Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.

Mkuu Mbona kama huko kwenye Bold unaonekana upo Bongo na Marekani at the same time! Eb kuwa Speicific.
 


Hiyo ni sawa na kujenga nyumba kwa kuanzia na paa! Vyuo vikuu mpaka leo hamna hiyo kitu ilianziashwa imefeli loooong time. unadanganywa hiyo kitu unalainika? ha ha ha ha ah hah
 

Huo mtandao wenu na kompyuta zinazoendeshwa na vibatari sijui mtazitoa wapi?
 
<br />
<br />
Povu linakutoka?
Kasome Quran mungu akupe heri na maisha marefu ndani ya dunia hii yenye vingi vilabu vya pombe kuliko nyumba za mungu.
Uwacha UNAFIKI HUMU.
Utashangaa unakauka kwa Unafiki na uZANDIKI.

Note:kizazi chako KitaTAFUNWA MARA 4 KWA DHAMBI UNAZOTETEA ZA SEREKAL HII YA KIHUNI.

Unaudhalilisha Mwezi mtukufu kwa kupinga ukweli wa watanzania wenzako.
 
FaizalFoxy,
Please, Quality inatangulia quantity!
Ujenzi wa shule kila kata wakati wanafundishwa na failure wa darasa la 12 ni kupotosha maana ya Elimu. Leo hii Tanzania wapo Maprofesa waliomaliza chuo kikuu miaka mitatu iliyopita wanafundisha tena vyuo vikuu..Kuna watu wanachukua Medicine chuo kikuu hawakupata grade 1 waka 2 ktk masomo wameingia medicine kinyume kabisa cha taratibu za elimu DUNIANI na kesho ndio watakuwa madaktari wetu.

Matokeo mabaya ya masomo ni dalili kubwa ya kutuonyesha makosa ya utendaji na utekelezaji ktk elimu lakini kwa kivuri cha makosa yaleyale tunayoyafanya kila siku tunaendelea kujipongeza kwa kazi nzuri ambayo haina mazao bora. Tuache hizo akili za mkulima kufikiria ukubwa wa shamba ndio utajiri akitegema jembe la mkono..Mungu katujaalia rasilimali na maliasili ambazo sisi tunatakiwa kuzitumia kwa manufaa yetu na sii kuona fahari magugu ya elimu mbovu yakiota...

JK kashindwa kuongoza! hilo halina ubishi na wala hastahili kusifiwa kwa lolote tena lakini hadi sasa hivi hajafanya jambo lolote BAYA ktk uongozi wake kufikia kutayarisha maandamano Washington DC, hali ni sisi wenyewe ndio tulomchagua mwaka jana tu...Na kibaya zaidi labda niseme Marais karibu wote wa nchi za Afrika hawana tofauti na JK kwa sababu Ufisadi wao wote ni ktk kujikomba kwa faida ya Mataifa ya magharibi na Marekani ni babalao ktk ukoloni mamboleo!...Kuandamana DC ni waste of time and energy!...
 
Quote (Mkandara "sijui kama ni kampeni against JK au kweli UVCCM wamepania kufanya mabadiliko kwa manufaa ya wananchi au ya chama..)

Mkuu nimekuelewa na ninashukuru kwa info. Hapo juu kwenye red na mimi napata wasiwasi pia however, ni vizuri kama UVCCM wameona kuna tatizo. Ndani ya UVCCM sio tu kunampambano wa mambo ya ufisadi lakini kuna underground class war (watoto wa vigogo against others), udini, ukabila etc. In short everyone is targeting the "prize" for different purpose. I should also say hivi vyama vya siasa sivielewagi sometimes for one reason: mtu anaweza kuona makosa asiseme kitu, lakini siku akiwa na ugomvi binafsi ataibua yote mabaya aliyoyaona. JK anapata upinzani mkali sio tu kwa wananchi wakawaida wanaopenda maendeleo but also kwa vigogo wenzie wa CCM ambao hawakubaliani na uongozi wake. Wengi hawawezi ku-mface kwenye vikao nakumpa ukweli; but wana influence kubwa behind the scene. Siwafahamu kwa karibu organizers wa hayo maandamano, lakini naelewa wako wana CCM wasioridhika na utendaji wa Kikwete watakaohudhuria na wasio wana CCM. So for that; I say let them express their frustration. Nafikiri wakielekeza ujumbe towards Kikwete utabeba uzito lakini wakimtaja Riz 1, issue itasomeka kisiasa zaidi kwasababu; legally Riz 1 wananchi hawajamkabidhi majukumu yeyote kwenye serikali (my views). Although E. Mallya ametamka wazi yeye ni UVCCM, baadhi ya watu watakaoudhuria hawataki kuji-associate/hawaja commit kwenye chama chochote. I agree our ship is sinking na probably watakaopona ni wale wenye plan B.
 
haya bana makada wa kile chama chenu kama njoni hapa home tulianzishe coz hapa ndani kwetu ndo 2nahitaji kuandamana from the grass root
 

