Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
This is an hoax and stupid game, Huyu Mwingereza anapima na kuchezea watu sijui alikuwa anafanya utafiti gani
 
Wasanii tu hawa walipanga wao wenyewe wamejifanyia usanii wao wenyewe wasifikili wametukomoa sisi tunapanga mashambulizi hukuhuku home TZ kwanza mapinduzi huwa yanafanywa na wananchi wenyewe waliopo nyumbani(libya,misri,tunisia) ileleweke gamba letu sisiwananchi ni CCM wote hata wao wenyewe ni gamba tu mpango wetu ni kuwaondoa tu.
 
upuuzi mtupu!!
MOD wanaiacha tu hapa!!!

kamata, tupa kuleee!!!
 
Mwingwreza huna tofauti yoyote na Mafisadi waliopo CCM, Pumbavu yako. Kama ningekuwa mimi ni Mods ningehakikisha nakupiga BAN ya Life Id zako zote your a useless Tanzanian. Usitake kucheza na Maisha ya watanzania. Kwa hiyo mmefunga safari kwenda kulishwa chakula na Fisadi mwenzenu? Pumbavu yako wewe na wajinga wenzako mmeshapewa T-shit na kofia pamoja na chakula sasa mmeshiba mmetulia mlikuwa mnapiga kelele kumbe mlikuwa na njaa. Njaa zenu zitawapeleka pabaya. Sasa sisi huku Tanzania tutafanya kweli nyinyi si mmekimbia sisi tupo kwenye Mapambano ya kum'goa huyo Fisadi wenu aliyewaalika na kuwapa chakula huko. Mnafiki mkubwa we Mwingereza na Genge lako la Mafisadi
 
Kuna picha shamimu blog DIKOTA ilifana Jk na warembo kama flav matata
 
Nani amekuambia kuwa wewe ni Chadema au chama chochote. Hizi pasi na shaka yoyote ni kujikanyaga na kutaka kuficha ukweli wako. Nina imani kabisa wewe ni Mchadema.

sasa cha msingi wewe na waandaaji wako hamkuwa makini, ni watu wa propaganda na kushindwa kufikiri kuwa uongo una mwisho.

Je mtafaa kupewa nchi yenu nyie?

Poleni sana.
 
Mwingwreza huna tofauti yoyote na Mafisadi waliopo CCM, Pumbavu yako. Kama ningekuwa mimi ni Mods ningehakikisha nakupiga BAN ya Life Id zako zote your a useless Tanzanian. Usitake kucheza na Maisha ya watanzania. Kwa hiyo mmefunga safari kwenda kulishwa chakula na Fisadi mwenzenu? Pumbavu yako wewe na wajinga wenzako mmeshapewa T-shit na kofia pamoja na chakula sasa mmeshiba mmetulia mlikuwa mnapiga kelele kumbe mlikuwa na njaa. Njaa zenu zitawapeleka pabaya. Sasa sisi huku Tanzania tutafanya kweli nyinyi si mmekimbia sisi tupo kwenye Mapambano ya kum'goa huyo Fisadi wenu aliyewaalika na kuwapa chakula huko. Mnafiki mkubwa we Mwingereza na Genge lako la Mafisadi

Walijua fedha ya mafisadi inaliwa kirahisi, wakakusanyana na kwenda kuilamba bila kujali kwamba they are far too worse than malaya wa corner bar

WAPUMBAVU WAKUBWA

$^&*()(*&************** ZAO
 
kudadadeki wabongo nouma kweli ilo tango pori, jk toka juzi usiku kawasili na anahutubia sijui hayo maandamano ni ya siku akiondoka? hakuna kitu hapa tumeingizwa choo cha kike, hata mkiwapa ban haisaidii watu washaweka $25.000 mfukoni kweni jf inawalipa? mazafaka mood futa hili li thread that is the best you can, tume kuwa blackmail tehe tehe tehe big up mwingereza



Subira ya nini? Mwingereza katuuzia matango pori! Shwaini!
 
Ban itasaidia nini wakati anaweza kuja na id nyingine? itapunguza hasira zetu au ndio itarudisha hela walizo lambishwa? kupigwa ban au kulamba 40.000.000.00 ipi bora? unajua mwalimu wangu aliniambia siku zote ukiona umepigwa bao moja usipaniki kwani unaweza ongezewa mabao mengi zaidi, unachotakiwa ni kutulia na kutafuta bao la kusawazisha, tuukubali upupu a.k.a uongowake ili tuweze kumtathimini vizuri akipigwa ban sisi ndio tutakuwa luzaz tehe tehe tehe wabongo noumaaaaa


Mods kwanini msimpige ban ya kudumu huyu anayejiita Mwingereza?
 
Bora ungekaa kimya, hiyo update ya mwisho imenipa kichefuchefu.
 
Walijua fedha ya mafisadi inaliwa kirahisi, wakakusanyana na kwenda kuilamba bila kujali kwamba they are far too worse than malaya wa corner bar

WAPUMBAVU WAKUBWA

$^&*()(*&************** ZAO
Ndio maana unaambiwa ngoma usiyoicheza huijui Itami wake
Hay a majamaa yametusaliti zaidi hats ya mafisadi
 
"Badala ya kulalamika tu na kuandika kwenye blogs, ni wakati sasa muanze kusaidia kuwekeza nyumbani, kwani nchi ni yetu sote, hakuna mliyemkabidhi alete maendeleo ili yakishapatikana ndio mrudi nyumbani" alifafanua Rais Kikwete akifungua rasmi mkutano wa Watanzania waishio Marekani, DICOTA 2011, katika ukumbi wa Marriott Hotel and Resort katika kitongoji cha Dulles, Virginia, jijini Washington DC.
 
attachment.php
Nani kapiga picha na nani?
JK kapiga picha na 50c or the other way round
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom