Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Jamani naona kama sisi tutakua wa kwanza kuliko wale uko US mana ya libya yametupa mwangaza
 
<b><font size="2"><font size="3">BREAKING NEWS: <br />
<i><font color="#FF0000"><br />
DIKTETA GADAFI ANAANGUKA. BADO KIKWETE, MUSEVENI PAMOJA NA MUGABE. NDUGU ZANGU, HATUNA PLATFORM YA KUANDALIA MAANDAMANO YETU ISIPOKUWA UKURASA MMOJA WA FACEBOOK. TUNAWAOMBENI MSAMBAZE HUU UKURASA KWA KILA MTU, ILI TUJIPANGE VIZURI DHIDI YA HUYU DIKTETA NA MWANAYE RIDHIWANI </font></i></font></font></b><b><a href="http://www.facebook.com/pages/Maandamano-Dhidi-Ya-Kikwete/116927725072759?v=wall" target="_blank">FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE</a></b><b><font size="2"> <font color="#ff0000">TUNAOMBA MJIUNGE NA TUSAMBAZE HABARI KWA TANZANIA WOTE</font><br />
<br />
MWANAHARAKATI MCHEZA SINEMA WA KIMAREKANI ATAHUTUBIA, IMETHIBITISHWA....JINA PUNDE<br />
WATU 2117 WAMETUMA MAOMBO KUSHIRIKI.TUMENI BARUA BARUA PEPE KWA WINGI KUWEKA PINGAMIZI KUHUSU SAFARI ZA KIKWETE KWENDA MAREKANI. BARUA ZOTE ZITUMWE KWENDA </font></b><a href="mailto:wiegertjr@state.gov">wiegertjr@state.gov</a><b> HUU NI USHAURI KUTOKA KWA WAHUSIKA. ATAZUILIWA ISIPOKUWA TU KUHUDHURIA UN SESSIONS. WENYE FACEBOOK, WAANDIKE PINGAMIZI ZAO KWA KIINGEREZA KWENYE </b><b><a href="http://www.facebook.com/pages/Maandamano-Dhidi-Ya-Kikwete/116927725072759?v=wall" target="_blank">FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE</a></b><br />
<br />
<p style="text-align: center;"> <b><font color="#ff0000">**************************************************************************************</font></b><br />
</p><br />
<font size="2">Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yataishia STATE DEPARTMENT. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu, na kuiaca familia yake ikoroge nchi yetu. Ridhiwani anamilika robo ya uchumi wa Tanzania? Kwani Tanzania ni Tunisia....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe kwenda <a href="mailto:eliakimmallya@yahoo.com">eliakimmallya@yahoo.com</a><br />
<br />
Tayari watu 974 wamesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani. Kadhalika tumeni barua pepe pamoja na malalamiko kwa wingi kwenda <a href="mailto:wiegertjr@state.gov">wiegertjr@state.gov</a> ili kupinga Vasco Dagama kupewa VISA na wapambe wake. Ifahamike kwamba mimi siyo mwana CHADEMA wengine wanavyodai. Mimi ni mwana UVCCM tena ngazi ya Juu, lakini Kikwete hakufaa kuwa Rais, ndo maana Watanzania wanaumia. Mapinduzi yanakuja. Wasio na makaratasi, tunachoomba ni sala zenu tu. Watu wanaongezeka sana. Tayari tumefikisha watu 512 ambao wapo marekani ki halali na wako tayari kujiunga nasi kwa ajili ya haya mapinduzi<font color="#000000"><br />
<br />
Habari njema ni kwamba, kuna familia moja ya kitajiri ambayo ina interest kubwa Tanzania na wanashangaa kuona taifa letu linavyodidimia. Kwa maana hiyo, wamejitolea kulipia mabango, pamoja na mabasi sita.<br />
<br />
1. Basi 2 yataanzia NY (Ni ya watu wa Boston, NY, Long-Island, NJ etc...) 2. Yanayotokea Ohio (Ohio, Maryland, Pensylvania, Michigani etc..)<br />
3. MaBasi ya mwisho yatatokea Atlanta Georgia (Texas, Virginia, Florida, Alabama,Kansas, etc..)<br />
<br />
Tukielekea mwisho wa mwezi huu, tutawapa ratiba kamili ya maandamano, yatakayoanzia sehemu&quot;maalum&quot; kuendelea kwenye Ukumbo wa DICOTA, Ubalozini , hoteli atakayofikia FISADI Kikwete na kumalizikia STATE DEPARTMENT. Tutakesha hotelini, chakula kitakuwepo na huduma zote muhimu pia zitakuwepo. Tuko pamoja hadi kieleweki. Mimi ni mwana CCM toka UVCCM lakini naapa ya Kwamba TUMECHOKA na JK. Tunamsubiri Marekani, hata kama ni miaka miwili tunamsubiri, wadhamani wapo kutusaidia. Wanaotaka Kujiunga kwenye maandamano, tumeni barua pepe kwenda </font><a href="http://eliakimmallya@yahoo.com" target="_blank"><font color="#000000">eliakimmallya@yahoo.com</font></a><font color="#000000">. Kadhalika, tumeni malalamiko mengi iwezekanavyo kwenda </font><a href="mailto:wiegertjr@state.gov"><font color="#000000">wiegertjr@state.gov</font></a></font><font color="#000000"><font size="2"> Ili kikwete na wapambe wake wanyimwe VISA, kwani serikali ya marekani haiwezi kutoa VISA mtu yeyote anapowekewa petition. Jamani msiogope, huu ni wakati wa ukombozi. Mimi nimefika hapa mwezi sasa, nipo uhamishoni hadi kieleweke.</font><br />
</font><b><font color="#008000"><br />
</font><font color="#ff0000">TUUNGANE</font><font color="#008000"> <a href="http://www.facebook.com/pages/Maandamano-Dhidi-Ya-Kikwete/116927725072759?v=wall" target="_blank">FACEBOOK PROTEST AGAINST KIKWETE<br />
</a></font></b><a href="http://www.facebook.com/pages/Maandamano-Dhidi-Ya-Kikwete/116927725072759?v=wall" target="_blank"><font color="#0000cd"><br />
<font size="2">SERIKALI YA TANZANIA KUPITIA WATU WASIOFAHAMIKA, WAMEANZA KUTUTOLEA VITISHO PAMOJA KUJARIBU KUTUHONGA WAANDAAJI $3MILLION KUZIMA ZOEZI ZIMA LA MAANDAMANO. JIBU LETU NI KWAMBA, HATUWEZI KUUZA HUTU WETU NA UBINADAMU WETU. HIZO HELA WAPELEKE KWENYE MAHOSPITALI SIYO KUTUHONGA SISI. WAKAWAONGE WATANZANIA MILLIONI 40 WANAOKUFA NA NJAA SIYO SISI. MAANDAMANO LAZIMA, NA RAIS KIKWETE AJITAYARISHE. TUNAKUTANA NAYE MARRIOT WASHINGTON DULLES AIPORT NA HOTELINI KWAKE. TUMESHAJITAYARISHA</font></font></a><b><font color="#008000"><a href="http://www.facebook.com/pages/Maandamano-Dhidi-Ya-Kikwete/116927725072759?v=wall" target="_blank"><br />
</a><br />
</font></b>
<br />
<br />
Heko...
 
Tutakuwa pamoja nina Safari ya short training hapo ya zaidi ya miezi miwili I wish maandamano yafanyike nikiwa hapo. Huyu mpuuzi ni lazima a step down
 
Na jamaa atakuja tu sijui itakuwaje siku hiyo jk anapenda forum kama hizo za kuonekana ccn wakwele hawana aibu nyie mtamzomea yeye atafurahi atawambia wenzake mliniona kwenye luninga
 
Na jamaa atakuja tu sijui itakuwaje siku hiyo jk anapenda forum kama hizo za kuonekana ccn wakwele hawana aibu nyie mtamzomea yeye atafurahi atawambia wenzake mliniona kwenye luninga

kwa alivyomjinga anaweza kusema hivyo kweli. **** kweli kikwete
 
freeeeeedom z round the corner! hey youth remember chnges r coming from us, hata mwl. Nyerere pia alifight, na zaidi alifanya haya na vijana wengine wakati huo! hakuna sababu ya kuogopa na wakati madhara ya hy yatatuathiri sisi n watoto wetu!
 
habari wana jamii,naomba mnijuze updates kuhusu yale maandamano yaliyokuwa yanaandaliwa na ndugu zetu kule washington yamefikia wapi? na yatafanyika lini hasa? na sisi tunaotaka kuwaunga mkono hapa Dar tunaanzia wapi? waandaaji wamefikia wapi?"nimewaandikia ninyi vjn kwa sababu mna nguvu....wadau hataMungu pia anatutegemea vijana kufanya kazi na kuleta mabadiliko... na mabadiliko ya Tz yataletwa na sisi".
 
tuko pamoja, na TZ tunayaandaa kumpinga atakapoanza kutembelea mikoani
 
wamwageni hao jamaa waliokuwa wanataka kuwahonga.. tupeni contacts zao .. huu ni wehu kabisa
 
afadhali kuna ata mtu mmoja anayeweza kusimama na wananchi mil.40+! kikwete must step down as soon as possible...anatumaliza Watanzania. tukisubiri 2015 kweli sijui tutakua wapi?????????!!!!!!! LIZmoko atatufilisi kabisa...
 
Mbona inaelekea Vasco kashtukia hiyo dili haji tena, atatuma mawaziri...:sick:

Ulongo mtupu Fisadi papa anataka kuja kwa kuwashtukiza ili waandamanaji wasijue nini kimetokea, anakuja lakini kuna usiri mkubwa sana na ujio wake.

Waandamanaji kaeni mkao wa kula nasikia notice itakuwa ya 12 hours tu.
 
update:
Ratiba kamili ya maandamano itatolewa tarehe 9 september 2011. Kwa hiyo ambao mmeshajitayarisha kaeni tayari. Hii ni kwa ajili ya kuwakwepa wale ambao wanamipango ya kuvugura maandamano yetu
 
thumbnail.aspx
 
Very good, ila ili kuboresha inatakiwa maandamano hayo yafanyike dunia nziama kila palipo ubalozi wa tz, na funga kazi yafanyike hapahapa dsm. I think the time has come, lets join together for final solution on ufisadi crises.
 
maandamano hayo pia ni lazima tuliopo dsm tuyaunge mkono kwa vitendo. Tuingie barabarani kuonyesha ghadhab zetu

Kaka natamani ingekuwa hivyo lakini sisi watanzania tuishio hapa jehanum 'tanzania, ni mabwege kupita kiasi, acha watusaidie kufikiri; haiwezekani sisi hapa hom tubaki kulia na maisha magumu wakati huyu KKwt anapaa angani kama popo, yaani ni president mzururaji kupita wote duniani, tuamke sasa...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom