Mabere Marando ni nani?

Tiss ukiingia ni hadi pumzi yako ya mwisho, hakuna mapumziko wala rikizo.
Kwa hiyo hapo mfanyakazi anakuwa ni mtu wa kazi kwa kwenda mbele, ukisikia/ukahakikishiwa kuwa fulani anafanya kazi huko tuelewe tu kuwa huyo ni mfanyakazi hadi kifo.

Yaani hiyo kazi (kitengo) ni zaid ya ndoa ya Kanisani kuwa hakuna talaka.



likizo
 
wakuu naomba uchambuzi wa kina Juu ya mwanasheria huyu.

1. Alisomea sheria wapi na kuhitimu mwaka gani?

2. Yeye kutamka hadharani kua ni mwanausalama na athari zake kisiasa ndani ya chadema

3. Amewahi kufikia rank gani ndani ya usalama na operesheni alizoshiriki.

4. Mchango wake katika kuinusuru au kuisambaratisha NCCR mageuzi.

5. Uwepo wake CHADEMA na uwezekano wa kuisambaratisha au kuiimarisha.

6. Mafunzo ya ujasusi aliyapatia wapi?

7. kama bado ni agent wa TISS mpaka sasa.
Ni mdg wake mabere makubi
 
Duh bhebhe ngosha mbona unashukaga nondo zamanguvu hivi
1. Alisomea sheria kwenye kile chuo cha sheria na kuhitimu mwaka ule aliohitimu.

2. Yeye kutamka hadharani kua ni mwanausalama ni athari mzuri za kisiasa ndani ya chadema kwa sababu na "rais" wa watu naye anapata ile daily S-briefing na ndio maana anashuka na nondo za kiuhakika za kufa mtu.

3. Amewahi kufikia rank juu kabisa ndani ya usalama na operesheni zote muhimu ameshiriki.

4. Mchango wake katika kuinusuru NCCR Mageuzi ni mkubwa, ila tatizo iliisha athirika beyond repair ndio maana ikasambaratisha yenyewe tuu!.

5. Uwepo wake CHADEMA ni kwa ajili ya kuuimarisha, ila ikitokea Chadema ikaathirika, beyond repair, this time atautumia uzoefu wa NCCR kuhakikisha Chadema, kamwe haiwezi kusambaratika!. itaishi milele!.
6. Mafunzo ya ujasusi aliyapatia kwenye kile chuo cha ujasusi alichosomea.

7. Yeye kwa ngazi aliyofikia, hawezi kuwa bado ni agent wa TISS mpaka sasa, maagent ni wale samaki wadogo wadogo, hawa wakubwa sio maajenti, hao ni permanent!, ndio wenyewe!.

NB. Kwa wapenzi wa Chadema, ili Chadema iweze kukabidhiwa nchi mwaka 2015, kama ikishinda uchaguzi, then kwanza ni lazima Chadema kipate vetting ya TISS, hivyo Marando ni muhimu sana kwa Chadema kuliko kiongozi mwingine yoyote!. Ikulu haikabidhiwi kwa siasa za majukwaani, yaani by voting, bali hukabidhiwa by vetting!.

Na mnaodhania ni Marando peke yake ndio mtu wa Tiss ndani ya Chadema, mjijue hamjui chochote kuhusu siasa za kweli za nchi hii!, sisi tunaowaambia ukweli kuwa 2015 ni CCM tena!, mnatuchukia, na badala yake mnawapenda wale wanaowadanganya kuwa 2015 ni Chadema!.

Endeleeni kufuatilia watu!, laiti mngelijua kuwa "politics is just a game!" wala msingejisumbua kujiuliza, ila kwa vile ni kwa lengo la kujifurahisha tuu na kufurahisha nafsi zenu, endeleeni kujifurahisheni tuu.
Pasco.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuu naomba uchambuzi wa kina Juu ya mwanasheria huyu.

1. Alisomea sheria wapi na kuhitimu mwaka gani?

2. Yeye kutamka hadharani kua ni mwanausalama na athari zake kisiasa ndani ya chadema

3. Amewahi kufikia rank gani ndani ya usalama na operesheni alizoshiriki.

4. Mchango wake katika kuinusuru au kuisambaratisha NCCR mageuzi.

5. Uwepo wake CHADEMA na uwezekano wa kuisambaratisha au kuiimarisha.

6. Mafunzo ya ujasusi aliyapatia wapi?

7. kama bado ni agent wa TISS mpaka sasa.
Haya maswali hayana umuhimu wowote ktk ujenzi wa Taifa . Tuchape kazi .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom