Nakuakikishia KIKWETE atatawala kwa taabu sana awamu hii ya miaka mitano! Maana hari si hari tena! Mambo yanaanza hivi; Msukumo kutoka kwa wafanyakazi wa serikali bado ni ngoma nzito, kwani wengi wamejenga chuki kubwa kwa serikali tangu jamaa alivyoasema hana shida na kura za wafanyakazi! nina imani ata mei mosi ya 2011 hawatamualika.
Msukomo wa pili ni wanafunzi wa vyuo vikuu waliopevuka ambao kwa sasa serikali wanaiona kama sokomoko. Hasira za wananchi wengi juu ya maumivu yatokanayo na ugumu wa maisha unaosababishwa na Wezi wa rasilimali za nchi wakishirikiana na wakubwa Serikalini.
Vyama vya kiraia, Na changamoto ya Bunge lenye watu wachache makini! HIVYO MAANDAMANO YAPO! WEWE SUBIRI TU UTAJIUNGA YATAKAPOTOKEA! MAANA WATANZANIA WENYE UFAHAMU HAWATAKI KUFANYWA WAPUMBAVU TENA!
Msukomo wa pili ni wanafunzi wa vyuo vikuu waliopevuka ambao kwa sasa serikali wanaiona kama sokomoko. Hasira za wananchi wengi juu ya maumivu yatokanayo na ugumu wa maisha unaosababishwa na Wezi wa rasilimali za nchi wakishirikiana na wakubwa Serikalini.
Vyama vya kiraia, Na changamoto ya Bunge lenye watu wachache makini! HIVYO MAANDAMANO YAPO! WEWE SUBIRI TU UTAJIUNGA YATAKAPOTOKEA! MAANA WATANZANIA WENYE UFAHAMU HAWATAKI KUFANYWA WAPUMBAVU TENA!