Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Mnashangaa nini? Si mliambiwa kuwa wanaandaa UVCCM?

Yaani UVCCM wampinge Mwenyekiti wao kwa kisa kuwa wapo USA?

Subirini BAVICHA wakifanya maandamano USA ndiyo mtaona watu wanatafutana.

Wameshavuta Milioni zao na sasa wataanza kutanua na ma VX6.

Hongera UVCCM USA kwa kuwa wabunifu. Walau walizoiba na nyie mmechukua chenu. Hongera sana.
 
Waandaaji tupeni taarifa ya maandamano ili tufanye tathmini yake! Tulitegemea tuwe tumeshapata picha hadi sasa hivi mbona kimya kulikoni?
Chama
Gongo la Mboto DSM
 
usanii mtupu, hata namba ya simu iliyowekwa inapokelewa na mwanamama asiye na taarifa yoyote kuhusu maandamano haya. naomba mode wawape ban walioleta thread hii
 
hakuna tofauti kati ya bet award na dicota, matokeo ni yale yale

bethhashow17.jpg
 
Kubeba box ughaibuni noma, us$3m zimefanya kazi yake, toka jana wako klabu!
 
Hakuna cha maandamano JK ameisha zindua DICOTA elikuwa zuga tu ya waganga njaa ili wapate chochote.

nilisema mimi hapa mwanzoni mwa hii thread & da faiza foxy akawa anawaambia ukweli ... wadau wakanijia juu, huyu mwingereza na kundi lake hawana lolote.... walidhani maandamano yao ya facebook & jf yatamzuia JK kwenda kulitumikia taifa nje ya nchi ... ! tuzo kapewa & DICOTA kazindua ...

wapinzani mkiwa mmejaa watu wa aina kama ya muingereza maneno mengii.... vitendo vichache! siku zote mtaonekana wahuni tu


 


nilisema mimi hapa mwanzoni mwa hii thread & da faiza foxy akawa anawaambia ukweli ... wadau wakanijia juu, huyu mwingereza na kundi lake hawana lolote.... walidhani maandamano yao ya facebook & jf yatamzuia JK kwenda kulitumikia taifa nje ya nchi ... ! tuzo kapewa & DICOTA kazindua ...

wapinzani mkiwa mmejaa watu wa aina kama ya muingereza maneno mengii.... vitendo vichache! siku zote mtaonekana wahuni tu

Hapo kwenye blue umenichanganya kidogo. Huyu Mwingereza ni mpinzani au ni UVCCM? Nafikiri kwenye maelezo yake amejitambulisha kama UVCCM so does it make UVCCM wahuni pia?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
kama alivyosema wa hapo juu, '' MANENO MEEENGI, VITENDO HAKUNA ''. moderators peleka huu uchafu kwenye trash.
 
Wakuu katika hali isiyo ya kawaida, kuna vijana ambao walikuwa wanaishi ghetto hapa Washington DC, leo hii wamekuwa ma-millionea. Jamaa wanaendesha Lexus GS-350.

Kuna tetesi kwamba kuna hela zimemwagwa kwa wingi na watanzania fulani. Nahisi hili n kundi la mwingereza waliokuwa dau nene na kumuachia mzee wa kaya kufanya mambo yake Dicota. Mie nilikuwepo ukumbuni, hali ilikuwa siyo ya kawaida.

Hatukuwa na taarifa ya kuja kwa JK. Ghafla tukaambiwa tukae upande mmoja, pasipo mategemeo akafika JK na milango yote kufungwa..Ila kuna uvumi kwamba kuna helza zimemwaga kwa vijana ambao walikuwa hawana kazi.. yaani ni hela nyingi.

Tutazidi kuwataarifuni mara data zikiendelea kumwagika, kwa maana siyo siri tena kwamba jamaa wamehongwa Dola millioni tatu..

Habari ndo hiyo.....
 
Hakuna cha maandamano JK ameisha zindua DICOTA elikuwa zuga tu ya waganga njaa ili wapate chochote.

Hapo kwenye blue umenichanganya kidogo. Huyu Mwingereza ni mpinzani au ni UVCCM? Nafikiri kwenye maelezo yake amejitambulisha kama UVCCM so does it make UVCCM wahuni pia?

ahh wapi .. mwingireza na wenzake wote CDM ... mara ohh tumepewa mamilioni tumekataa .. tumewaambia yapelekwe FBI... hehehehe! alikuwa akiwapa burudani Pro CDM wakamgongea like nyingiiiiii.....

CDM BANA...!!
 
update:
wakuu. Kunradhi kwa ukimya. Punde tutawamwagienie kilichojiri dicota. Siyo kila msafiri ni mmoja wenu; wengine ni mamba na siyo kenge. Mkae tayari kuhoji hizi dola millioni 3 zimetoka wapi. Hatunyamazi hadi kieleweke. Upuuzi wa kikwete umezidi, kuja kuhonga watu millioni tatu ni aibu kwa tanzania. Tunatayarisha ripoti ambao tutawaashuhia muda siyo mrefu
 
Mod's walime BAN wote walioleta thread hii. Wamedanganya umma.
 
update:
wakuu. Kunradhi kwa ukimya. Punde tutawamwagienie kilichojiri dicota. Siyo kila msafiri ni mmoja wenu; wengine ni mamba na siyo kenge. Mkae tayari kuhoji hizi dola millioni 3 zimetoka wapi. Hatunyamazi hadi kieleweke. Upuuzi wa kikwete umezidi, kuja kuhonga watu millioni tatu ni aibu kwa tanzania. Tunatayarisha ripoti ambao tutawaashuhia muda siyo mrefu

kumbe bado upo?
 
Kwahiyo unaona ni vema kusema hilo kundi la wachache kwenye kaukumbi kadogo wanawakilisha watanzania wote US sio? Hizo pesa za serikali mnazotumia DC si mngezitumia Muhumbili kuwasadia watanzania ... kweli nyie mnaonekana bado hamsomi nyakati, huko Igunga na miji yote Tanzania imnapingwa na unadhubutu kudai kuona protest hapa US? I am not surprised na weak comments zenu kwamba kuja kikwete hapa ni mafanikio fulani kwenu ... what's inflation number ya taifa? or unemployment numbers? By the way umemwona rage akihutubia Igunga? Mliweza kujadili solutions za Taifa na kupata majibu?

d45.jpg



Kuna leadership gani unaiona hapa au kuweza kupinda mic ni leadership

tanzania_materna_460261artw.jpg


ahh wapi .. mwingireza na wenzake wote CDM ... mara ohh tumepewa mamilioni tumekataa .. tumewaambia yapelekwe FBI... hehehehe! alikuwa akiwapa burudani Pro CDM wakamgongea like nyingiiiiii.....

CDM BANA...!!
 
update:
wakuu. Kunradhi kwa ukimya. Punde tutawamwagienie kilichojiri dicota. Siyo kila msafiri ni mmoja wenu; wengine ni mamba na siyo kenge. Mkae tayari kuhoji hizi dola millioni 3 zimetoka wapi. Hatunyamazi hadi kieleweke. Upuuzi wa kikwete umezidi, kuja kuhonga watu millioni tatu ni aibu kwa tanzania. Tunatayarisha ripoti ambao tutawaashuhia muda siyo mrefu

Ulichoahidi ni maandamano ya kumpinga Jk washington.
Yaliyojiri dicota yameoneshwa hata baadhi ya picha zipo humu.
Usibadilishe stori hapa we mpumbavu, sijui milioni tatu. Eleza kwa nini hamkuandamana wakati huko hakuna Ffu na virungu wala maji ya kuwasha...
 
Ulichoahidi ni maandamano ya kumpinga Jk washington.
Yaliyojiri dicota yameoneshwa hata baadhi ya picha zipo humu.
Usibadilishe stori hapa we mpumbavu, sijui milioni tatu. Eleza kwa nini hamkuandamana wakati huko hakuna Ffu na virungu wala maji ya kuwasha...

Mmh! Hata mimi naona update za Mwingereza alizotoa zinaleta utata. Kwanza inaonyesha hayo makundi yao walikuwa hawajuani vizuri (kama ni kweli anachokisema). Nikuulize swali moja tu Mwingereza; kwani Kikwete kuingia ukumbini si mngeweza hatakwenda kundi moja tu kwani lazima wote? Kama kweli mli-invest that energy, time, money, na kutoa watu from other states halafu outcome ni zero; I am speechless!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom