Noel france
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 998
- 736
Pasco unanipa mashaka katika ukuwaji wako. Naamini umemshushia heshma mama yako si mara moja. umenifanya niamini kwa jinsi mama yako alivyo bomba enzi zake,lakini toka alipo mkubalia baba yako kukutafuta wewe na ndugu zako wengine.
kwa sasa umekua anaanza kumsema vibaya mama yako.huku ni kukosa adabu kwa wazazi wako.
Pia kukosa adabu kwa chama kilicho kupokea
kwa sasa umekua anaanza kumsema vibaya mama yako.huku ni kukosa adabu kwa wazazi wako.
Pia kukosa adabu kwa chama kilicho kupokea