'maelezo yako yamejaa uchochezi mwanzo hadi mwisho, nikwasababu sisis ni wavumilivu najua masikio ya watanzania yatapima'- LukuviGrEaTthinkers,
Think kiasi gani tumepoteza kama taifa,
Kwa nini jasho letu linatumika vibaya hivi!
Nasema hawa si wa kuchekea wanaiumiza Nchi,
- TICTS
- RADAR
- NDEGE YA RAIS
- SAFARI ZA NJE YA NCHI-UTADHANI YEYE NI WAZIRI WA MAMBO YA NJE
- TWIN TOWERS BOT
- MIKATABA ISIYO NA TIJA KWA NCHI(Madini)
- KAGODA(EPA)
- MEREMETA
- RICHMOND/DOWANS
- WAKUU WA MIKOA na WILAYA(Hao ni Watumishi wa CCM)
- IPTL
- KIWIRA COAL MINES
- NETGROUP SOLUTIONS
- MISAMAHA YA KODI(Nchi inakosa mapato)
- ALEX STEWART
- BEI YA BIDHAA ie. UMEME (watanzania ndiyo wanaofidia misamaha ya kodi)
- RITES
- ALLIANCE AIR
- KUJENGA BARABARA KUPITIA MBUGA YA SERENGETI(Matumizi mabaya ya kodi zetu)
- LOLIONDO
- BARABARA YA KILWA NA MANDELA KAZI KURUDIWA(Matumizi mabaya ya kodi zetu
Kwa Asili ni sisi ni matajiri, tunafilisiwa na wapuuuzi
Haiwezekani madudu yote hayo, hakuna hata mwenye hatia ukitoa Liyumba.
Ukinunua soda ya 500Tsh umetoa 90Tsh. kama kodi.
Amkeni, Toeni sauti, Nchi inakwisha.:target:
<br />'maelezo yako yamejaa uchochezi mwanzo hadi mwisho, nikwasababu sisis ni wavumilivu najua masikio ya watanzania yatapima'- Lukuvi
Si woga ila kwa sheria zetu hizi na utawala huu mwanzilisha wa jambo hili hatakuwa salama yatamkuta makubwa - anaweza kupotezwa hata kabla ya tarehe ya maandamano kuijafika.
<br />tunapoelekea siko nchi inayumba
<br />craaaaaaaaaaaapppppppppp
<br />Jaman am ready to die. Nan watakuwa behind me. Plse wanaJF,isiwe kuwa natangulia then watanzania wabaki na shida.
Kwanza kabisa moyoni mwangu nilishukuru sana itikio la CDM, hakika Kanda ya ziwa si ya kuchezea kizembe zembe tena,Spencer,
kama sikosei mada yako hii ndio ilikuwa imeibua mpango mzima wa maandamano ya Chadema kitaifa yakianza na kule kanda ya Ziwa ambako kusema kweli kuliwashtua viongozi wengi wa CCM na washabiki wake..leo hii imebakia hadithi na kutokana na ufinyu wa memory card vichwani mwa wadanganyika hayo hayo yamepita na kusahaulika..
Leo hii napokusoma tena hapa na kutazama matokeo ya maandamano yale kiasi kwamba yalibadilishwa na kuwa Uasi ndipo nilipokoma na Watanzania. Yaani wakikusoma hapo juu hakuna wanalolipinga hata moja lakini inapofikia kufanya maamuzi magumu kila mmoja mwoga na wengine hukugeuka palepale - Kwa lugha nyepesi kabisa sisi watanzania ni WANAFIKI kihulka na sii rahisi kuwategemea kwa lolote..
India majuzi tu katokea Mtu anaitwa Anna Hazare ameanzisha kampeni za kukaa njaa (Hungerstrike) kupinga RUSHWA linaloendelea nchini mwake kama za babu yao marehemu Ghandi wakati akipigania Uhuru..Na kimila wahindi kushinda njaa wakati chakula kipo ni laana kubwa kwa taifa... Huyu kwa kufanya hivyo tu amepata support kubwa sana kiasi kwamba leo hii sii swala la Anna hazare tena ila la kitaifa..
Ukija kwetu kila Mdanganyika anataka Dr.Slaa au Chadema ndio waanzishe maandamano ktk swala la kitaifa ambalo halina siasa za Chadema wala CCM. Nchi yetu imeporwa na majambazi ambao hawajali tena mustakabali wa nchi yetu lakini kwa maajabu ya Midanganyika hilo ni swala la Upinzani...Kwa mtaji huu nina hakika CCM waitatawala milele na hawana sababu ya kuogopa kuendelea kuliweka taifa ktk umaskini..
Pamoja na yote hayo nakupa pongezi za dhati kwa kufikiria japo dogo ambalo kulingana na MIJITU yenyewe ndio hivyo tena imeshindikana!
<br />Tunaanza lini maandamano? Yamechelewa kwa miaka minne!! Then naona bado porojo tu...
Nani aanzishe?!!! Kikwete ana msemo unaokwenda kwa jina la ''It is possible, Take your part!''