HTML:
BREAKING NEWS: SERIKALI YA TANZANIA KUPITIA WATU WASIOFAHAMIKA, WAMEANZA KUTUTOLEA VITISHO PAMOJA KUJARIBU KUTUHONGA WAANDAAJI $3MILLION KUZIMA ZOEZI ZIMA LA MAANDAMANO. JIBU LETU NI KWAMBA, HATUWEZI KUUZA HUTU WETU NA UBINADAMU WETU. HIZO HELA WAPELEKE KWENYE MAHOSPITALI SIYO KUTUHONGA SISI. WAKAWAONGE WATANZANIA MILLIONI 40 WANAOKUFA NA NJAA SIYO SISI. MAANDAMANO LAZIMA, NA RAIS KIKWETE AJITAYARISHE. TUNAKUTANA NAYE MARRIOT WASHINGTON DULLES AIPORT NA HOTELINI KWAKE. TUMESHAJITAYARISHA
HTML:


This is shameful for my country
 
Umeona eeeeh! Wadanganyika wengi wazito sana kuelewa vitu!..
Mimi niliposoma tu siku ya kwanza niliipata picha kamili na ndio maana nikafikiria kwa nini Watanzania tusiwe wakweli tuache unafiki?..
 
Nyie sio watanzania , nyie ni wamarekani , shughulikieni kwanza matatizo ya uchumi ya nchi yenu. Hamuoni nchi yenu inavyo didimia sasa
Wewe ndio siyo mtanzania! wewe mpuuzi nini?! umeona risasi na virungi vya ?@@!$*&& wenzako haviwezi kuzuia hii movement sasa unaamua kujisaidia tuu barabarani???!!!
 
Kaka hapa bongo tunatafuta pakuazia tu moto utawaka kwani tunakuwa masiki kwenye nchi yetu wenyewe kweli ni wanaume wanaogopa kurudi nyumbani kwasababu ela amna
Wajawasito wanakufa
Wazungu wanachukua madini yetu sis tunakufa njaa kweli tuwe tu kimia NI BORA KUFA KISHUJAA KULIKO KUFA KAMA KONDOOO TANZANIA amka ..........
 
Maandamano ni HAKI msingi ya Ki-Katiba kwa kila raia bila kujali yuko wapi kwa wakati gani. Hivyo vitisho vya mtu yeyote kwa Waandamanaji wa huko Washington DC ni kujipotezea tu muda bureeeeeeeeeee!!

Cha msingi shughulikeni na yale yanayowafanya watu kukereka kiasi cha kufikiria kutumia hii silaha ya mwisho wa maandamano. Unafikiri mtu gani anapendezwa tu kuandamana kama chizi hivo bila sababu yoyote: Banae, wenzetu tunawaunga sana mkono katika azma yenu hiyo kumpokea rais wa Jaji Makame kwa mabango huko majuu.

Tuendelee kupeana taarifa juu ya hili. Msikubali kukamatishwa hizo rushwa za dollar milioni 3 ili muache kuandamana. Utu wa Mtanzania kwanza na vijisenti baadaye.
 

Wanaotumia makalio kufikiria utawajua tu, hivi kwani ubora wa elimu ni majengo????????. swaumu imekaza wahi ukaandae futari mama.
 
SAFARI ZA 'MIJUSI' UGHAIBUNI KWENDA KUZIMA MAANDAMANO WASHINGTON DC
NI VIPI INAVYOFAIDISHA MLIPA KODI ANYELAZWA HOI
KWA KILA IDARA YA MAISHA NCHINI?????


Wabunge wetu hebu tuelezeni kwamba fedha hizi kibao zimepatikana wa zilizotumika kwenda kuzima maandamano Marekani wakati Kwimba hata zahanati uchwara hawana??

Ni nani ameruhusu ufujaji huu mkubwa wa kugharamia safari za 'mijusi' kutangulia miezi mitatu ughaibuni na kuponda miraha na midemu wakati taifa tuko kwenye giza????????

Waandamanaji wanapotafutwa kuhongwa zaidi ya dollar milioni 3 kama ilivyodaiwa hapo awali, je mlipakodi ananufaika vipi na biashara kichaa kama hiyo???? Kwa nini ikulu ihahe kiasi hicho kuzima maandamano Washington DC badala ya kuhaha kumaliza kero zinazowafikisha watu kwenye maamuzi kama hayo?????

Tusisahau kwamba hizi kampeni zilizoanza za kuwinda wanaharakati mmoja baada ya mwingine ni upotevu wa muda na raslmali hadimu nchini.

Sana sana mtu utafanikiwa KUWAUA WANAHARAKATI wawili watatu hivi n kuzika miili yao ardhini lakini kamwe hatofanikiwa mtu yeyote KUZIKA PIA MAWAZO YAO.

Tukumbuke mauaji ya wale wanaharakati machalii wa rusha na jinsi damu yao inavyoendelea kutesa serikali kote nchini!!!!!!!
 
kama kuna overstay walishapewa makaratasi unajingine? na kwa uk sheria zake? hakuna overstay ya milele mkuu kuna miaka ikifika unatambuliwa kama raia hata kama uli overstay,
ili unalo maana maandamano yanayopangwa haya husu visa , sana una tishia watu wazima shalubu za paka tete tete tete tete
kikwete mwenyewe mawarizi anatoa abroad
 
BANGO moja liwe na maneno ' KIKWETE NI JANGA LA TAIFA KWA KUCHEKA NA WEZI NA KUCHAGUA/KUTEUA WASTAAFU NA SALITI KUENDESHA NCHI (MASHIRIKA YA UMMA),
ACTL, TRA, TBC, EWURA ,,,,,,,,,,
 
Safari za kikwete ni sawa na hospital kubwa ya rufaa (toka 2005 to 2011)
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…