanda, walikua hawawezi kuongea neno lolote zaidi ya kukoroma na kuguna guna.

Enki aliwaeleza kuwa viumbe hao wanafanana na wao, sababu wana uke na uume,wanaweza kuzaliana, pia majibu kutoka majaribio ya Ningishzidda(mtoto wa Enki) yanaonesha nao wana DNA kama zetu(double helix) hivyo tukiweka alama zetu(DNA) basi viumbe hawa wataimarika(-na kuwa primitives worker) wataweza kufuata maelekezo yetu hivyo kupunguza karaha za wafanyakazi(Anunnaki) kuchimba dhahabu.

Enlil alipinga jambo hilo kwa hoja mbili, "utumwa tulishautokomeza miaka mingi iliyopita huko Nibiru, zana za kazi tulizifanya watumwa wetu na sio watu(being)".
Pili, hatukuja kuleta maisha mapya dunia ila kuchimba dhahabu, kuumba kitu kisichokuwepo na kukiweka katika uwepo hiyo ni kazi ya "Father of All"

ENKI alimjibu kusema, hatutengenezi watumwa bali wasaidizi.
Naye Ninmah akaongezea, hatuumbi kiumbe mpya bali tunamuimarisha/kumuongeze uwezo kiumbe ambaye tayali yupo.
ENLIL hakuacha kupinga sababu kuumba viumbe wapya ilikua ni kinyume na taratibu au sheria za kusafiri kutoka sayari moja kwenda nyingine (rules of planetary journey).
pia aliona ni kama kumsaidia "Father of all" kazi yake ya uumbaji. Lakin Ninmah alimjibu kumueleza kuwa "Father of all" amewapa akili,ufahamu na maarifa kwahiyo hii ni hatima yetu kuvitumia tulivyopewa.
NINURTA alimjibu mama yake(Ninmah): kwa hizo akili na ufahamu tumetengeneza vyombo vya anga, milima tunaisambaratisha kwa miale, hata anga letu la Nibiru tunaliponya kwa dhahabu, hivyo inapasa kutumia akili na ufahamu kwa ajili ya kutengeneza zana mpya mashine mpya na siyo watumwa.

NINGISHIZZIDA: matumizi ya ufahamu wetu hayawezi kuzuilika, na hatima haiwezi kubadilika tangu mwanzo hutafutwa.
ENLIL: Je, hivi ndivyo ilivyopangwa tangu mwanzo(destiny) au ni sisi ndo tunajiamlia(fate)?

Mjadala haukuishia hapo waliendelea kubishana na mwishowe waliwasilisha hilo jambo kwa mfalme Anu na baraza lote la Nibiru.
Baada ya majadiliano na makubaliano, Anu na baraza lake walikubaliana kuachana na sheria za kusafiri katika sayari ili nibiru iokolewe.
Anu alikubali wazo la kuwatengeneza LULU ili kurahisisha Mission yao ya dhahabu.
Taarifa zilitumwa kutoka ikulu ya Nibiru, lord Enki alizifurahia taarifa hizo. Alimuomba Lady Ninmah ashirikiane nae sababu ya uwezo wake mkubwa kwenye kwenye maswala ya hayo.

Ennugi ofisa mkuu wa machimbo ya Abzu aliwatangazia anunnaki wote wa Abzu, utengenezaji wa LULU utakapokamilika, kufanya kazi machimboni itakuwa ni hiari sio lazima. Basi wafanyakazi wa migodini waliacha kufanya uasi na kurudi tena kazini.

Ndani ya nyumba ya uzima, Ninmah alioneshwa majaribio mbali mbali ya kijenetiki ya wanyama tofauti.
Alimpeleka kwa Ningishzidda aliyemuelezea zaid kuhusu Genetic engineering na namna ya kuunganisha vinasaba.
Ningishzidda alimuonesha kanuni takatifu zilizohifadhiwa ndani ya "Me"
Ninmah alitazama namna viumbe wa kiume waliopo kwenye mabanda wanavyofanya mapenzi.
Baada ya kuuliza maswali mengi, Ninmah alipendekeza kiumbe jinsia ya kike apewe mimba na Anunnaki mwanaume, ili kizaliwe kichanga/"offspring" chenye vinasaba mchanganyiko, lakin Enki alijibu kusema wamefanya hivyo mara nyingi lakini hawajafanikiwa kutungisha mimba hata mara moja.

Baada ya kuumiza kichwa zaidi, Ninmah alipendekeza wachukue yai(ovum) la kiumbe jamii ya kike, walipandikize DNA za Anunnaki mwanaune kisha warudishe yai lililorutubishwa ndani ya tumbo la kiumbe jamii ya kike.

Baada ya Ninmah kufanya hivyo, mimba ilifanikiwa kutunga ndani ya tumbo la kiumbe huyo wa kike.
Walipiga hesabu tarehe ya kujifungua (Expected Date Of Delivery) kila mmoja kamoyo kalikuwa juu juu(anxious) kusubiri tarehe hiyo ifike.

Muda ulipofika kiumbe huyo alishindwa kujifungua/kuzaa, ilimpasa Lady Ninmah kumfanyia upasuaji(Caesarian delivery) na kumtoa kiumbe huyo.
Kichanga(Newborn) kilikua kipo hai, Enki alishangilia,Ningishzidda alilia kwa furaha lakini Ninmah hakufurahia kwa sababu kichanga hicho kilifunikwa na nywele/manyoya mwili wote, miguu yake ya mbele ilikua sawa na viumbe wa duniani(viumbe jamii ya nyani), miguu ya nyuma ilikua kama ya anunnaki.

Walimwacha mama(kiumbe jamii ya nyani) akinyonyeshe kichanga na kichanga huyo alikua kwa kasi.
Mtoto huyo mpya alikuwa kwa kasi, uso wake haukua na sura kama za Anunnaki, mikono yake haikuwa ya kushika zana za kazi na kuongea kwake kulikuwa ni kwa kukoroma
Ninmah akishirikiana na Enki na Ningishzidda, walirudia tena upandikizaji wa mbegu za Anunnaki kweny yai la kiumbe jamii ya nyani.
Kwa umakini mkubwa Ninmah aliboresha uchanganyaji wa vinasaba vya yai/ova na sperm(mbegu) za Anunnaki kisha kurirudisha yai lililorutubishwa(fertilized) ndani ya tumbo la uzazi la kiumbe jamii ya nyani.

Kiumbe alipata mimba na siku ya kujifungua iliwadia. Kichanga kilinyonyeshwa na mama yake baada ya muda aliongezeka kimo,
Alikua na sura yenye mfanano na Anunnaki, mikono yakuweza kushika zana za kazi, ufahamu wa mtoto huyo ulikuwa na mapungufu sababu alikua hawezi kusikia , uwezo wa kuona ulikua dhaifu sana.
Bila kuchoka Lady ninmah alirudia zoezi la uchanganyaji vinasaba (genetic engineering) lakini hakufanikiwa sababu alipata matokeo chini ya kiwango.
Alipata watoto waliopalalaizi("paralyze") miguu,mwengine mikono ilikua ikitetemeka,mwingine alikuwa na matatizo ya ini,mwingine na matatizo ya mapafu,mwingine alipata mikono mifupi isiyofika mdomon.

Enki alikatishwa tamaa na matokeo hayo sababu alishindwa kupata kiumbe wa kuweza kufanya kazi.
Lakin Ninmah alimwambia kaka yake kuwa bado anamsukumo wa kuendelea na majaribio.
Ninmah alifanya jaribio lingine lakina bado hakufanikiwa

Baada ya kutafakari kwa muda, Lord Enki alipata wazo kuwa tatizo linaweza lisiwe kwenye uchanganyaji(genetic engineering) ila kwenye kifaa(vessel) ya kuchanganyia.
Enki aliona inatakiwa kutumia kifaa cha kuchanganyia kilichotengenezwa na marighafi za hapa duniani na sio kutumia kifaa kilichotengenezwa Nibiru,
Enki alipendekeza kifaa kitengenezwe kwa udongo wa mfinyanzi wa huko Abzu.

Ninmah alikubaliana na wazo la Enki, na kutengeneza chombo kisha kukisafishabkwa ajili ya kazi ya uchanganyaji wa vinasaba.
Alirudia tena zoezi la upandikizaji mimba kwenye kiumbe jamii ya nyani kwenye chombo kilichotengenezwa kwa udongo wa Abzu.
Baada ya mtoto kuzaliwa, Enki na Ningishzidda walimpongeza Ninmah kwa kazi nzito aliyoifanya na kuruhusu kichanga anyonyeshwe.
Baada ya mtoto huyo kukuwa walikuja kugundua nae anakasoro ya kuelewa, hawezi kuongea zaidi ya kukoroma na kugunaguna.

