Maandamano ni batili, vijana tusitumike

Maandamano ni batili, vijana tusitumike

Takwimu ya mali binafsi zilizoharibiwa na kuibiwa ikoje? Ukiachana na zile zinasonasibishwa na wana Siasa.

Haki ya kuishi kwanza.
 
Hatujawafikia bado, ila tunaenda mdogomdogo
Hatuendi mdogomdogo, tumerudi nyuma kama enzi za chama kimoja za Ukomunisti. Hakuna mahali sehemu yoyote yenye demokrasia hata ya kuonja tu mtu anaweza kupata ushindi wa 90%.
 
Vijana wengi tunatumika kwa maslahi ya wengine,wengi walio poteza uhai niwale wafata mkumbo. kikundi Cha wezi walikua wanachoma sheli, wanavunjaa maduka ya watu wanaiba alafu wanakimbia vichochoroni wemfata mkumbo unabakii unatumika kama ngao yakuwazuia police bila kujua watu wapo kwenye misheni zao .
Unafanya uhalifu alafu unakimbilia kwenye makazi ya watu wema kujifungia ? Unasababisha madhara kwa watu wasio husika kwann usikimbilie msituni mkapambane uko na police.

Acheni ujingaaa na kufwata mkumbo

Mlisema mnaitaka ikulu ??

Mbeya Kuna ikulu? Arusha kunaikulu? kwenye magari ya mwendokasi kunaikulu?? Takukuru kunaikulu? Tunduma kunaikulu? Kilimanjaro kunaikulu??
Kulikua na maanagani kuharibu biashara za watu na miundombinu kama Nia niikulu ?

Wazazi waambie vijana wenu kwamba vijana wenzao wanatumia mikopo kuendesha biashara zao wawe na huruma waache chuki zisizo na maana hawamu hii hatutawaelewa hatutakubali hasara tena,hatutakubali mtoto wajirani atulaze njaaa ,watafutaji tumekasirishwa na ujinga mliotufanyia

Sinamengiyakusema ila acheni kusapoti watu wanaotaka kuhalalisha uwizi na uharibifu wa Mali za watanzania maskini wanaopambana namikopo benki ilihali familia zao zipate mloo
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

R.I.P. Kwa wote
Bro vijana wanadai haki zao, kufa mapambanoni sio ajabu,
Kasome Historia,
Chris Hani, Steve Biko, walikuwa, na, miaka 20,walipoanza, kupingq utawala, wa, kidhalimu wa, Ubaguzi wa, Rangi,walikamatwa na idara za, usalama, waliteswa, mpaka kufa!
Nakuuliza wewe, walikosea?
We, kama unalidhika na Hari ilyopo, unakula, ugari wako, una ka ist, nyumba moja, flat screen, watoto wanafatwa, na basi LA, njano, unaona umefika,siku zote middle class huwa ni kikwazo cha mapambano ya kudai haki, hawataki kupoteza vi ajira vyoa,wameridhika,
Mseven, kasoma, bongo, kafanya military ndani ya jwtz,angeweza kubaki bongo, akawa waziri, mfanyabiashara, lakini alienda msituni akiwa na miaka 25 tu! Akapambana, the rest is history, we unataka tusiandamane kisa samia na mafwele watatuua,! Turizike na kazi set za bodaboda, kuuza chips, machinga, wakati watoto wa, watawala wanaendesha Lamborghini ya bilioni na nusu! Ur a piss of shit bro! Bora nife Leo, ili mjukuu wangu aishi vzr 50yrs to come
 
Sawa njooni tena kama unaakili kwanini msipange maandamano yenu binafsi mnadandia yawatu
Au mliokua DSM wale walikua wanachoma sheli za watu kwanini walikua wakishachoma wanakimbia wanawaacha wengine? Kwanini walikua wakishavunja maduka nakuiba hawaonekani kwenye maandamano wanakimbia? Acheni kujiingiza kwenye misheni zawatu
Au walioiba simu za nenga kwanini walikimbia jiongezee ukifa mzigo nikwafamilia Yako
Kumbe mlituma mamluki wafanye uharibifu then wakimbie wawaachie msala wengine ili mpate sababu🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Unafanya uhalifu alafu unakimbilia kwenye makazi ya watu wema kujifungia ? Unasababisha madhara kwa watu wasio husika kwann usikimbilie msituni mkapambane uko na police.
Kwamba hivi ndivyo mnavyo justify yale mauaji ya mlango kwa mlango mliokuwa mnafanya?

Kwamba wale wote waliokuwa wanauliwa wakiwa majumbani mwao baada ya kutii amri ya kutotoka nje hasa kwanzia tarehe 31 hadi tarehe 1 hapo walikuwa ni majambazi waliokimbilia majumbani kwa watu au?

Hivi nyie wapumbav mbona mmekosa kabisa ubinadamu?

Tunajua vichwa vyenu havina kabisa akili, haya hata ubinadamu nao pia mmekosa?

Hivi una habari kuwa yale majangili yameua mpaka watoto wadogo wasiojua hata maandamano ni nini?

Unajua kwamba kuna raia hawakutoka kabisa ndani baada tu ya kuemea ile tarehe 28 lakini bado wakauliwa na hao majangili waliokuwa wanapita nyumba kwa nyumba baada ya kukosa watu barabarani wa kupiga risasi?

Kwa hiyo hapa unataka tuwaone wale majangili na jeshi lenu la polisi hawana hatia kabisa kwa yale mauaji holela ya waliyoyafanya si ndio?

Kwa fikra hizi wewe huwezi kuwa ni binadamu wa kawaida, wewe ni zaidi ya shetani kabisa, huna akili wala ubinadamu.. na pia mali kwako zina thamani kuliko uhai wa binadamu.

Nyie ndio wale walimu ambao mlikuwa mnachapa darasa zima kwa kosa la wapiga kelele wachache.... yaan kwa vile tu umeskia darasa lina kelele sana, basi wewe unanyanyuka na hasira zako unaenda kutandika fimbo darasa zima matokeo yake unawachapa hata wale wanafunzi waliokuwa wamesinzia kipindi wenzao wanapiga kelele, halafu ukitoka hapo unajiona umefanya jambo sahihi.

Wewe ni binadamu wa ovyo sana, na kama una familia basi familia yako inafuga laana bila kujua, maana siku si nyingi nyie wote mnaofurahia na kusapoti mauaji haya ya halaiki mkiongozwa na muhusika mkuu lile ibilisi la kizanzibari lazima litawakuta jambo kitakalobadilisha uelekeo wa maisha yenu wote.
 
Na next time itatakiwa tupate the exact location ya duka lako tuje kulitia kibiriti lolote. Inatakiwa tufike point hii nchi tuwe na vijana wanaotanguliza mstakabali wa taifa mbele kuliko hayo maduka ambayo kama system za nchi tunazozipigania Leo zikija kuwa poa, basi utamilikia zaidi ya hizo na kubwa kuliko hiyo. Pumbafu
 
Unafunga ofisi unaenda kuandamana unarud unakuta imevunjwa na watu wameiba alaf mnataka tuwe upande mmoja
 
Vijana wengi tunatumika kwa maslahi ya wengine,wengi walio poteza uhai niwale wafata mkumbo. kikundi Cha wezi walikua wanachoma sheli, wanavunjaa maduka ya watu wanaiba alafu wanakimbia vichochoroni wemfata mkumbo unabakii unatumika kama ngao yakuwazuia police bila kujua watu wapo kwenye misheni zao .
Unafanya uhalifu alafu unakimbilia kwenye makazi ya watu wema kujifungia ? Unasababisha madhara kwa watu wasio husika kwann usikimbilie msituni mkapambane uko na police.

Acheni ujingaaa na kufwata mkumbo

Mlisema mnaitaka ikulu ??

Mbeya Kuna ikulu? Arusha kunaikulu? kwenye magari ya mwendokasi kunaikulu?? Takukuru kunaikulu? Tunduma kunaikulu? Kilimanjaro kunaikulu??
Kulikua na maanagani kuharibu biashara za watu na miundombinu kama Nia niikulu ?

Wazazi waambie vijana wenu kwamba vijana wenzao wanatumia mikopo kuendesha biashara zao wawe na huruma waache chuki zisizo na maana hawamu hii hatutawaelewa hatutakubali hasara tena,hatutakubali mtoto wajirani atulaze njaaa ,watafutaji tumekasirishwa na ujinga mliotufanyia

Sinamengiyakusema ila acheni kusapoti watu wanaotaka kuhalalisha uwizi na uharibifu wa Mali za watanzania maskini wanaopambana namikopo benki ilihali familia zao zipate mloo
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

R.I.P. Kwa wote
Akil Yako kama GENTAMYCINE
 
Nashukuru wale walikua police wa kawaida wanaolinda mabenki wangefunguliwa FFU mngelia nakusaga meno
 
Tendeni haki!

Tendeni haki!

Tendeni haki!

20251110_153908.png
 
Kwahiyo kwenye biashara zetu ndiomlikua mnamtafuta raisi
Usitutishe bana alaaaah

Biashara ndio imekufanya uje uandike upuuzi huu

Iko hivi
Tunadai Tanganyika yetu

Biashara sio kipaumbele kwani nyingi ni biashara haramu.

Punguza kutupigia kelele
 
Back
Top Bottom