Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,577
Mwingereza ni vizuri ukaja hapa kutoa maelezo, pengine kuna sababu za msingi ninyi kushindwa kufanya hivyo
kukaa kimya ni dalili ya kuwachezea watu akili
Yaani mkuu na wewe bado unataka maelezo kutoka kwa huyu mpumbavu? Unaifahamu dollar 25,000 wewe? Bado unaamini kuna ukweli anaoweza kuongea mtu wa hovyo kiasi hiki? Nadhani ni bora hii thread ipelekwe kwenye trash na huyu muingereza apigwe life ban mpuuzi kabisa huyu.