Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
katika hali isiyo tarajiwa wabunge wawili wameendelea kupingana na uongozi wa chadema kwa kukataa maandamano ya mwanza
Mpaka sasa leo(24.02.2011) sio chibuda sio zitto aliyeko kwenye maandamano ya mwanza
Nawapa big up zitto na shibuda
Du! huu uhuru wetu umezidi wajuaje?