Mabere Marando ni nani?

Acheni kuchunguza chunguza watu. Cha msingi kuheshimu katiba ya nchi na ya chama. Hayo mengine mambo binafsi...
 
hoja yako imesimama nakumbuka kipindi hicho NCCR ilikuwa inaongozwa na Mrema ambaye baadae tulikuja gunduwa alikuwa ni pandikizi la ccm,pila kuwepo Dr Lamwai ambaye na yeye piya alikuwa pandikizi na sijui sasa hivi kapoteleya wapi.piya alikuwepo Makongoro Nyerere ambaye piya alikuwa pandikizi la CCC sasa huyu Marando ndugu yetu kiukweli simpingi kuwa Chadema ila nataka kujua je na yeye alikuwa pandikizi la ccm kama wenzake kipindi yupo Nccr kama hapana je hakuweza kuwagunduwa wenzake kuwa ni mapandiki ya ccm kupitia taaluma zake.je ni kwanini wote wa tatu marando,lamwai na makongoro baada ya uchaguzi 1995 wote walirudi ccm na kukabidhiwa vyeo inamaana walikuwa wanalipwa kutokana na kazi yao nzuri.kiukweli kuna utata


Marando hakuwahi kurudi CCM
 
Tuwasubiri wajuzi natamani angekuwepo mwenyewe Mabere humu jamvini ili ayajibu haya maswali
 
may be historia ya kanchi kangu imenipiga kando.ilikuwaje hadi leo hii hawa mahaini wapo uraiani wanadunda?au ulipita msamaha wa Rais?
mimi nakumbuka kipindi nko kinda kuona magazeti yalikua yakifuatilia kesi ya uhaini wa mwaka 1982..Hans pope na macghee ni majina yaliyostick kwenye mind lakini sikujua kuwa ndo huyo zakaria hans pope.

Nafahamu wapo waliofungwa,walioachwa huru na wengine waliachiwa kwa msamaha wa rais.
 
Inawezekana, make kama ametaja namba zote, lakini mpaka leo sijasikia mtu akitishia kwenda mahakamani. Riz1 alimtishiaka Slaa kwamba asipothibitisha yeye (riz) ni bilionea atamburuza mahakamani, kwenye hii naona hajasikia bado.
 
Mkuu Pasco hebu njoo utusaidie habari za huyu comrade, ni mambo ya msingi sana kuyajua kama wadadisi.

1. Alisomea sheria kwenye kile chuo cha sheria na kuhitimu mwaka ule aliohitimu.

2. Yeye kutamka hadharani kua ni mwanausalama ni athari mzuri za kisiasa ndani ya chadema kwa sababu na "rais" wa watu naye anapata ile daily S-briefing na ndio maana anashuka na nondo za kiuhakika za kufa mtu.

3. Amewahi kufikia rank juu kabisa ndani ya usalama na operesheni zote muhimu ameshiriki.

4. Mchango wake katika kuinusuru NCCR Mageuzi ni mkubwa, ila tatizo iliisha athirika beyond repair ndio maana ikasambaratisha yenyewe tuu!.

5. Uwepo wake CHADEMA ni kwa ajili ya kuuimarisha, ila ikitokea Chadema ikaathirika, beyond repair, this time atautumia uzoefu wa NCCR kuhakikisha Chadema, kamwe haiwezi kusambaratika!. itaishi milele!.
6. Mafunzo ya ujasusi aliyapatia kwenye kile chuo cha ujasusi alichosomea.

7. Yeye kwa ngazi aliyofikia, hawezi kuwa bado ni agent wa TISS mpaka sasa, maagent ni wale samaki wadogo wadogo, hawa wakubwa sio maajenti, hao ni permanent!, ndio wenyewe!.

NB. Kwa wapenzi wa Chadema, ili Chadema iweze kukabidhiwa nchi mwaka 2015, kama ikishinda uchaguzi, then kwanza ni lazima Chadema kipate vetting ya TISS, hivyo Marando ni muhimu sana kwa Chadema kuliko kiongozi mwingine yoyote!. Ikulu haikabidhiwi kwa siasa za majukwaani, yaani by voting, bali hukabidhiwa by vetting!.

Na mnaodhania ni Marando peke yake ndio mtu wa Tiss ndani ya Chadema, mjijue hamjui chochote kuhusu siasa za kweli za nchi hii!, sisi tunaowaambia ukweli kuwa 2015 ni CCM tena!, mnatuchukia, na badala yake mnawapenda wale wanaowadanganya kuwa 2015 ni Chadema!.

Endeleeni kufuatilia watu!, laiti mngelijua kuwa "politics is just a game!" wala msingejisumbua kujiuliza, ila kwa vile ni kwa lengo la kujifurahisha tuu na kufurahisha nafsi zenu, endeleeni kujifurahisheni tuu.
Pasco.
 
1. Alisomea sheria kwenye kile chuo cha sheria na kuhitimu mwaka ule aliohitimu.

2. Yeye kutamka hadharani kua ni mwanausalama ni athari mzuri za kisiasa ndani ya chadema kwa sababu na "rais" wa watu naye anapata ile daily S-briefing na ndio maana anashuka na nondo za kiuhakika za kufa mtu.

3. Amewahi kufikia rank juu kabisa ndani ya usalama na operesheni zote muhimu ameshiriki.

4. Mchango wake katika kuinusuru NCCR Mageuzi ni mkubwa, ila tatizo iliisha athirika beyond repair ndio maana ikasambaratisha yenyewe tuu!.

5. Uwepo wake CHADEMA ni kwa ajili ya kuuimarisha, ila ikitokea Chadema ikaathirika, beyond repair, this time atautumia uzoefu wa NCCR kuhakikisha Chadema, kamwe haiwezi kusambaratika!. itaishi milele!.
6. Mafunzo ya ujasusi aliyapatia wapi?

7. Yeye kwa ngazi aliyofikia, hawezi kuwa bado ni agent wa TISS mpaka sasa, maagent ni wale samaki wadogo wadogo, hawa wakubwa sio maajenti, hao ndio wenyewe!.

NB. Kwa wapenzi wa Chadema, ili Chadema iweze kukabidhiwa nchi mwaka 2015, kama ikishinda uchaguzi, then kwanza ni lazima Chadema kipate vetting ya TISS, hivyo Marando ni muhimu sana kwa Chadema kuliko kiongozi mwingine yoyote!. Ikulu haikabidhiwi kwa siasa za majukwaani, by voting, bali by vetting!.

Na mnaodhania ni Marando peke yake, mjinue hamjui chochote kuhusu siasa za nchi hii!, sisi tunaowaambia ukweli kuwa 2015 ni CCM tena!, mnatuchukia, na badala yake mnawapenda wale wanaowadanganya kuwa 2015 ni Chadema!.

Endeleeni kufuatilia watu!, laiti mngelijua "politics is just a game!" wala msingejisumbua kujiuliza, ila kwa vile ni kwa lengo la kufurahisha nafsi zenu, endeleeni kujifurahisheni tuu.
Pasco.


Ni mchana sasa mkuu. Au hangover za wkiend?
 
wakuu naomba uchambuzi wa kina Juu ya mwanasheria huyu.

6. Mafunzo ya ujasusi aliyapatia wapi?

............ALISOMEA NCHINI LIBYA, alisema mwenyewe akiwa kwenye mkutano wa hadhara wa CHADEMA kwenye uzinduzi wa kampeni za urais mwaka 2010, ilikuwa ni pale viwanja vya jangwani, jijini dsm.

Copy: Pasco
 
Last edited by a moderator:
NB. Kwa wapenzi wa Chadema, ili Chadema iweze kukabidhiwa nchi mwaka 2015, kama ikishinda uchaguzi, then kwanza ni lazima Chadema kipate vetting ya TISS, hivyo Marando ni muhimu sana kwa Chadema kuliko kiongozi mwingine yoyote!. Ikulu haikabidhiwi kwa siasa za majukwaani, by voting, bali by vetting!.

Na mnaodhania ni Marando peke yake, mjinue hamjui chochote kuhusu siasa za nchi hii!, sisi tunaowaambia ukweli kuwa 2015 ni CCM tena!, mnatuchukia, na badala yake mnawapenda wale wanaowadanganya kuwa 2015 ni Chadema!.

Endeleeni kufuatilia watu!, laiti mngelijua "politics is just a game!" wala msingejisumbua kujiuliza, ila kwa vile ni kwa lengo la kufurahisha nafsi zenu, endeleeni kujifurahisheni tuu.
Pasco.

THE UNDERLINED ARE THE EXISTING FACTS

Ref: George W. Bush vs Al-Gore in the United States of America, presidential race!!!!!
 
Back
Top Bottom