Maazimio ya Wanakagera(KYL) kuelekea Kagera mpya

Maazimio ya Wanakagera(KYL) kuelekea Kagera mpya

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,555
Haya tuje hapa tutoe maoni/maazimio yetu juu ya nini tunafanya,tufanyeje,tuanzie wapi n.k ili baada ya hili zoezi kaka yetu Omutwale atuongoze kuelekea kwenye majukumu na utekelezaji

Tunaomba tutumie siku 3 kwanzia leo hadi J2 ili hatua inayofuata ianze,njooni nyote hapa mwambie na yule jirani ilimradi awe mwanakagera na aliye tayari kwa shughuri hii

Kwa mara nyingine tena karibuni sana ..Mnyegere ba tata na ba mawe!!!!
 
Ngoja nianze,napendekeza yafuatayo yawe maazimio

1.Tuunde kamati za;

a. kuhamasisha uwekezaji k.v shule, vyuo, viwanda, kilimo na utalii mkoani kutoka ndani na nje
b. kamati ya kufanya trip kuelimisha vijijini&mijini
c. kamati ya kutoa ushauri wa kitaalamu juu ya mambo mbalimbali sekta zote i.e iundwe na daktari,mwalimu,musheria,mchumi,muhabari,kilimo n.k

2.Kufungua ofisi kuu HQ pale Bkb mjini
 
Ngoja nianze,napendekeza yafuatayo yawe maazimio

1.Tuunde kamati za;

a. kuhamasisha uwekezaji k.v shule, vyuo, viwanda, kilimo na utalii mkoani kutoka ndani na nje
b. kamati ya kufanya trip kuelimisha vijijini&mijini
c. kamati ya kutoa ushauri wa kitaalamu juu ya mambo mbalimbali sekta zote i.e iundwe na daktari,mwalimu,musheria,mchumi,muhabari,kilimo n.k

2.Kufungua ofisi kuu HQ pale Bkb mjini

lengo hasa ni nini? Mjue tz imebadilika sana, mmakonde naye kaenda shule siku hizi ooh
 
Waitu nimbona ogu omuda twakugutumie abindi! Nikiwa na maana kwamba ni vigumu kufanya kitu chochote cha maana kwa mkoa wetu kwa utaratibu ulio upendekeza hapo juu:
Mimi ninaona njia pekee ni kuangalia matatizo ambayo tunaweza kuyamaliza bila kutumia vikao, kamati nk maana hii itareta tena ulaji tu.
Tufanye hivi: Angalia shule zetu hazina maji salama. kwa nini tusfanye harambee tuchange fedha mpaka tunazipatia shule hizi ufumbuzi wa matatizo haya!
 
lengo hasa ni nini? Mjue tz imebadilika sana, mmakonde naye kaenda shule siku hizi ooh

Wewe ni mwanakagera?? kama ndiyo basi tafuta humu thread inayohusu wanakagera ipitie then utaelewa tunachomaanisha ila tunaomba hatuitaji kuzodoana wala lugha zozote za kupotosha malengo yetu kama ilo fumbo ulilolisema la wamakonde

Be polite and focused,vinginevyo karibu utupe mchango wako.
 
Wahaya nao mmeanza mambo yenu!

kimekuuma kitu gani sasa hapa na umefata nn huku yasiyokuhusu?? samahani hayakuhusu tuachie sisi ..kaa pembeni tuongee tukimaliza utakaribishwa
 
Waitu nimbona ogu omuda twakugutumie abindi! Nikiwa na maana kwamba ni vigumu kufanya kitu chochote cha maana kwa mkoa wetu kwa utaratibu ulio upendekeza hapo juu:
Mimi ninaona njia pekee ni kuangalia matatizo ambayo tunaweza kuyamaliza bila kutumia vikao, kamati nk maana hii itareta tena ulaji tu.
Tufanye hivi: Angalia shule zetu hazina maji salama. kwa nini tusfanye harambee tuchange fedha mpaka tunazipatia shule hizi ufumbuzi wa matatizo haya!

Notinaki si?
 
Waitu nimbona ogu omuda twakugutumie abindi! Nikiwa na maana kwamba ni vigumu kufanya kitu chochote cha maana kwa mkoa wetu kwa utaratibu ulio upendekeza hapo juu:
Mimi ninaona njia pekee ni kuangalia matatizo ambayo tunaweza kuyamaliza bila kutumia vikao, kamati nk maana hii itareta tena ulaji tu.
Tufanye hivi: Angalia shule zetu hazina maji salama. kwa nini tusfanye harambee tuchange fedha mpaka tunazipatia shule hizi ufumbuzi wa matatizo haya!

Be po+
 
kimekuuma kitu gani sasa hapa na umefata nn huku yasiyokuhusu?? samahani hayakuhusu tuachie sisi ..kaa pembeni tuongee tukimaliza utakaribishwa

Mkuu watu kama hawa kuwajibu ni kupoteza muda, cha msingi comment zao ni kuziacha kama zilivyo.
 
Tatizo Wahaya penda sana "white colour jobs". Yani taki kazi za kutumia nguvu kama ujasiriamali. Wahaya taishia kuwa Maprofesa na Ma-Dr but maendeleo ni zero
 
.....pia
1. Tuunde kamati ya kuhamasisha na kuhimiza wana-Kagera waishio nje ya Mkoa wa Kagera ili walau mara mbili kwa mwaka tuwe tunakutana katika Wilaya mojawapo ndani ya Mkoa wa Kagera kujadili na kuhamasisha maendeleo ya Mkoa.

2. Tutengeneze KATIBA maalumu kwa wana-Kagera ambayo itaweka misingi ya kumbana kila mmoja aishie ndani ya mkoa atakama si mzaliwa na yule ishio nje ya mkoa ambaye ni mzawa, kutambua umuhimu wa kuchangia maendeleo ya Kagera.
 
Tatizo Wahaya penda sana "white colour jobs". Yani taki kazi za kutumia nguvu kama ujasiriamali. Wahaya taishia kuwa Maprofesa na Ma-Dr but maendeleo ni zero

Mbona mie siyo Prof wala siyo Dr. mkuu ama unakariri?
 
.....pia
1. Tuunde kamati ya kuhamasisha na kuhimiza wana-Kagera waishio nje ya Mkoa wa Kagera ili walau mara mbili kwa mwaka tuwe tunakutana katika Wilaya mojawapo ndani ya Mkoa wa Kagera kujadili na kuhamasisha maendeleo ya Mkoa.

2. Tutengeneze KATIBA maalumu kwa wana-Kagera ambayo itaweka misingi ya kumbana kila mmoja aishie ndani ya mkoa atakama si mzaliwa na yule ishio nje ya mkoa ambaye ni mzawa, kutambua umuhimu wa kuchangia maendeleo ya Kagera.
Oliyasi?
 
Wabuyaga approach yako ni nzuri lakini hapa tulipo nashauri tuame tuanze participatory,hatutaweza kila siku tuchange pesa na hatuwezi kuzipata na tuache kuzoea kutoa pesa pasipo watu kuonyeshwa njia ndo maana kila siku tunapewa pesa na wazungu na bado tunaendelea kuwa masikini tatizo ni za kupewa
Tutumie elimu kuwaelewesha vijana ili wajue baadae wajitegemee mfano juzi ameenda JK pale watu wamegoma kumpokea mpaka afanye jambo fulani kuhusu maendeleo,hii ni faida kubwa make watu wameanza kufunguka
 
Kwahiyo kama ni kutoa pesa itakuwa ni baadae sana hili halihitaji pesa labda kuwa na ofisi na namna ya kuingia vijijini na kufanya mawasiliano ndo mambo yanayohitaji pesa
Na kwa vile tunakuwa wazalendo tusifikilie pesa kwanza
Tufanye consciatization ili watu waelewe adui wa maendeleo ni nani? alichokipata JK juzi ni matokeo ya uelewa na kutambua kwanini na nini wajibu wa serikali,tukiongeza presha kidogo katika hili naamini ndani ya miaka michache mkoa utarudi mahala pake tu
 
safi sana mwanzo mwema, msijali kejeli za watu wenginehao wanao wakejeli, kabla na baadaya uhuru mpaka leo bado wanakula nyasi na wanalala kwenye mapango, wakati kwenu bk hata kabla ya ukoloni kulikwisha staarbika
 
Ninaomba kuwa hili sawa...si kweli kuwa wanakagera wote ni wahaya...tusitumie kabila moja km identity ya mkoa.Km mtu hana hoja ya msingi ya kuleta mabadiliko ktk mkoa wa Kageraa aendelee na threads nyingine...haijazuiwa "wamakonde"nao kujipanga.
 
Nina mtizamo tofauti kidogo! Naonelea kuwa watu wa mkoa wa Kagera waidentify weakness za maeneo yao na jinsi ambavyo wangependa kusolve, then ziletwe hapa jamvini sote kwa kutumia ujuzi, utaalam, kujuana tusolve hizo issues.

Ni mtizamo tu! Kwa kuanzia mimi nimeanza mchakato wa kuanzisha economic activities kwa vijana pande za Bukoba Vijijini katika eneo la Aquaculture. Nashukuru kwenye bandiko la Omutwale nipata ushauri mzuri hasa toka kwa Bukyanagandi.
 
Kajansi hata mie natokea maeneo ya hapo Bkb V na nikupongeze ulivyoweka initiatives kama hizo.sasa mfano tukidentify kitu ambacho itabidi tukifanye,zaidi navyoona tutaishia kuelewana sisi wa hapahapa jamvini na wakati pale mkoani wapo vijana kibao hawajuhi hili wala lile tutawapataje na kuwafikiaje hawa?ndo maana mie nilionelea kamati iundwe ifike maeneo watu wasaidiwe na nyinyi kama ww ndo mnakuwa case study eneo husika ama vip?
i.e tujumuishe mass isiwe mtu mmoja mmoja ili iwe participatory zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom