Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Vimekuwa vya kata hata uvipambe vipi

Nakwambia hivyo vya kata ni vya zamani, nimekuwekea ushahidi kuwa sasa ni vya kaya, hukupenda? nivipambe nini na huo ndio ukweli? au huupendi? Unanchekesha!

Na UDOM kikiisha kuwa ni chuo kikubwa South of Sahara! si madogo hayo kijana. Na pale kuwa ndio kituo kikubwa cha elearning in East Africa. Soon kijana, hiyo ni ahadi ya Bill Gates, swahiba yake mkubwa JMK.
 
Sasa Nyerere kama sio mdini kwanini anapigiwa debe awe mtakatifu? ana utakatifu upi? mtu aliyetesa watu bila mfano.
Bibie, nakuona uko kazini, safi sana. Lakini tambua kuwa Watanzania waleo walishaamka. Hawawezi kudanganywa na smiles za mtu ambaye hata hajui kwa nini kuna matatizo ya umeme nchini. Safi sana.
 


Faizafox...Nimekuwa IFM miaka ya 2001, TGDLC ilikuwepo kabla ya rais wako, hivyo unadanganya. Nimetumia sana facilities zao hivyo nina hakika na ninachoongea.
Pili: Nina mashaka sana kama unachojaribu kutetea kinatoka moyoni na kwa dhamira sana, kwani ukweli utabaki pale pale nao unaujua.
Tatu: Naomba namba yako ya simu this is serious, i am mature person nina familia safi na nina ipenda ila kwa ajili yako na kwa post zako nalazimika kukuomba kwa nia njema kabisa. Hivyo basi naomba uni-inbox namba yako please. We need to discuss this privately. I insist once again naomba namba yako ya simu kwa inbox.
Four:....nitasema baada ya kupata namba yako.
Asante.
 

Haya ya nini na mnapiga kelele kwa chuki tu! nyinyi ndio mnaoona haya tukimwaga mavitu ya uhakika anayoyafanya, hamjibu hoja hata moja ya anayoyafanya mnabaki kuzuwa mambo ya kusadikika, hii hapa nyingine zawadi kutoka kwa JMK:

PRIDE OF TANZANIA: DAR ES SALAAM TO HAVE WORLD TRADE CENTRE
 

Ubora wa chuo sio majengo wala ukubwa wa eneo ama enrollment. Ubora unakuwa kwenye elimu. Hiyo Udom ....mmmnnhhh haya bwana kama sio ya kata ilitakiwa iitwe CCM political academy
 
Teh teh teh! kawadanganya wenzake eti unakaa mtaa wa kariakoo, mtaa wa kariakoo hata haufahamu.
Faiza, mtu katoka mbeya kafikia Kimara Temboni unamwambia habari za Mandi
 
Bibie,
Acha uwongo. Tanzania kuna viwanda gani hivi leo? Madini kagawia wazungu. Viwanda vya nguo Mwanza na Musoma vimegeuzwa kuwa ma go down ya waingizaj mitumba. Mkonga wa mawasiliano ya kisasa unatumia mionzi ya jua? Umeme hakuna. Shule zenyewe watoto 120 wanakaa kwenye sakafu wakimsubiri mwalimu mmoja ambaye pia hana nyumba nzuri ya kuishi. Kuzindua Swahili version ya windows 7 ni kitu cha kuijivunia? Kaiandika yeye? Wewe ndiye unayechekesha kwa uongo wa mchana kweupe.
 


Ama wewe mshamba kweli, hata UDSM ilikuwepo toka early 60's, tatizo husomi unachowekewa. Sio uwepo uwepo wake ni nini kinachofanyika kwa sasa.

Si unaona sasa mwenyewe umesema 2001 "Nimetumia sana facilities zao", sasa hapo ndio kwenye tofauti na hivi sasa, huna haja ya kwenda huko kutumia facilities zao, unakula kitabu ukiwa nyumbani kwako, kaya, kaya, kaya.! unanini weyee?

Namba ya simu mpaka niku "inbox namba yako please" si hii hapa, wee piga tu anytime : +255 754 526 313
 
 

Nipatie na email address yako...usijali.
 

Hata hujui viwanda vipya vya kwenu? unanshangaza sana.

OS ya kwanza duniani kiswahili ambayo mchango wa Watanzania ni 98% halafu itatumika kufundishi mashuleni. Sasa wewe unaona hicho sio kitu cha kujivunia? unanshangaza sana, tujivunie nini? kukwepa kodi na kufanya maandamano?

Bora hao wanaokwenda shule wa kakaa kwenye sakafu kuliko kuwa hamna kabisa, sasa utenneza mabenchi na shule hauna utayaweka wapi? kwanza mjengo halafu furniture. Uko wapi weyee? au wewe nyumbani kwako ulianza kuweka fanicha uwanjani halafu ukajenga? unanchekesha!
 

Nimefurahia hiyo avata yako. Ni kama uliiandaa ukijua kuwa JK na serikali yake watatufikisha mahali tujaze tenki za mafuta ya gari zetu kwa njia hiyo. Ha ha ha haaaaa!
Ingawa mimi sio mmoja wa magamba ambao huunga mkono tu; kwa hili naomba niwanukuu: "Naunga mkono hoja ya maandamano haya mia kwa mia."
 
 
Ubora wa chuo sio majengo wala ukubwa wa eneo ama enrollment. Ubora unakuwa kwenye elimu. Hiyo Udom ....mmmnnhhh haya bwana kama sio ya kata ilitakiwa iitwe CCM political academy
<br />
<br />
majengo yenyewe below standard kama unabisha waambie board ya maeng wapite pale,pili ni upumbavu wa hali ya juu kukiacha chuo kikuu cha dar es salaam kikididimia na kutengeneza kipya,kama renovation and maintenance ni tatizo what makes the new buildings safe,wanafunzi ud wanabebana ur talking shit abt building new,kama kidogo ulichonacho huwezi maintain kipya utaweza wapi,whats is wrong with faizafoxy is vasco the father of ur children or ur hubby or any that u defend them that much,back off ur destroying the thread,
 
 
 
Umeshindwa hoja unaanza maandamano ya matusi, unanchekesha! leta hoja wacha upupu wa matusi. Unanshangaza!

Hapo ndipo tunapoona "capacity" za magwanda!

Faiza...wewe kwa akili zako unaamini yeyote anae pinga pumba zako basi ni CDM, kwa taarifa yako mimi nina kadi ya CCM lakini sina akili za kijani hata kidogo, naangalia ukweli na hali halisi ya mambo. Usiwe unabwabwaja tu kila linalokuja kinywani mwako weweeeee....acha ku exercise uswahili wako wa kaliakoo hapa JF. Leta hoja za msingi Jimama usiye kuwa na mume wewe....l!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…