Maandamano ni batili, vijana tusitumike

Maandamano ni batili, vijana tusitumike

Kwa Dar salam watu wengi walikufa wakiwa mtaani na si wakati wa maandamano, nimeshuhudia watu wanakufa mtaani kama mzaha.
 
Vijana wengi tunatumika kwa maslahi ya wengine,wengi walio poteza uhai niwale wafata mkumbo. kikundi Cha wezi walikua wanachoma sheli, wanavunjaa maduka ya watu wanaiba alafu wanakimbia vichochoroni wemfata mkumbo unabakii unatumika kama ngao yakuwazuia police bila kujua watu wapo kwenye misheni zao .
Unafanya uhalifu alafu unakimbilia kwenye makazi ya watu wema kujifungia ? Unasababisha madhara kwa watu wasio husika kwann usikimbilie msituni mkapambane uko na police.

Acheni ujingaaa na kufwata mkumbo

Mlisema mnaitaka ikulu ??

Mbeya Kuna ikulu? Arusha kunaikulu? kwenye magari ya mwendokasi kunaikulu?? Takukuru kunaikulu? Tunduma kunaikulu? Kilimanjaro kunaikulu??
Kulikua na maanagani kuharibu biashara za watu na miundombinu kama Nia niikulu ?

Wazazi waambie vijana wenu kwamba vijana wenzao wanatumia mikopo kuendesha biashara zao wawe na huruma waache chuki zisizo na maana hawamu hii hatutawaelewa hatutakubali hasara tena,hatutakubali mtoto wajirani atulaze njaaa ,watafutaji tumekasirishwa na ujinga mliotufanyia

Sinamengiyakusema ila acheni kusapoti watu wanaotaka kuhalalisha uwizi na uharibifu wa Mali za watanzania maskini wanaopambana namikopo benki ilihali familia zao zipate mloo
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

R.I.P. Kwa wote



First and foremost hakuna duniani ambapo watu hutembea moja kwa kwenda ikulu eti kumtoa rais unless kama ni coup d'etat, kilichofanyika ni to target where it hurts most. Halafu nyinyi chawa mbona hamzungumzii kiini cha yaliyosababisha tukafika huku mko busy tu na repercussions za ill deeds za Samia na henchmen wake, you ain't doing anything sensible here.
 
Usitutishe bana alaaaah

Biashara ndio imekufanya uje uandike upuuzi huu

Iko hivi
Tunadai Tanganyika yetu

Biashara sio kipaumbele kwani nyingi ni biashara haramu.

Punguza kutupigia kelele
Nendeni Kenya ndio panawafaa
 
Back
Top Bottom