GrEaTthinkers,
Think kiasi gani tumepoteza kama taifa,
Kwa nini jasho letu linatumika vibaya hivi!
Nasema hawa si wa kuchekea wanaiumiza Nchi,
- TICTS
- RADAR
- NDEGE YA RAIS
- SAFARI ZA NJE YA NCHI-UTADHANI YEYE NI WAZIRI WA MAMBO YA NJE
- TWIN TOWERS BOT
- MIKATABA ISIYO NA TIJA KWA NCHI(Madini)
- KAGODA(EPA)
- MEREMETA
- RICHMOND/DOWANS
- WAKUU WA MIKOA na WILAYA(Hao ni Watumishi wa CCM)
- IPTL
- KIWIRA COAL MINES
- NETGROUP SOLUTIONS
- MISAMAHA YA KODI(Nchi inakosa mapato)
- ALEX STEWART
- BEI YA BIDHAA ie. UMEME (watanzania ndiyo wanaofidia misamaha ya kodi)
- RITES
- ALLIANCE AIR
- KUJENGA BARABARA KUPITIA MBUGA YA SERENGETI(Matumizi mabaya ya kodi zetu)
- LOLIONDO
- BARABARA YA KILWA NA MANDELA KAZI KURUDIWA(Matumizi mabaya ya kodi zetu
Kwa Asili ni sisi ni matajiri, tunafilisiwa na wapuuuzi
Haiwezekani madudu yote hayo, hakuna hata mwenye hatia ukitoa Liyumba.
Ukinunua soda ya 500Tsh umetoa 90Tsh. kama kodi.
Amkeni, Toeni sauti, Nchi inakwisha.:target:
JAIRO MILLION 500
LUHANGO MALI ASILI NDEGE QATAR
PIUS MSEKWA NGORONGORO
Tulijadili hii topic na tukasema tuandae vipererushi ili tuelimishe umma hasa vijijini.
Tumefikia wapi?? Wanaharakati wa haki za binadamu na wengine mko wapi??
Tunaishia tuu kulalamika huku JF
Jamani tuanzeje???
Hatuchukui hatua ndo maana Vasco da Gama na Luhanjo wanatuona Watanzania mazoba, wanazoa hela tuu