FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
- Thread starter
- #61
kam huamini siku nyingine uliza watu ni kwa nini ameitwa hilo jina lake utastaajabu.mi nikiulizwa inakuwa ni rahisi nimeitwa compressor coz baba alikuwa fundi mafriji na kila friji linalokuja yeye anasema ubovu wake ni compressor,issue zake dili zake ni compressor,ziwe nzima hata mbovu,then nilipokuja na mimi kaniita compressor.hii si haki! si haki pia kwa mtoto utayemzaa kumwita jina kutokana na matashi ya nafsi yako
hahaha pole sir compressor ...inawezekana hata langu lilikuwa small house long ago jamani maajabu ya dunia