Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Wananchi wa Kata ya Buza Wilaya ya Temeke wameandamana kutoka Buza Kanisani hadi Ofisi za Chama cha Mapinduzi Kata ya Buza wakiitaka Serikali kurejesha magari ya Daladala Kutoka stendi mpya iliyopo kwa Mama Kibonge hadi Stendi ya Buza kanisani kutokanana kupata changamoto kubwa ya usafiri.
Pia soma
~ Kituo kipya Buza kwa Mama Kibonge ni mradi wa nani? Mnatesa Wananchi kwa maslahi ya nani?
~ TAKUKURU: Tunafanya uchunguzi Kituo cha Buza Kanisani kuhamishwa, tunashauri kwa sasa utaratibu wa zamani urejee