Enki aliwaza zaidi mara zote wamekuwa wakiweka yai lililorutubishwa ndani ya tumbo la uzazi la kiumbe wa duniani jamii ya nyani, alidhania tumbo hilo la uzazi linaweza kuwa kikwazo katika kupata kichanga"newborn" asiye na mapungufu. Alipendekeza yai lililorutubishwa liwekwe ndani ya tumbo la uzazi la Anunnaki mwanamke.

Ukimya ulitawala ndani ya nyumba ya uzima, sababu hakuna aliyewaza wala kusikia maneno kama hayo kabla.
Ndipo Ninmah alivunja ukimya kusema "maneno yako yanahekima kaka, inawezekana mchanganyiko sahihi unawekwa kwenye tumbo lisilosahihi" Kwa sauti ya kutetemeka Ninmah aliuliza je, ni Anunnaki gani yupo tayali kuruhusu tumbo lake libebe ujauzito?
Enki alikubali mkewe Ninki/Damkina kubeba mimba yenye mchanganyiko wa vinasaba vya Anunnaki na viumbe vya duniani jamii ya nyani.
Muda Enki anapotaka kuondoka kwenda kwa mkewe ili amshawishi, Lady Ninmah alimshika mkono begani kumwambia "mimi ndo ninayetengeneza mchanganyiko wacha pongezi au hatari vinikute mimi mwenyewe, nimejitolea tumbo langu kubeba ujauzito either kwa hatima mbaya au nzuri"
Enki aliinamisha kichwa chake kisha kumkombatia na kusema "na iwe hivyo"

Kama kawaida wakachanganya mchanganyiko wa yai la kiumbe wa duniani na vinasaba vya Anunnaki mwanaume kwenye chimbo cha udongo, Enki mwenyewe ndiye aliyeuweka mchanganyiki huo ndani ya tumbo la uzazi la Ninmah. Mimba ilitungwa ndani ya Ninmah na kila mtu alijiuliza atajifungua baada ya muda gani, je ni miezi tisa ya Nibiru au miezi tisa ya duniani?
Lakini kwa muda mrefu zaidi ya miezi tisa ya duniani na muda mchache kuliko miezi 9 ya Nibiru, Ninmah alijifungua mtoto wa kiume mwenye muonekano kama Anunnaki.
Enki alikapiga matako nako kakalia kama kilio kama ilivyokawaida. Ninmah alifurahi na kusema kazi ya mikono yangu imefanikiwa.
Walipomchunguza kichanga huyo waliona hana mapungufu yotote kama wale waliozaliwa mwanzo, alikua na kichwa chenye nywele nyeusi, na ngozi nyeusi laini kama ya anunnaki.
Alikua na "penis"(uume) yenye gomvi-ngozi inayofunika kichwa cha penis tofauti na Anunnaki ambao penis zao zilikua hazina gomvi.
Enki alisema na hii iwe tofauti ya earthings na Anunaki.
Enki alimwangalia Ninmah anavyomnyonyesha kichanga, naye akasema machoyangu yanamuona mama na mwanae wala sio Ninmah na kiumbe.

Enki alimuuliza utampa jina gani maana huyu sio kiumbe tena bali ni mtu(A Being he is, not a creature)
Ninmah alimtazama mwanae huku akimpapasa ngozi yake, alimwita Adam akimaanisha yeye ambaye anafanana na udongo wa dunia (ADAM-One Who Like Earth's Clay Is)

Enki akasema, mfano wa wafanyakazi tunaohitaji tumepata,adamu atalelewa kama mzaliwa wa kwanza, kamwe hatohusishwa na kazi za migodini ila vinasaba vyake vitatumiwa kuzalisha kundi kubwa la wafanyakazi kama yeye.
Ninmah alifurahisha na maneno hayo, Ningishzidda aliuliza je, tutapata wapi matumbo ya kubebesha mayai ya viumbe jamii ya nyani yaliyorutushishwa?

Ninmah akasuluhisha tatizo , kwa kuahidi kuwaita manesi wake waliopo kule Shurubak mji wa uponyaji/Healing city.

Anunnaki 7 waliokubali zoezi hilo walipita mbele na Ningishzidda akiweka majina yao katika kumbukumbu nao walikuwa ni Ninimma, Shuzianna, Ninmada, Ninbara, Ninmug, Musardu na Ningunna.

Kama kawaida, ninmah alichukua mayai 7 ya viumbe jamii ya nyani na kuyaweka kweny chombo cha udongo kisha kufanya uchanganyaji wa kijenetiki na vinasaba vya Adamu kisha alikata kidog gomvi la Adamu kisha kunyunyizia tone la damu kwenye vyombo 7 na kusema hili itakua ni ishara ya maisha nyama na roho vinaunganishwa pamoja, na kwenye vyombo hivi vya udongo watu wa duniani(earthlings) na Anunnaki wanaunganishwa.
Wakati Ninmah akisema yote hayo, Ningishzidda alikua akiyarekodi maneno hayo katik kumbukumbu.

Baada ya muda, wafanyakazi 7 walizaliwa katika matumbo ya Anunnaki kwa ajili ya kazi za migodini, Ningishzidda alikuwa na mpango wa kurudia zoezi ili wapatikane wengine zaid Enki alimwambia tutarudia maranyingi lakini bado watakuwa wachache, Ninmah alipendekeza kutengeneza watu wa kike ili wazaliane wao kwa wao na kuondoa karaha kwa Anunnaki wanawake.

Enki alimwambia Ningishzidda abadilishe formula iliyopo kwenye kifaa cha "Me" kwa ajili ya kupata mtoto wa kike.
Enki alikubali mke wake damkina kwa ajili ya zoezi zima la kubeba mimba ya mtoto wa kike.
Walimuita Damkina kwenye nyumba ya uzima, wakamuonesha adamu nankumueleza kila kitu, nae Damkina alikubali kubeba mimba ya mtoto wa kike.

Kwa utaratibu ule ule Damkina/Ninki alibeba ujauzito, muda wa kujifungua ulipofika hakufanikiwa kujifungua hivyo ilimpasa kujifungua kwa upasuaji chini ya Lady Ninmah .
Baada ya upasuaji alipata mtoto wa kike asiye na kasoro yoyote, alikua na nywele zenye rangi kama mchanga wa ufukweni(beach).
Ninki alifurahi sana na alimpatia jina la Ti-Amat lenye maan ya mama wa maisha(-the Mother of Life) yaani jina la sayari ambayo dunia na mwezi vilitokea.

Kama walivyotengeneza wanaume 7, walitengeneza wanawake wengine saba na kuwajemgea vumba 7 ili waishi pamoja kwa muda na waanze kuzaliana wao kwa wao.

Basi Enki, Ninmah ,Ningishzidda na Ninki walisherekea na kufurahia kwa sababu waliona wao ndio watakuwa watatuzi wa Anunnaki kuteseka machimbon/migodini.

Enki aliwachukua Adamu na Tiamati mpake Edini kweny mji wake wa Eridu, kisha kuwajengea makazi yao ili wawe huru kuzunguka watakapo.
Anunnaki waishio edin pamoja na Enlil na Ninurta ,Igigi waishio mars wakiongozana na Marduk wote walienda kuwaona.
Lakin Enlil hakupendezwa nao, igigi walishangilia kwa kuona mfano wa wafanyakazi(Lulu) kwa kuwa mateso yao yalikua mwishoni, Marduk alimpongeza Enki.

Na kule Abzu wale watoto 7 wa kiume na7 wakike walizidi kukua na kuongezeka.
Baada ya muda kusonga mbele na watu wa dunia kukua, Anunnaki wa Abzu walianza kukosa uvumilivu kwakuwa hawakuona hata mmoja wa wanawake (earthlings) wakipata mimba.
Ndipo Ningishzidda aliamua kuwachunguza kwa umakini kila siku ili kuyachunguza matendo yao. Aliwaona wakifanya mapenzi lakini hawakupata mimba hivyo hakuna kilichozaliwa.

Ndipo Ningishzidda alimpa toa wazo kwa Enki kuwa vinasaba(DNA) za Adamu na Tiamat zichunguzwe upya pia wapitie kumbu kumbu zote za kigenetic zilizohifadhiwa katika "Me" ili kugundua tatizo linalowafanya washindwe kuzaliana.

Ningishzidda alichukua vinasaba vya Adamu na Tiamati na kwenda navyo mpaka mji wa Shurubak, na akiwa ndani ya nyumba ya uponyaji/"house of healing" Alichunguza vinasaba hivyo huku akilinganisha na vinasaba vya anunnaki wa kike na wakiume.

Ningishzidda alifanya majaribio mbalimbali ya kigenetiki kwenye DNA za Adamu na Tiamati na aligundua kuwa DNA za mwanadamu (Adam na Tiamati) zilikuwa na matawi"Branches" 22 tofauti na vinasaba vya Anunnaki vyenye matawi 24. Akatambua kuwa hayo matawi mawili yaliyokosekana katika DNA za wanadamu ndio yamebeba nguvu ya uzazi. Aliwaonesha na kuwaelekeza Enki na Ninmah kitu kinachosababisha wanadamu washindwe kuzaliana.
Ninmah kusikia hivyo alitahamaki enki alichanganyikiwa, sababu uasi ulikuwa ukipamba moto kule Abzu. Enki aliwaambia kwa namna yoyote inatakiwa tupate jamii ya wanadamu wanaoweza kuzaliana nje na hapo itakuwa mwisho wa uchimbaji dhahabu.

Kwa kuwa Ningishzidda alikuwa ni mtaalamu wa genetics, aliwanong'oneza kitu wakubwa zake(Enki na Ninmah) kisha wasaidizi wote wa Ninmah waliokuwa ndani ya nyumba ya uponyaji walitolewa nje na milango yote ikafungwa na kubakia watano tu-Enki,Ninmah,Adam,Tiamati na Ningishzidda )

Kisha aliwapiga usingiz mzito wote wanne na kuwaondolea maumivu,kisha akachukua DNA kutoka kwenye ubavu(-rib bone marrow-) za Enki na kuzipandikiza kwenye ubavu wa Adam, kisha akachukua DNA katika ubavu wa Ninmah na kuupandikiza kwenye ubavu wa Tiamat.
Na akashona sehemu zote zilizokatwa.
Baada ya kumaliza aliwaamsha na kuwatangazia kwa sauti na ujasiri kuwa imekwisha(it is done)
Kisha akawaambia kwenye miti yao ya uzima(Mti wa Uzima/Vinasaba/DNA) nimeongeza matawi mawili yenye nguvu ya uzazi.
Ninmah alipendekeza waachiwe huru kutembea tembea ndani ya bustani ya Edin.
Baada ya muda, Adamu na Tiamati walipata ufahamu na kujijua wapo uchi, bila kuchelewa Tiamati alitengeneza vinguo vya majani kujisitiri sehemu zao.

Muda wa mchana jua kali,Enlili alikua akizunguka zunguka katika bustani, bila kutarajia alishangaa kuwaona Adam na Tiamati wamejivisha nguo za majani kusitiri nyeti zao.

Alimuita Enki na kumuuliza, "nini maana yake hii?"
Enki alimweleza juu ya kila kitu

Enlil alitokwa na maneno yenye hasira akisema, mpango huu sikuupenda tangu mwanzo, ninyi kujifanya ni muumba/waumbaji nilipinga.
Enki alimjibu , kiumbe tulichokuwa tunahitaji kilikuwepo tayali kilichotakiwa ni kuweka alama(Vinasaba) yetu ili kupata jamii ya viumbe duni vya kut*usaidia katika uchimbaji dhahabu
Jambo hilo liliwawwka hatarini Enki,Ninmah na Ningishzidda maana Enlil hakuamini kama wamefanikiwa kumpa mwanadamu uwezo wa kuzaliana (knowledge of procreation) na alikuwa akiogopa kama wanadamu wangekuwa na uwezo wa kuishi maisha marefu zaidi pia alihofia kama DNA za wanadamu zitajiimarisha zaidi(upgrading).

Basi bila kuchelewa Enki aliwaita Ninmah na Ningishzidda ili wampe maneno ya kumpooza Bwana Enlil.
Ningishzidda: ni kweli tumempa uwezo wa kuzaliana lakini tawi la maisha marefu hatujapandikiza katika mti wa uzima(DNA)

Ninmah: Kwan chagua letu ni lipi kaka yangu? Je, tumalize kwa kufeli na Nibiru yote iinge matatizoni kupamban na hatima(fate) yake au kujaribu tena na tena na tena, na kuwaacha wanadamu wazaliena ili wachukue nafasi yetu kule migodini?

Enlil: Basi wanadamu na waishi sehemu wanayotakiwa kuishi(Enlil aliongea kwa hasira), waende Abzu mbali na edin tuwafukuzie huko

ITAENDELEA...
Na huu ni mwisho wa kipande cha sita kati ya vipande 14 vya mawe vilivyopo huko sumeria vinavyoelezea historia yote ya Anunnaki kutokea huko kwao NIBIRU pamaja na Maisha yao hapa DUNIANI.

¤See you on seventh Tablet of Enki

MASWALI YAWE MAFUPI MAFUPI NA YENYE KUELEWEKA TAFADHALI.
YOTE YATAJIBIWA KWA MAELEZO SIKU INAYOFUATA.

Prepared by
Olyme Songo III
............. .............
For @everyoneView attachment 2822036View attachment 2822037

Hichi kitabu unacho mkuu??
 
SIXTH TABLET OF LOST BOOK OF ENKI.
(THE CREATION OF FIRST HUMAN BEING)

Mwandishi OLYME SONGO III STUDENT A MEMBER OF JAMES KORDY KASHIRINA TEAM.

Mara ya mwisho tuliona viongozi wakipigwa na butwaa na mpango wa Enki kutengeneza jamii ya wafanyakazi(LULU) kutoka kwenye viumbe jamii ya nyani, Lady ninmah aliona ni jambo gumu lisiliwezekana.

Lakin Enki aliendelee kuwaeleza viongozi wote juu ya mpango wake wa kuweka DNA zao kwenye viumbe hao wa Abzu ambao walikua wakitembea wima kwa miguu miwili,miguu yao ya mbele wakiitumia kama mikono,walikua hawavai nguo, walikua wakila majani kwa mikono yao na kunywa maji kutoka kwwnye ziwa,nywele zimeufunika mwili wote,na kichwani nywele ni nyingi kama simba.

(Bila shaka tunaona hao ni viumbe jamii ya nyani.)

Enlil aliendelea kubisha juu ya uwepo wa viumbe hao sababu hajawahi kuwaona sehemu yoyote ile.
Ninmah alikua akiwaza, inawezekana hata mababu wa mababu(ancestors) zao huko Nibiru waliwahi kuwa hivyo, na kupelekea kusema hao sio viumbe wa ajabu bali ni viumbe wa kawaida (it is a Being, not a creature)

Enki aliwachukua wote kuwapeleka kwenye Nyumba ya uzima/"House of life" ambako alikuwa amewafungia viumbe hao ndani ya mabanda.
Waliwaona wakiwarukia huku wengine wakipiga ngumi mabanda, walikua hawawezi kuongea neno lolote zaidi ya kukoroma na kuguna guna.

Enki aliwaeleza kuwa viumbe hao wanafanana na wao, sababu wana uke na uume,wanaweza kuzaliana, pia majibu kutoka majaribio ya Ningishzidda(mtoto wa Enki) yanaonesha nao wana DNA kama zetu(double helix) hivyo tukiweka alama zetu(DNA) basi viumbe hawa wataimarika(-na kuwa primitives worker) wataweza kufuata maelekezo yetu hivyo kupunguza karaha za wafanyakazi(Anunnaki) kuchimba dhahabu.

Enlil alipinga jambo hilo kwa hoja mbili, "utumwa tulishautokomeza miaka mingi iliyopita huko Nibiru, zana za kazi tulizifanya watumwa wetu na sio watu(being)".
Pili, hatukuja kuleta maisha mapya dunia ila kuchimba dhahabu, kuumba kitu kisichokuwepo na kukiweka katika uwepo hiyo ni kazi ya "Father of All"

ENKI alimjibu kusema, hatutengenezi watumwa bali wasaidizi.
Naye Ninmah akaongezea, hatuumbi kiumbe mpya bali tunamuimarisha/kumuongeze uwezo kiumbe ambaye tayali yupo.
ENLIL hakuacha kupinga sababu kuumba viumbe wapya ilikua ni kinyume na taratibu au sheria za kusafiri kutoka sayari moja kwenda nyingine (rules of planetary journey).
pia aliona ni kama kumsaidia "Father of all" kazi yake ya uumbaji. Lakin Ninmah alimjibu kumueleza kuwa "Father of all" amewapa akili,ufahamu na maarifa kwahiyo hii ni hatima yetu kuvitumia tulivyopewa.
NINURTA alimjibu mama yake(Ninmah): kwa hizo akili na ufahamu tumetengeneza vyombo vya anga, milima tunaisambaratisha kwa miale, hata anga letu la Nibiru tunaliponya kwa dhahabu, hivyo inapasa kutumia akili na ufahamu kwa ajili ya kutengeneza zana mpya mashine mpya na siyo watumwa.

NINGISHIZZIDA: matumizi ya ufahamu wetu hayawezi kuzuilika, na hatima haiwezi kubadilika tangu mwanzo hutafutwa.
ENLIL: Je, hivi ndivyo ilivyopangwa tangu mwanzo(destiny) au ni sisi ndo tunajiamlia(fate)?

