Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

madikteta hawaondolewi kwa sanduku la kura wala kwa mtutu wa bunduki bali kwa maandamo...basi!!!!!! huu ndo mwanzo aluta continua
 
Hivi watu wa CCM tu ndo wana akili za kijinga kama huyu jamaa anayejiita ZeMakopo? Hivi kuwa supporter wa CCM moja ya sharti ni kuwa na shallow ideas?!!Duh..kweli Makamba kaharibu chama!
 
Cha msingi sio kujua theme bali ni kujiuliza jamii itanufaika vipi na maandamano hayo na je, jitihada zinazotumika kuandaa maandamano zisingeweza kutumika kuleta manufaa zaidi? Hawa wote wanafiki tu!

This is either Makamba,chiligati,ROSTAM or any corrupt leader in Tz not otherwise
 
Jamani Mwanza ni nzuri, tunataka Mwanza ndiyo iwe kitovu cha vuguvugu la mabadiliko ya kweli.... ALUTA CONTINUA
 
Nawasubiri Hapa Villa....Mkifikia ntawasikia....napata lunch mara moja...lakini kwanini msinge fanya siku za weekend..as kwa sasa watu wako makazini...Mnaoje?
watazunguka nchi nzima, kama watakuwa wanafanya wkend tu yanaweza kuchukua miezi mingi sana kitu ambacho hayatakuwa na maana tena ukiangalia malengo ya maandamano..utakuta dowans walisha lipwa.
 
mods badilisheni heading ya hii thread, yanayotokea mwanza siyo maandamano ni matembezi ya amani.

Maandamano hupata suluhisho i.e tunisia, egypt na sasa libya, matembezi hutafuta suluhisho i.e arusha

maandamano maandamano maandamano maandamano.....
 
Yale ya misri,tunisia,libya ni maandamano+boycott. Watu waliandama wasio na kazi na wenye kazi wakagoma kwenda makazini.Lakini ya chadema ni maandamano ya watu wasio na kazi na effect yake ni zero and hence ni kupotezea watu mda.

Maandamano yoyote yanakuwa na maana kama shughuri za serikali zitakuwaa zimesimama. Vinginevyo ni upotevu wa mda tu na resources.
 
Wakuu yale maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa ndio yameshaanza.Maandamano yameanzia Buzuruga kuelekea uwanja wa Furahisha.Watu ni wammejitokeza kwa wingi wa jinsia na rika zote.Kwabahati mbaya sijakaa kwenye position nzuri ya kurusha picha lakini nikipata fursa nzuri nitazirusha.

Aluta Continua.

From kwenye Maandamano Mwanza

Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira

182093_1470892587284_1682707865_914231_1937388_n.jpg

Picture added by JF Admin

namwona rais wangu yupo mstari wa mbele wala harudi nyuma. Asante rais wetu endelea kuwakilisha wapendwa wako hadi 2015 tutakapokusimika rasmi.
 
Yale ya misri,tunisia,libya ni maandamano+boycott. Watu waliandama wasio na kazi na wenye kazi wakagoma kwenda makazini.Lakini ya chadema ni maandamano ya watu wasio na kazi na effect yake ni zero and hence ni kupotezea watu mda.

Maandamano yoyote yanakuwa na maana kama shughuri za serikali zitakuwaa zimesimama. Vinginevyo ni upotevu wa mda tu na resources.

Kwa kutumia your frozen brain
 
Hamjawahi kuhamasisha hata ujenzi wa shule ya kata, kazi yenu kuandaa maandamano tu. Huo ni unafiki wa kisiasa, hamna moyo wa kweli wa kuleta maendeleo Tanzania.
Je nani mwenye moyo wa kweli wa kuleta maendeleo Tanzania hii? Je wenye moyo wa kweli ni wenye Dowans, Kagoda, Mwananchi gold, deep green finance, waliokula cha juu kwenye manunuzi ya rada na vifaa vya jeshi?
 
Nimemuona Dr. Slaa hapo kwenye picha, inaonesha kama kachokaaaa, wamembebesha dunia babu watu roho riziki yake sasa du, watu wabaya!!!
aliechoka raisi wako hawezi kutembea hata hatua kumi tena na jua la saa 7 asingefika popote
 
Yale ya misri,tunisia,libya ni maandamano+boycott. Watu waliandama wasio na kazi na wenye kazi wakagoma kwenda makazini.Lakini ya chadema ni maandamano ya watu wasio na kazi na effect yake ni zero and hence ni kupotezea watu mda.

Maandamano yoyote yanakuwa na maana kama shughuri za serikali zitakuwaa zimesimama. Vinginevyo ni upotevu wa mda tu na resources.

Afadhari umeliona hilo, Watanzania wengi ni wavivu sana kufikiri, wao wanachoweza ni kumeza tu kama vilivyo..
 
Kwa hiyo maandamano ndio yataleta hospitali?
Vyama vinavyojifanya kujali kwa nini visihamasishe foundations zitakazofanya miradi ya maendeleo kwa mfano?
Maandamano feki ni unafiki tu!

Ni afadhali kuandamana ili kuonesha hisia zako kupinga ufisadi, kuliko kukaa kimya kama unanyolewa vile. Tumekaa kimya muda mrefu wamekuwa wakiiba kupitia EPA, Meremeta, Epa, Richmond/Dowans... Sisi tumekuwa wavumilivu, tumeenda ofisini kufanya kazi kwa uadilifu, tumetibu wagonjwa vizuri, tumefundisha watoto shuleni, nk lakini hata mishahara yetu haiongezeki. Tumelalamika tukatishiwa kupigwa virungu, sasa tunasema imetosha! Tunataka mapinduzi, kuung'oa ufisadi. Tunaanzia Mwanza..subiri uone tutakapoishia..usipige kelele mapema
 
Hili nalo neno mkuu, IQ zao ndogo. Habari ya kazi lakini?

Mkuu niko salama nafurahia uamsho wa wanamapinduzi wa kweli! Hao hawabebwi na malori wala kupewa pilau! Kofia kanga wala Tshirt .....udhalimu wa CCM unaelekea mwisho....pipoz pouwaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom