Mkuu hawa si wapuuzi kama unavyodhani,Kwangu mimi wapuuzi ni sisi wananchi tunaolalamika bila kuchukua hatua.Angalia wenzetu wa misri,Libya,Tunisia na kwingineko dunia,pale watawala wao walipofanya ndivyo sivyo walichukua hatua na matokeo yake wote tunayajua.Wapuuzi ni sisi tunaodanganywa kama watoto wadogo for 50 years now still hatung'amui kuwa tunadanganywa.AiibuGrEaTthinkers,
Think kiasi gani tumepoteza kama taifa,
Kwa nini jasho letu linatumika vibaya hivi!
Nasema hawa si wa kuchekea wanaiumiza Nchi,
- TICTS
- RADAR
- NDEGE YA RAIS
- SAFARI ZA NJE YA NCHI-UTADHANI YEYE NI WAZIRI WA MAMBO YA NJE
- TWIN TOWERS BOT
- MIKATABA ISIYO NA TIJA KWA NCHI(Madini)
- KAGODA(EPA)
- MEREMETA
- RICHMOND/DOWANS
- WAKUU WA MIKOA na WILAYA(Hao ni Watumishi wa CCM)
- IPTL
- KIWIRA COAL MINES
- NETGROUP SOLUTIONS
- MISAMAHA YA KODI(Nchi inakosa mapato)
- ALEX STEWART
- BEI YA BIDHAA ie. UMEME (watanzania ndiyo wanaofidia misamaha ya kodi)
- RITES
- ALLIANCE AIR
- KUJENGA BARABARA KUPITIA MBUGA YA SERENGETI(Matumizi mabaya ya kodi zetu)
- LOLIONDO
- BARABARA YA KILWA NA MANDELA KAZI KURUDIWA(Matumizi mabaya ya kodi zetu
Kwa Asili ni sisi ni matajiri, tunafilisiwa na wapuuuzi
Haiwezekani madudu yote hayo, hakuna hata mwenye hatia ukitoa Liyumba.
Ukinunua soda ya 500Tsh umetoa 90Tsh. kama kodi.
Amkeni, Toeni sauti, Nchi inakwisha.:target: