Haya mambo wengi wa Watanzania wanayataka ila CCM inaogopa sijui wana matatizo gani?
Naona yanaweza kutokea kabla ya uchaguzi, maana raia wana hasira na wapo tayari
Haya mambo wengi wa Watanzania wanayataka ila CCM inaogopa sijui wana matatizo gani?
HAPA UNAPAMBANIA CHADEMA AU UNAPAMBANIA TAIFA?Jitokeze upambanie taifa lako, acha uzembe na ngono zembe
Mangi kimambi na lissu awanatofauti kubwa maana awajui uzalendo ni nini ...hata akija rais mzalendo..tena akatamka kabisa ngojeni kwanza ninyooshe nchi bado wao watapinga maana ni vichwa panzi tena watatumiwa na maadui wa haki na uzalendo kumpinga huyo rais....Japo kwa sasa inabidi kumuunga mkono lissu ila tatizo ni kubwa vichwani mwaoKama kichwa cha habari kinavyojieleza, kuna tetesi kwamba endapo mabadiliko katika tume ya uchaguzi na mambo mengine yanayopigiwa kelele endapo hayatafanyiwa marekebisho kutakuwa na hamasa kubwa mtandaoni kuhimiza watu kutojitokeza.
Sintofahamu ni kubwa na inaelezwa CCM wamepanga kuzima mitandao ya kijamii siku moja kabla ya uchaguzi ila taarifa zinadokeza kuwa woga mkubwa sana miongoni mwa wana CCM huku wengi wakishauri mambo kadhaa yafanyiwe marekebisho kuweka mambo sawa.
Kuna kila dalili uchaguzi ukavurugika na Watanzania wengi wataogopa kujitokeza kwenye vituo vya kupigia kura kuhofia usalama wao.
Chonde chonde Samia na serikali yako jitahidi kuwa mzalendo madaraka yana mwisho, weka utaifa mbele na punguza uchu na tamaa za madaraka.
Haya mambo wengi wa Watanzania wanayataka ila CCM inaogopa sijui wana matatizo ganiItakuwa vyema jambo hilo likiwezekana
uchaguzi unapaswa uwe huru, wa haki na wa uwazi pasipo upendeleo
Taifa kwanza mkuuHAPA UNAPAMBANIA CHADEMA AU UNAPAMBANIA TAIFA?
OLE WAKE MWANANCHI ATAKAYE PANGA MSTARI KUPIGA KURA, SILAHA YETU NI MANATIHakuna maandamo watu wa kuandamama wapo wapi?
MKUU,Haya mambo wengi wa Watanzania wanayataka ila CCM inaogopa sijui wana matatizo gani
Taifa kwanza mkuu
Sana watu wapo frustrated sana na namna nchi inavyoongozwaNaona yanaweza kutokea kabla ya uchaguzi, maana raia wana hasira na wapo tayari
SIJUI NITAMPGIA NANI KURA, OLE WAKE MTU ANIGUSE NA MANATI YAKE..OLE WAKE MWANANCHI ATAKAYE PANGA MSTARI KUPIGA KURA, SILAHA YETU NI MANATI
NO REFORM NO ELECTION
TUMECHOKA KUONEWA
Uzuri CDM imebaki na watu ambao wana reputation nzuri kwa jamii japo wahuni hawawezi kukoswa ila swala la kuongoza nchi sina shaka CDM watafanya mambo makubwa sanaMKUU,
HAPA WANAPAMBANIA CDM IKALAMBE ASALI.. KAMA WAMEINGIA CDM MKUU KUMETOKEA MGAWANYIKO JE WAKIINGIA IKULU KUNA TAIFA HAPO MKUU?
No reforms no electionHakuna maandamo watu wa kuandamama wapo wapi?
naam, wananchi wanachukizwa ila muda wa kuandamana bado haujatimiaHakuna maandamo watu wa kuandamama wapo wapi?
MKUU TUACHE MAMBO MENGI..Uzuri CDM imebaki na watu ambao wana reputation nzuri kwa jamii japo wahuni hawawezi kukoswa ila swala la kuongoza nchi sina shaka CDM watafanya mambo makubwa sana
Sawa jambo jemaOLE WAKE MWANANCHI ATAKAYE PANGA MSTARI KUPIGA KURA, SILAHA YETU NI MANATI
NO REFORM NO ELECTION
TUMECHOKA KUONEWA
Ni kwelinaam, wananchi wanachukizwa ila muda wa kuandamana bado haujatimia
Wataandamana katika keyboards.Hakuna maandamo watu wa kuandamama wapo wapi?
Mange yupo Marekani. Siamini kama atakuwepo kuongoza maandamano. Ila mtakaoandamana ili tusipige kura, tunawasubiri kwa hamu sana!Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kuna tetesi kwamba endapo mabadiliko katika tume ya uchaguzi na mambo mengine yanayopigiwa kelele endapo hayatafanyiwa marekebisho kutakuwa na hamasa kubwa mtandaoni kuhimiza watu kutojitokeza.
Sintofahamu ni kubwa na inaelezwa CCM wamepanga kuzima mitandao ya kijamii siku moja kabla ya uchaguzi ila taarifa zinadokeza kuwa woga mkubwa sana miongoni mwa wana CCM huku wengi wakishauri mambo kadhaa yafanyiwe marekebisho kuweka mambo sawa.
Kuna kila dalili uchaguzi ukavurugika na Watanzania wengi wataogopa kujitokeza kwenye vituo vya kupigia kura kuhofia usalama wao.
Chonde chonde Samia na serikali yako jitahidi kuwa mzalendo madaraka yana mwisho, weka utaifa mbele na punguza uchu na tamaa za madaraka.
Subiri uuone mziki wake coming this OctoberMange yupo Marekani. Siamini kama atakuwepo kuongoza maandamano. Ila mtakaoandamana ili tusipige kura, tunawasubiri kwa hamu sana!
mwaka huu hakuna uchaguzi. HAUPO!Uchaguzi lini kwani? 😂