Mjadala haukuishia hapo waliendelea kubishana na mwishowe waliwasilisha hilo jambo kwa mfalme Anu na baraza lote la Nibiru.
Baada ya majadiliano na makubaliano, Anu na baraza lake walikubaliana kuachana na sheria za kusafiri katika sayari ili nibiru iokolewe.
Anu alikubali wazo la kuwatengeneza LULU ili kurahisisha Mission yao ya dhahabu.
Taarifa zilitumwa kutoka ikulu ya Nibiru, lord Enki alizifurahia taarifa hizo. Alimuomba Lady Ninmah ashirikiane nae sababu ya uwezo wake mkubwa kwenye kwenye maswala ya hayo.

Ennugi ofisa mkuu wa machimbo ya Abzu aliwatangazia anunnaki wote wa Abzu, utengenezaji wa LULU utakapokamilika, kufanya kazi machimboni itakuwa ni hiari sio lazima. Basi wafanyakazi wa migodini waliacha kufanya uasi na kurudi tena kazini.

Ndani ya nyumba ya uzima, Ninmah alioneshwa majaribio mbali mbali ya kijenetiki ya wanyama tofauti.
Alimpeleka kwa Ningishzidda aliyemuelezea zaid kuhusu Genetic engineering na namna ya kuunganisha vinasaba.
Ningishzidda alimuonesha kanuni takatifu zilizohifadhiwa ndani ya "Me"
Ninmah alitazama namna viumbe wa kiume waliopo kwenye mabanda wanavyofanya mapenzi.
Baada ya kuuliza maswali mengi, Ninmah alipendekeza kiumbe jinsia ya kike apewe mimba na Anunnaki mwanaume, ili kizaliwe kichanga/"offspring" chenye vinasaba mchanganyiko, lakin Enki alijibu kusema wamefanya hivyo mara nyingi lakini hawajafanikiwa kutungisha mimba hata mara moja.

Baada ya kuumiza kichwa zaidi, Ninmah alipendekeza wachukue yai(ovum) la kiumbe jamii ya kike, walipandikize DNA za Anunnaki mwanaune kisha warudishe yai lililorutubishwa ndani ya tumbo la kiumbe jamii ya kike.

Baada ya Ninmah kufanya hivyo, mimba ilifanikiwa kutunga ndani ya tumbo la kiumbe huyo wa kike.
Walipiga hesabu tarehe ya kujifungua (Expected Date Of Delivery<EDD>) kila mmoja kamoyo kalikuwa juu juu(anxious) kusubiri tarehe hiyo ifike.

Muda ulipofika kiumbe huyo alishindwa kujifungua/kuzaa, ilimpasa Lady Ninmah kumfanyia upasuaji(Caesarian delivery) na kumtoa kiumbe huyo.
Kichanga(Newborn) kilikua kipo hai, Enki alishangilia,Ningishzidda alilia kwa furaha lakini Ninmah hakufurahia kwa sababu kichanga hicho kilifunikwa na nywele/manyoya mwili wote, miguu yake ya mbele ilikua sawa na viumbe wa duniani(viumbe jamii ya nyani), miguu ya nyuma ilikua kama ya anunnaki.

Walimwacha mama(kiumbe jamii ya nyani) akinyonyeshe kichanga na kichanga huyo alikua kwa kasi.
Mtoto huyo mpya alikuwa kwa kasi, uso wake haukua na sura kama za Anunnaki, mikono yake haikuwa ya kushika zana za kazi na kuongea kwake kulikuwa ni kwa kukoroma
Ninmah akishirikiana na Enki na Ningishzidda, walirudia tena upandikizaji wa mbegu za Anunnaki kweny yai la kiumbe jamii ya nyani.
Kwa umakini mkubwa Ninmah aliboresha uchanganyaji wa vinasaba vya yai/ova na sperm(mbegu) za Anunnaki kisha kurirudisha yai lililorutubishwa(fertilized) ndani ya tumbo la uzazi la kiumbe jamii ya nyani.

Kiumbe alipata mimba na siku ya kujifungua iliwadia. Kichanga kilinyonyeshwa na mama yake baada ya muda aliongezeka kimo,
Alikua na sura yenye mfanano na Anunnaki, mikono yakuweza kushika zana za kazi, ufahamu wa mtoto huyo ulikuwa na mapungufu sababu alikua hawezi kusikia , uwezo wa kuona ulikua dhaifu sana.
Bila kuchoka Lady ninmah alirudia zoezi la uchanganyaji vinasaba (genetic engineering) lakini hakufanikiwa sababu alipata matokeo chini ya kiwango.
Alipata watoto waliopalalaizi("paralyze") miguu,mwengine mikono ilikua ikitetemeka,mwingine alikuwa na matatizo ya ini,mwingine na matatizo ya mapafu,mwingine alipata mikono mifupi isiyofika mdomon.

Enki alikatishwa tamaa na matokeo hayo sababu alishindwa kupata kiumbe wa kuweza kufanya kazi.
Lakin Ninmah alimwambia kaka yake kuwa bado anamsukumo wa kuendelea na majaribio.
Ninmah alifanya jaribio lingine lakina bado hakufanikiwa

Baada ya kutafakari kwa muda, Lord Enki alipata wazo kuwa tatizo linaweza lisiwe kwenye uchanganyaji(genetic engineering) ila kwenye kifaa(vessel) ya kuchanganyia.
Enki aliona inatakiwa kutumia kifaa cha kuchanganyia kilichotengenezwa na marighafi za hapa duniani na sio kutumia kifaa kilichotengenezwa Nibiru,
Enki alipendekeza kifaa kitengenezwe kwa udongo wa mfinyanzi wa huko Abzu.

Ninmah alikubaliana na wazo la Enki, na kutengeneza chombo kisha kukisafishabkwa ajili ya kazi ya uchanganyaji wa vinasaba.
Alirudia tena zoezi la upandikizaji mimba kwenye kiumbe jamii ya nyani kwenye chombo kilichotengenezwa kwa udongo wa Abzu.
Baada ya mtoto kuzaliwa, Enki na Ningishzidda walimpongeza Ninmah kwa kazi nzito aliyoifanya na kuruhusu kichanga anyonyeshwe.
Baada ya mtoto huyo kukuwa walikuja kugundua nae anakasoro ya kuelewa, hawezi kuongea zaidi ya kukoroma na kugunaguna.

Enki aliwaza zaidi mara zote wamekuwa wakiweka yai lililorutubishwa ndani ya tumbo la uzazi la kiumbe wa duniani jamii ya nyani, alidhania tumbo hilo la uzazi linaweza kuwa kikwazo katika kupata kichanga"newborn" asiye na mapungufu. Alipendekeza yai lililorutubishwa liwekwe ndani ya tumbo la uzazi la Anunnaki mwanamke.

Ukimya ulitawala ndani ya nyumba ya uzima, sababu hakuna aliyewaza wala kusikia maneno kama hayo kabla.
Ndipo Ninmah alivunja ukimya kusema "maneno yako yanahekima kaka, inawezekana mchanganyiko sahihi unawekwa kwenye tumbo lisilosahihi" Kwa sauti ya kutetemeka Ninmah aliuliza je, ni Anunnaki gani yupo tayali kuruhusu tumbo lake libebe ujauzito?
Enki alikubali mkewe Ninki/Damkina kubeba mimba yenye mchanganyiko wa vinasaba vya Anunnaki na viumbe vya duniani jamii ya nyani.
Muda Enki anapotaka kuondoka kwenda kwa mkewe ili amshawishi, Lady Ninmah alimshika mkono begani kumwambia "mimi ndo ninayetengeneza mchanganyiko wacha pongezi au hatari vinikute mimi mwenyewe, nimejitolea tumbo langu kubeba ujauzito either kwa hatima mbaya au nzuri"
Enki aliinamisha kichwa chake kisha kumkombatia na kusema "na iwe hivyo"

Kama kawaida wakachanganya mchanganyiko wa yai la kiumbe wa duniani na vinasaba vya Anunnaki mwanaume kwenye chimbo cha udongo, Enki mwenyewe ndiye aliyeuweka mchanganyiki huo ndani ya tumbo la uzazi la Ninmah. Mimba ilitungwa ndani ya Ninmah na kila mtu alijiuliza atajifungua baada ya muda gani, je ni miezi tisa ya Nibiru au miezi tisa ya duniani?
Lakini kwa muda mrefu zaidi ya miezi tisa ya duniani na muda mchache kuliko miezi 9 ya Nibiru, Ninmah alijifungua mtoto wa kiume mwenye muonekano kama Anunnaki.
Enki alikapiga matako nako kakalia kama kilio kama ilivyokawaida. Ninmah alifurahi na kusema kazi ya mikono yangu imefanikiwa.
Walipomchunguza kichanga huyo waliona hana mapungufu yotote kama wale waliozaliwa mwanzo, alikua na kichwa chenye nywele nyeusi, na ngozi nyeusi laini kama ya anunnaki.
Alikua na "penis"(uume) yenye gomvi-ngozi inayofunika kichwa cha penis tofauti na Anunnaki ambao penis zao zilikua hazina gomvi.
Enki alisema na hii iwe tofauti ya earthings na Anunaki.
Enki alimwangalia Ninmah anavyomnyonyesha kichanga, naye akasema machoyangu yanamuona mama na mwanae wala sio Ninmah na kiumbe.

Enki alimuuliza utampa jina gani maana huyu sio kiumbe tena bali ni mtu(A Being he is, not a creature)
Ninmah alimtazama mwanae huku akimpapasa ngozi yake, alimwita Adam akimaanisha yeye ambaye anafanana na udongo wa dunia (ADAM-One Who Like Earth's Clay Is)

Enki akasema, mfano wa wafanyakazi tunaohitaji tumepata,adamu atalelewa kama mzaliwa wa kwanza, kamwe hatohusishwa na kazi za migodini ila vinasaba vyake vitatumiwa kuzalisha kundi kubwa la wafanyakazi kama yeye.
Ninmah alifurahisha na maneno hayo, Ningishzidda aliuliza je, tutapata wapi matumbo ya kubebesha mayai ya viumbe jamii ya nyani yaliyorutushishwa?

Ninmah akasuluhisha tatizo , kwa kuahidi kuwaita manesi wake waliopo kule Shurubak mji wa uponyaji/Healing city.

Anunnaki 7 waliokubali zoezi hilo walipita mbele na Ningishzidda akiweka majina yao katika kumbukumbu nao walikuwa ni Ninimma, Shuzianna, Ninmada, Ninbara, Ninmug, Musardu na Ningunna.

Kama kawaida, ninmah alichukua mayai 7 ya viumbe jamii ya nyani na kuyaweka kweny chombo cha udongo kisha kufanya uchanganyaji wa kijenetiki na vinasaba vya Adamu kisha alikata kidog gomvi la Adamu kisha kunyunyizia tone la damu kwenye vyombo 7 na kusema hili itakua ni ishara ya maisha nyama na roho vinaunganishwa pamoja, na kwenye vyombo hivi vya udongo watu wa duniani(earthlings) na Anunnaki wanaunganishwa.
Wakati Ninmah akisema yote hayo, Ningishzidda alikua akiyarekodi maneno hayo katik kumbukumbu.

Baada ya muda, wafanyakazi 7 walizaliwa katika matumbo ya Anunnaki kwa ajili ya kazi za migodini, Ningishzidda alikuwa na mpango wa kurudia zoezi ili wapatikane wengine zaid Enki alimwambia tutarudia maranyingi lakini bado watakuwa wachache, Ninmah alipendekeza kutengeneza watu wa kike ili wazaliane wao kwa wao na kuondoa karaha kwa Anunnaki wanawake.

Enki alimwambia Ningishzidda abadilishe formula iliyopo kwenye kifaa cha "Me" kwa ajili ya kupata mtoto wa kike.
Enki alikubali mke wake damkina kwa ajili ya zoezi zima la kubeba mimba ya mtoto wa kike.
Walimuita Damkina kwenye nyumba ya uzima, wakamuonesha adamu nankumueleza kila kitu, nae Damkina alikubali kubeba mimba ya mtoto wa kike.

Kwa utaratibu ule ule Damkina/Ninki alibeba ujauzito, muda wa kujifungua ulipofika hakufanikiwa kujifungua hivyo ilimpasa kujifungua kwa upasuaji chini ya Lady Ninmah .
Baada ya upasuaji alipata mtoto wa kike asiye na kasoro yoyote, alikua na nywele zenye rangi kama mchanga wa ufukweni(beach).
Ninki alifurahi sana na alimpatia jina la Ti-Amat lenye maan ya mama wa maisha(-the Mother of Life) yaani jina la sayari ambayo dunia na mwezi vilitokea.

Kama walivyotengeneza wanaume 7, walitengeneza wanawake wengine saba na kuwajemgea vumba 7 ili waishi pamoja kwa muda na waanze kuzaliana wao kwa wao.

Basi Enki, Ninmah ,Ningishzidda na Ninki walisherekea na kufurahia kwa sababu waliona wao ndio watakuwa watatuzi wa Anunnaki kuteseka machimbon/migodini.

Enki aliwachukua Adamu na Tiamati mpake Edini kweny mji wake wa Eridu, kisha kuwajengea makazi yao ili wawe huru kuzunguka watakapo.
Anunnaki waishio edin pamoja na Enlil na Ninurta ,Igigi waishio mars wakiongozana na Marduk wote walienda kuwaona.
Lakin Enlil hakupendezwa nao, igigi walishangilia kwa kuona mfano wa wafanyakazi(Lulu) kwa kuwa mateso yao yalikua mwishoni, Marduk alimpongeza Enki.

Na kule Abzu wale watoto 7 wa kiume na7 wakike walizidi kukua na kuongezeka.
Baada ya muda kusonga mbele na watu wa dunia kukua, Anunnaki wa Abzu walianza kukosa uvumilivu kwakuwa hawakuona hata mmoja wa wanawake (earthlings) wakipata mimba.
Ndipo Ningishzidda aliamua kuwachunguza kwa umakini kila siku ili kuyachunguza matendo yao. Aliwaona wakifanya mapenzi lakini hawakupata mimba hivyo hakuna kilichozaliwa.

Ndipo Ningishzidda alimpa toa wazo kwa Enki kuwa vinasaba(DNA) za Adamu na Tiamat zichunguzwe upya pia wapitie kumbu kumbu zote za kigenetic zilizohifadhiwa katika "Me" ili kugundua tatizo linalowafanya washindwe kuzaliana.

Ningishzidda alichukua vinasaba vya Adamu na Tiamati na kwenda navyo mpaka mji wa Shurubak, na akiwa ndani ya nyumba ya uponyaji/"house of healing" Alichunguza vinasaba hivyo huku akilinganisha na vinasaba vya anunnaki wa kike na wakiume.

Ningishzidda alifanya majaribio mbalimbali ya kigenetiki kwenye DNA za Adamu na Tiamati na aligundua kuwa DNA za mwanadamu (Adam na Tiamati) zilikuwa na matawi"Branches" 22 tofauti na vinasaba vya Anunnaki vyenye matawi 24. Akatambua kuwa hayo matawi mawili yaliyokosekana katika DNA za wanadamu ndio yamebeba nguvu ya uzazi. Aliwaonesha na kuwaelekeza Enki na Ninmah kitu kinachosababisha wanadamu washindwe kuzaliana.
Ninmah kusikia hivyo alitahamaki enki alichanganyikiwa, sababu uasi ulikuwa ukipamba moto kule Abzu. Enki aliwaambia kwa namna yoyote inatakiwa tupate jamii ya wanadamu wanaoweza kuzaliana nje na hapo itakuwa mwisho wa uchimbaji dhahabu.

Kwa kuwa Ningishzidda alikuwa ni mtaalamu wa genetics, aliwanong'oneza kitu wakubwa zake(Enki na Ninmah) kisha wasaidizi wote wa Ninmah waliokuwa ndani ya nyumba ya uponyaji walitolewa nje na milango yote ikafungwa na kubakia watano tu-Enki,Ninmah,Adam,Tiamati na Ningishzidda )

Kisha aliwapiga usingiz mzito wote wanne na kuwaondolea maumivu,kisha akachukua DNA kutoka kwenye ubavu(-rib bone marrow-) za Enki na kuzipandikiza kwenye ubavu wa Adam, kisha akachukua DNA katika ubavu wa Ninmah na kuupandikiza kwenye ubavu wa Tiamat.
Na akashona sehemu zote zilizokatwa.
Baada ya kumaliza aliwaamsha na kuwatangazia kwa sauti na ujasiri kuwa imekwisha(it is done)
Kisha akawaambia kwenye miti yao ya uzima(Mti wa Uzima/Vinasaba/DNA) nimeongeza matawi mawili yenye nguvu ya uzazi.
Ninmah alipendekeza waachiwe huru kutembea tembea ndani ya bustani ya Edin.
Baada ya muda, Adamu na Tiamati walipata ufahamu na kujijua wapo uchi, bila kuchelewa Tiamati alitengeneza vinguo vya majani kujisitiri sehemu zao.

Muda wa mchana jua kali,Enlili alikua akizunguka zunguka katika bustani, bila kutarajia alishangaa kuwaona Adam na Tiamati wamejivisha nguo za majani kusitiri nyeti zao.

Alimuita Enki na kumuuliza, "nini maana yake hii?"
Enki alimweleza juu ya kila kitu

Enlil alitokwa na maneno yenye hasira akisema, mpango huu sikuupenda tangu mwanzo, ninyi kujifanya ni muumba/waumbaji nilipinga.
Enki alimjibu , kiumbe tulichokuwa tunahitaji kilikuwepo tayali kilichotakiwa ni kuweka alama(Vinasaba) yetu ili kupata jamii ya viumbe duni vya kut*usaidia katika uchimbaji dhahabu
Jambo hilo liliwawwka hatarini Enki,Ninmah na Ningishzidda maana Enlil hakuamini kama wamefanikiwa kumpa mwanadamu uwezo wa kuzaliana (knowledge of procreation) na alikuwa akiogopa kama wanadamu wangekuwa na uwezo wa kuishi maisha marefu zaidi pia alihofia kama DNA za wanadamu zitajiimarisha zaidi(upgrading).

Basi bila kuchelewa Enki aliwaita Ninmah na Ningishzidda ili wampe maneno ya kumpooza Bwana Enlil.
Ningishzidda: ni kweli tumempa uwezo wa kuzaliana lakini tawi la maisha marefu hatujapandikiza katika mti wa uzima(DNA)

Ninmah: Kwan chagua letu ni lipi kaka yangu? Je, tumalize kwa kufeli na Nibiru yote iinge matatizoni kupamban na hatima(fate) yake au kujaribu tena na tena na tena, na kuwaacha wanadamu wazaliena ili wachukue nafasi yetu kule migodini?

Enlil: Basi wanadamu na waishi sehemu wanayotakiwa kuishi(Enlil aliongea kwa hasira), waende Abzu mbali na edin tuwafukuzie huko

ITAENDELEA...
Na huu ni mwisho wa kipande cha sita kati ya vipande 14 vya mawe vilivyopo huko sumeria vinavyoelezea historia yote ya Anunnaki kutokea huko kwao NIBIRU pamaja na Maisha yao hapa DUNIANI.

¤See you on seventh Tablet of Enki

MASWALI YAWE MAFUPI MAFUPI NA YENYE KUELEWEKA TAFADHALI.
YOTE YATAJIBIWA KWA MAELEZO SIKU INAYOFUATA.

Prepared by
Olyme Songo III
............. .............
For @everyoneView attachment 2822036View attachment 2822037
Nimesoma, naona ni kama confession ya submission kwa jambo fulani ambapo waelezaji wanaharakisha kuaminisha binadamu yaani mtu ni matokeo ya failures za kiutawala na uongozi kwenye jamii ya immaginary Annunakis.

Kuna missing links za kutosha kwenye confession hii.

WE ARE NOT CLONNED bali TULIUMBWA na Father of All purposelly kutimiza kusudi lake Kuu la kuwepo kwa kiumbe wa kazi ya mkono wake ili atawale aliviumba kwa Neno
 
SIXTH TABLET OF LOST BOOK OF ENKI.
(THE CREATION OF FIRST HUMAN BEING)

Mwandishi OLYME SONGO III STUDENT A MEMBER OF JAMES KORDY KASHIRINA TEAM.

Mara ya mwisho tuliona viongozi wakipigwa na butwaa na mpango wa Enki kutengeneza jamii ya wafanyakazi(LULU) kutoka kwenye viumbe jamii ya nyani, Lady ninmah aliona ni jambo gumu lisiliwezekana.

Lakin Enki aliendelee kuwaeleza viongozi wote juu ya mpango wake wa kuweka DNA zao kwenye viumbe hao wa Abzu ambao walikua wakitembea wima kwa miguu miwili,miguu yao ya mbele wakiitumia kama mikono,walikua hawavai nguo, walikua wakila majani kwa mikono yao na kunywa maji kutoka kwwnye ziwa,nywele zimeufunika mwili wote,na kichwani nywele ni nyingi kama simba.

(Bila shaka tunaona hao ni viumbe jamii ya nyani.)

Enlil aliendelea kubisha juu ya uwepo wa viumbe hao sababu hajawahi kuwaona sehemu yoyote ile.
Ninmah alikua akiwaza, inawezekana hata mababu wa mababu(ancestors) zao huko Nibiru waliwahi kuwa hivyo, na kupelekea kusema hao sio viumbe wa ajabu bali ni viumbe wa kawaida (it is a Being, not a creature)

Enki aliwachukua wote kuwapeleka kwenye Nyumba ya uzima/"House of life" ambako alikuwa amewafungia viumbe hao ndani ya mabanda.
Waliwaona wakiwarukia huku wengine wakipiga ngumi mabanda, walikua hawawezi kuongea neno lolote zaidi ya kukoroma na kuguna guna.

Enki aliwaeleza kuwa viumbe hao wanafanana na wao, sababu wana uke na uume,wanaweza kuzaliana, pia majibu kutoka majaribio ya Ningishzidda(mtoto wa Enki) yanaonesha nao wana DNA kama zetu(double helix) hivyo tukiweka alama zetu(DNA) basi viumbe hawa wataimarika(-na kuwa primitives worker) wataweza kufuata maelekezo yetu hivyo kupunguza karaha za wafanyakazi(Anunnaki) kuchimba dhahabu.

Enlil alipinga jambo hilo kwa hoja mbili, "utumwa tulishautokomeza miaka mingi iliyopita huko Nibiru, zana za kazi tulizifanya watumwa wetu na sio watu(being)".
Pili, hatukuja kuleta maisha mapya dunia ila kuchimba dhahabu, kuumba kitu kisichokuwepo na kukiweka katika uwepo hiyo ni kazi ya "Father of All"

ENKI alimjibu kusema, hatutengenezi watumwa bali wasaidizi.
Naye Ninmah akaongezea, hatuumbi kiumbe mpya bali tunamuimarisha/kumuongeze uwezo kiumbe ambaye tayali yupo.
ENLIL hakuacha kupinga sababu kuumba viumbe wapya ilikua ni kinyume na taratibu au sheria za kusafiri kutoka sayari moja kwenda nyingine (rules of planetary journey).
pia aliona ni kama kumsaidia "Father of all" kazi yake ya uumbaji. Lakin Ninmah alimjibu kumueleza kuwa "Father of all" amewapa akili,ufahamu na maarifa kwahiyo hii ni hatima yetu kuvitumia tulivyopewa.
NINURTA alimjibu mama yake(Ninmah): kwa hizo akili na ufahamu tumetengeneza vyombo vya anga, milima tunaisambaratisha kwa miale, hata anga letu la Nibiru tunaliponya kwa dhahabu, hivyo inapasa kutumia akili na ufahamu kwa ajili ya kutengeneza zana mpya mashine mpya na siyo watumwa.

NINGISHIZZIDA: matumizi ya ufahamu wetu hayawezi kuzuilika, na hatima haiwezi kubadilika tangu mwanzo hutafutwa.
ENLIL: Je, hivi ndivyo ilivyopangwa tangu mwanzo(destiny) au ni sisi ndo tunajiamlia(fate)?

Mjadala haukuishia hapo waliendelea kubishana na mwishowe waliwasilisha hilo jambo kwa mfalme Anu na baraza lote la Nibiru.
Baada ya majadiliano na makubaliano, Anu na baraza lake walikubaliana kuachana na sheria za kusafiri katika sayari ili nibiru iokolewe.
Anu alikubali wazo la kuwatengeneza LULU ili kurahisisha Mission yao ya dhahabu.
Taarifa zilitumwa kutoka ikulu ya Nibiru, lord Enki alizifurahia taarifa hizo. Alimuomba Lady Ninmah ashirikiane nae sababu ya uwezo wake mkubwa kwenye kwenye maswala ya hayo.

Ennugi ofisa mkuu wa machimbo ya Abzu aliwatangazia anunnaki wote wa Abzu, utengenezaji wa LULU utakapokamilika, kufanya kazi machimboni itakuwa ni hiari sio lazima. Basi wafanyakazi wa migodini waliacha kufanya uasi na kurudi tena kazini.

Ndani ya nyumba ya uzima, Ninmah alioneshwa majaribio mbali mbali ya kijenetiki ya wanyama tofauti.
Alimpeleka kwa Ningishzidda aliyemuelezea zaid kuhusu Genetic engineering na namna ya kuunganisha vinasaba.
Ningishzidda alimuonesha kanuni takatifu zilizohifadhiwa ndani ya "Me"
Ninmah alitazama namna viumbe wa kiume waliopo kwenye mabanda wanavyofanya mapenzi.
Baada ya kuuliza maswali mengi, Ninmah alipendekeza kiumbe jinsia ya kike apewe mimba na Anunnaki mwanaume, ili kizaliwe kichanga/"offspring" chenye vinasaba mchanganyiko, lakin Enki alijibu kusema wamefanya hivyo mara nyingi lakini hawajafanikiwa kutungisha mimba hata mara moja.

Baada ya kuumiza kichwa zaidi, Ninmah alipendekeza wachukue yai(ovum) la kiumbe jamii ya kike, walipandikize DNA za Anunnaki mwanaune kisha warudishe yai lililorutubishwa ndani ya tumbo la kiumbe jamii ya kike.

Baada ya Ninmah kufanya hivyo, mimba ilifanikiwa kutunga ndani ya tumbo la kiumbe huyo wa kike.
Walipiga hesabu tarehe ya kujifungua (Expected Date Of Delivery<EDD>) kila mmoja kamoyo kalikuwa juu juu(anxious) kusubiri tarehe hiyo ifike.

Muda ulipofika kiumbe huyo alishindwa kujifungua/kuzaa, ilimpasa Lady Ninmah kumfanyia upasuaji(Caesarian delivery) na kumtoa kiumbe huyo.
Kichanga(Newborn) kilikua kipo hai, Enki alishangilia,Ningishzidda alilia kwa furaha lakini Ninmah hakufurahia kwa sababu kichanga hicho kilifunikwa na nywele/manyoya mwili wote, miguu yake ya mbele ilikua sawa na viumbe wa duniani(viumbe jamii ya nyani), miguu ya nyuma ilikua kama ya anunnaki.

Walimwacha mama(kiumbe jamii ya nyani) akinyonyeshe kichanga na kichanga huyo alikua kwa kasi.
Mtoto huyo mpya alikuwa kwa kasi, uso wake haukua na sura kama za Anunnaki, mikono yake haikuwa ya kushika zana za kazi na kuongea kwake kulikuwa ni kwa kukoroma
Ninmah akishirikiana na Enki na Ningishzidda, walirudia tena upandikizaji wa mbegu za Anunnaki kweny yai la kiumbe jamii ya nyani.
Kwa umakini mkubwa Ninmah aliboresha uchanganyaji wa vinasaba vya yai/ova na sperm(mbegu) za Anunnaki kisha kurirudisha yai lililorutubishwa(fertilized) ndani ya tumbo la uzazi la kiumbe jamii ya nyani.

Kiumbe alipata mimba na siku ya kujifungua iliwadia. Kichanga kilinyonyeshwa na mama yake baada ya muda aliongezeka kimo,
Alikua na sura yenye mfanano na Anunnaki, mikono yakuweza kushika zana za kazi, ufahamu wa mtoto huyo ulikuwa na mapungufu sababu alikua hawezi kusikia , uwezo wa kuona ulikua dhaifu sana.
Bila kuchoka Lady ninmah alirudia zoezi la uchanganyaji vinasaba (genetic engineering) lakini hakufanikiwa sababu alipata matokeo chini ya kiwango.
Alipata watoto waliopalalaizi("paralyze") miguu,mwengine mikono ilikua ikitetemeka,mwingine alikuwa na matatizo ya ini,mwingine na matatizo ya mapafu,mwingine alipata mikono mifupi isiyofika mdomon.

Enki alikatishwa tamaa na matokeo hayo sababu alishindwa kupata kiumbe wa kuweza kufanya kazi.
Lakin Ninmah alimwambia kaka yake kuwa bado anamsukumo wa kuendelea na majaribio.
Ninmah alifanya jaribio lingine lakina bado hakufanikiwa

Baada ya kutafakari kwa muda, Lord Enki alipata wazo kuwa tatizo linaweza lisiwe kwenye uchanganyaji(genetic engineering) ila kwenye kifaa(vessel) ya kuchanganyia.
Enki aliona inatakiwa kutumia kifaa cha kuchanganyia kilichotengenezwa na marighafi za hapa duniani na sio kutumia kifaa kilichotengenezwa Nibiru,
Enki alipendekeza kifaa kitengenezwe kwa udongo wa mfinyanzi wa huko Abzu.

Ninmah alikubaliana na wazo la Enki, na kutengeneza chombo kisha kukisafishabkwa ajili ya kazi ya uchanganyaji wa vinasaba.
Alirudia tena zoezi la upandikizaji mimba kwenye kiumbe jamii ya nyani kwenye chombo kilichotengenezwa kwa udongo wa Abzu.
Baada ya mtoto kuzaliwa, Enki na Ningishzidda walimpongeza Ninmah kwa kazi nzito aliyoifanya na kuruhusu kichanga anyonyeshwe.
Baada ya mtoto huyo kukuwa walikuja kugundua nae anakasoro ya kuelewa, hawezi kuongea zaidi ya kukoroma na kugunaguna.

Enki aliwaza zaidi mara zote wamekuwa wakiweka yai lililorutubishwa ndani ya tumbo la uzazi la kiumbe wa duniani jamii ya nyani, alidhania tumbo hilo la uzazi linaweza kuwa kikwazo katika kupata kichanga"newborn" asiye na mapungufu. Alipendekeza yai lililorutubishwa liwekwe ndani ya tumbo la uzazi la Anunnaki mwanamke.

Ukimya ulitawala ndani ya nyumba ya uzima, sababu hakuna aliyewaza wala kusikia maneno kama hayo kabla.
Ndipo Ninmah alivunja ukimya kusema "maneno yako yanahekima kaka, inawezekana mchanganyiko sahihi unawekwa kwenye tumbo lisilosahihi" Kwa sauti ya kutetemeka Ninmah aliuliza je, ni Anunnaki gani yupo tayali kuruhusu tumbo lake libebe ujauzito?
Enki alikubali mkewe Ninki/Damkina kubeba mimba yenye mchanganyiko wa vinasaba vya Anunnaki na viumbe vya duniani jamii ya nyani.
Muda Enki anapotaka kuondoka kwenda kwa mkewe ili amshawishi, Lady Ninmah alimshika mkono begani kumwambia "mimi ndo ninayetengeneza mchanganyiko wacha pongezi au hatari vinikute mimi mwenyewe, nimejitolea tumbo langu kubeba ujauzito either kwa hatima mbaya au nzuri"
Enki aliinamisha kichwa chake kisha kumkombatia na kusema "na iwe hivyo"

Kama kawaida wakachanganya mchanganyiko wa yai la kiumbe wa duniani na vinasaba vya Anunnaki mwanaume kwenye chimbo cha udongo, Enki mwenyewe ndiye aliyeuweka mchanganyiki huo ndani ya tumbo la uzazi la Ninmah. Mimba ilitungwa ndani ya Ninmah na kila mtu alijiuliza atajifungua baada ya muda gani, je ni miezi tisa ya Nibiru au miezi tisa ya duniani?
Lakini kwa muda mrefu zaidi ya miezi tisa ya duniani na muda mchache kuliko miezi 9 ya Nibiru, Ninmah alijifungua mtoto wa kiume mwenye muonekano kama Anunnaki.
Enki alikapiga matako nako kakalia kama kilio kama ilivyokawaida. Ninmah alifurahi na kusema kazi ya mikono yangu imefanikiwa.
Walipomchunguza kichanga huyo waliona hana mapungufu yotote kama wale waliozaliwa mwanzo, alikua na kichwa chenye nywele nyeusi, na ngozi nyeusi laini kama ya anunnaki.
Alikua na "penis"(uume) yenye gomvi-ngozi inayofunika kichwa cha penis tofauti na Anunnaki ambao penis zao zilikua hazina gomvi.
Enki alisema na hii iwe tofauti ya earthings na Anunaki.
Enki alimwangalia Ninmah anavyomnyonyesha kichanga, naye akasema machoyangu yanamuona mama na mwanae wala sio Ninmah na kiumbe.

Enki alimuuliza utampa jina gani maana huyu sio kiumbe tena bali ni mtu(A Being he is, not a creature)
Ninmah alimtazama mwanae huku akimpapasa ngozi yake, alimwita Adam akimaanisha yeye ambaye anafanana na udongo wa dunia (ADAM-One Who Like Earth's Clay Is)

Enki akasema, mfano wa wafanyakazi tunaohitaji tumepata,adamu atalelewa kama mzaliwa wa kwanza, kamwe hatohusishwa na kazi za migodini ila vinasaba vyake vitatumiwa kuzalisha kundi kubwa la wafanyakazi kama yeye.
Ninmah alifurahisha na maneno hayo, Ningishzidda aliuliza je, tutapata wapi matumbo ya kubebesha mayai ya viumbe jamii ya nyani yaliyorutushishwa?

Ninmah akasuluhisha tatizo , kwa kuahidi kuwaita manesi wake waliopo kule Shurubak mji wa uponyaji/Healing city.

Anunnaki 7 waliokubali zoezi hilo walipita mbele na Ningishzidda akiweka majina yao katika kumbukumbu nao walikuwa ni Ninimma, Shuzianna, Ninmada, Ninbara, Ninmug, Musardu na Ningunna.

Kama kawaida, ninmah alichukua mayai 7 ya viumbe jamii ya nyani na kuyaweka kweny chombo cha udongo kisha kufanya uchanganyaji wa kijenetiki na vinasaba vya Adamu kisha alikata kidog gomvi la Adamu kisha kunyunyizia tone la damu kwenye vyombo 7 na kusema hili itakua ni ishara ya maisha nyama na roho vinaunganishwa pamoja, na kwenye vyombo hivi vya udongo watu wa duniani(earthlings) na Anunnaki wanaunganishwa.
Wakati Ninmah akisema yote hayo, Ningishzidda alikua akiyarekodi maneno hayo katik kumbukumbu.

