Kajansi hata mie natokea maeneo ya hapo Bkb V na nikupongeze ulivyoweka initiatives kama hizo.sasa mfano tukidentify kitu ambacho itabidi tukifanye,zaidi navyoona tutaishia kuelewana sisi wa hapahapa jamvini na wakati pale mkoani wapo vijana kibao hawajuhi hili wala lile tutawapataje na kuwafikiaje hawa?ndo maana mie nilionelea kamati iundwe ifike maeneo watu wasaidiwe na nyinyi kama ww ndo mnakuwa case study eneo husika ama vip?
i.e tujumuishe mass isiwe mtu mmoja mmoja ili iwe participatory zaidi
Nimekupata mkuu nadhani inasound practical! Lets move on.