Egwugu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,558
- 8,555
Haya tuje hapa tutoe maoni/maazimio yetu juu ya nini tunafanya,tufanyeje,tuanzie wapi n.k ili baada ya hili zoezi kaka yetu Omutwale atuongoze kuelekea kwenye majukumu na utekelezaji
Tunaomba tutumie siku 3 kwanzia leo hadi J2 ili hatua inayofuata ianze,njooni nyote hapa mwambie na yule jirani ilimradi awe mwanakagera na aliye tayari kwa shughuri hii
Kwa mara nyingine tena karibuni sana ..Mnyegere ba tata na ba mawe!!!!
Tunaomba tutumie siku 3 kwanzia leo hadi J2 ili hatua inayofuata ianze,njooni nyote hapa mwambie na yule jirani ilimradi awe mwanakagera na aliye tayari kwa shughuri hii
Kwa mara nyingine tena karibuni sana ..Mnyegere ba tata na ba mawe!!!!