Baada ya muda, wafanyakazi 7 walizaliwa katika matumbo ya Anunnaki kwa ajili ya kazi za migodini, Ningishzidda alikuwa na mpango wa kurudia zoezi ili wapatikane wengine zaid Enki alimwambia tutarudia maranyingi lakini bado watakuwa wachache, Ninmah alipendekeza kutengeneza watu wa kike ili wazaliane wao kwa wao na kuondoa karaha kwa Anunnaki wanawake.

Enki alimwambia Ningishzidda abadilishe formula iliyopo kwenye kifaa cha "Me" kwa ajili ya kupata mtoto wa kike.
Enki alikubali mke wake damkina kwa ajili ya zoezi zima la kubeba mimba ya mtoto wa kike.
Walimuita Damkina kwenye nyumba ya uzima, wakamuonesha adamu nankumueleza kila kitu, nae Damkina alikubali kubeba mimba ya mtoto wa kike.

Kwa utaratibu ule ule Damkina/Ninki alibeba ujauzito, muda wa kujifungua ulipofika hakufanikiwa kujifungua hivyo ilimpasa kujifungua kwa upasuaji chini ya Lady Ninmah .
Baada ya upasuaji alipata mtoto wa kike asiye na kasoro yoyote, alikua na nywele zenye rangi kama mchanga wa ufukweni(beach).
Ninki alifurahi sana na alimpatia jina la Ti-Amat lenye maan ya mama wa maisha(-the Mother of Life) yaani jina la sayari ambayo dunia na mwezi vilitokea.

Kama walivyotengeneza wanaume 7, walitengeneza wanawake wengine saba na kuwajemgea vumba 7 ili waishi pamoja kwa muda na waanze kuzaliana wao kwa wao.

Basi Enki, Ninmah ,Ningishzidda na Ninki walisherekea na kufurahia kwa sababu waliona wao ndio watakuwa watatuzi wa Anunnaki kuteseka machimbon/migodini.

Enki aliwachukua Adamu na Tiamati mpake Edini kweny mji wake wa Eridu, kisha kuwajengea makazi yao ili wawe huru kuzunguka watakapo.
Anunnaki waishio edin pamoja na Enlil na Ninurta ,Igigi waishio mars wakiongozana na Marduk wote walienda kuwaona.
Lakin Enlil hakupendezwa nao, igigi walishangilia kwa kuona mfano wa wafanyakazi(Lulu) kwa kuwa mateso yao yalikua mwishoni, Marduk alimpongeza Enki.

Na kule Abzu wale watoto 7 wa kiume na7 wakike walizidi kukua na kuongezeka.
Baada ya muda kusonga mbele na watu wa dunia kukua, Anunnaki wa Abzu walianza kukosa uvumilivu kwakuwa hawakuona hata mmoja wa wanawake (earthlings) wakipata mimba.
Ndipo Ningishzidda aliamua kuwachunguza kwa umakini kila siku ili kuyachunguza matendo yao. Aliwaona wakifanya mapenzi lakini hawakupata mimba hivyo hakuna kilichozaliwa.

Ndipo Ningishzidda alimpa toa wazo kwa Enki kuwa vinasaba(DNA) za Adamu na Tiamat zichunguzwe upya pia wapitie kumbu kumbu zote za kigenetic zilizohifadhiwa katika "Me" ili kugundua tatizo linalowafanya washindwe kuzaliana.

Ningishzidda alichukua vinasaba vya Adamu na Tiamati na kwenda navyo mpaka mji wa Shurubak, na akiwa ndani ya nyumba ya uponyaji/"house of healing" Alichunguza vinasaba hivyo huku akilinganisha na vinasaba vya anunnaki wa kike na wakiume.

Ningishzidda alifanya majaribio mbalimbali ya kigenetiki kwenye DNA za Adamu na Tiamati na aligundua kuwa DNA za mwanadamu (Adam na Tiamati) zilikuwa na matawi"Branches" 22 tofauti na vinasaba vya Anunnaki vyenye matawi 24. Akatambua kuwa hayo matawi mawili yaliyokosekana katika DNA za wanadamu ndio yamebeba nguvu ya uzazi. Aliwaonesha na kuwaelekeza Enki na Ninmah kitu kinachosababisha wanadamu washindwe kuzaliana.
Ninmah kusikia hivyo alitahamaki enki alichanganyikiwa, sababu uasi ulikuwa ukipamba moto kule Abzu. Enki aliwaambia kwa namna yoyote inatakiwa tupate jamii ya wanadamu wanaoweza kuzaliana nje na hapo itakuwa mwisho wa uchimbaji dhahabu.

Kwa kuwa Ningishzidda alikuwa ni mtaalamu wa genetics, aliwanong'oneza kitu wakubwa zake(Enki na Ninmah) kisha wasaidizi wote wa Ninmah waliokuwa ndani ya nyumba ya uponyaji walitolewa nje na milango yote ikafungwa na kubakia watano tu-Enki,Ninmah,Adam,Tiamati na Ningishzidda )

Kisha aliwapiga usingiz mzito wote wanne na kuwaondolea maumivu,kisha akachukua DNA kutoka kwenye ubavu(-rib bone marrow-) za Enki na kuzipandikiza kwenye ubavu wa Adam, kisha akachukua DNA katika ubavu wa Ninmah na kuupandikiza kwenye ubavu wa Tiamat.
Na akashona sehemu zote zilizokatwa.
Baada ya kumaliza aliwaamsha na kuwatangazia kwa sauti na ujasiri kuwa imekwisha(it is done)
Kisha akawaambia kwenye miti yao ya uzima(Mti wa Uzima/Vinasaba/DNA) nimeongeza matawi mawili yenye nguvu ya uzazi.
Ninmah alipendekeza waachiwe huru kutembea tembea ndani ya bustani ya Edin.
Baada ya muda, Adamu na Tiamati walipata ufahamu na kujijua wapo uchi, bila kuchelewa Tiamati alitengeneza vinguo vya majani kujisitiri sehemu zao.

Muda wa mchana jua kali,Enlili alikua akizunguka zunguka katika bustani, bila kutarajia alishangaa kuwaona Adam na Tiamati wamejivisha nguo za majani kusitiri nyeti zao.

Alimuita Enki na kumuuliza, "nini maana yake hii?"
Enki alimweleza juu ya kila kitu

Enlil alitokwa na maneno yenye hasira akisema, mpango huu sikuupenda tangu mwanzo, ninyi kujifanya ni muumba/waumbaji nilipinga.
Enki alimjibu , kiumbe tulichokuwa tunahitaji kilikuwepo tayali kilichotakiwa ni kuweka alama(Vinasaba) yetu ili kupata jamii ya viumbe duni vya kut*usaidia katika uchimbaji dhahabu
Jambo hilo liliwawwka hatarini Enki,Ninmah na Ningishzidda maana Enlil hakuamini kama wamefanikiwa kumpa mwanadamu uwezo wa kuzaliana (knowledge of procreation) na alikuwa akiogopa kama wanadamu wangekuwa na uwezo wa kuishi maisha marefu zaidi pia alihofia kama DNA za wanadamu zitajiimarisha zaidi(upgrading).

Basi bila kuchelewa Enki aliwaita Ninmah na Ningishzidda ili wampe maneno ya kumpooza Bwana Enlil.
Ningishzidda: ni kweli tumempa uwezo wa kuzaliana lakini tawi la maisha marefu hatujapandikiza katika mti wa uzima(DNA)

Ninmah: Kwan chagua letu ni lipi kaka yangu? Je, tumalize kwa kufeli na Nibiru yote iinge matatizoni kupamban na hatima(fate) yake au kujaribu tena na tena na tena, na kuwaacha wanadamu wazaliena ili wachukue nafasi yetu kule migodini?

Enlil: Basi wanadamu na waishi sehemu wanayotakiwa kuishi(Enlil aliongea kwa hasira), waende Abzu mbali na edin tuwafukuzie huko

ITAENDELEA...
Na huu ni mwisho wa kipande cha sita kati ya vipande 14 vya mawe vilivyopo huko sumeria vinavyoelezea historia yote ya Anunnaki kutokea huko kwao NIBIRU pamaja na Maisha yao hapa DUNIANI.

¤See you on seventh Tablet of Enki

MASWALI YAWE MAFUPI MAFUPI NA YENYE KUELEWEKA TAFADHALI.
YOTE YATAJIBIWA KWA MAELEZO SIKU INAYOFUATA.

Prepared by
Olyme Songo III
............. .............
For @everyoneView attachment 2822036View attachment 2822037
Huyu jamaa aliye prepare hili bandiko huko Facebook ni motivation speaker wa haya mambo
 
Back
Top Bottom