Maandamano makubwa nchini yananukia...

Maandamano makubwa nchini yananukia...

Nyasi-Man

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2023
Posts
928
Reaction score
2,053
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kuna tetesi kwamba endapo mabadiliko katika tume ya uchaguzi na mambo mengine yanayopigiwa kelele endapo hayatafanyiwa marekebisho kutakuwa na hamasa kubwa mtandaoni kuhimiza watu kutojitokeza.

Sintofahamu ni kubwa na inaelezwa CCM wamepanga kuzima mitandao ya kijamii siku moja kabla ya uchaguzi ila taarifa zinadokeza kuwa woga mkubwa sana miongoni mwa wana CCM huku wengi wakishauri mambo kadhaa yafanyiwe marekebisho kuweka mambo sawa.

Kuna kila dalili uchaguzi ukavurugika na Watanzania wengi wataogopa kujitokeza kwenye vituo vya kupigia kura kuhofia usalama wao.

Chonde chonde Samia na serikali yako jitahidi kuwa mzalendo madaraka yana mwisho, weka utaifa mbele na punguza uchu na tamaa za madaraka.
 
MTOA POST TAFUTA KAZI UFANYE..

HAKUNA CHA MAANDAMANO HAPO, ETI MTU YUPO MAREKANI ANAANDIKA MTANDAONI YEYE HAYUPO, HALAFU WEWE UNAINGIA BARABARANI?

IN SHORT HAKUNA MTU WA KUZUIA MTU MWINGNE KUTUMIA HAKI YAKE KIKATIBA KUPIGA KURA..

KATIKA MAAZIMIO YA WAUME ZENU HAO, ULIONA KUNA AZIMIO LINASEMA KAMA HAKUNA MABADILIKO WATU WASIENDE KUPIGA KURA?
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kuna tetesi kwamba endapo mabadiliko katika tume ya uchaguzi na mambo mengine yanayopigiwa kelele endapo hayatafanyiwa marekebisho kutakuwa na hamasa kubwa mtandaoni kuhimiza watu kutojitokeza.
Sintofahamu ni kubwa na inaelezwa CCM wamepanga kuzima mitandao ya kijamii siku moja kabla ya uchaguzi ila taarifa zinadokeza kuwa woga mkubwa sana miongoni mwa wana CCM huku wengi wakishauri mambo kadhaa yafanyiwe marekebisho kuweka mambo sawa.
Kuna kila dalili uchaguzi ukavurugika na Watanzania wengi wataogopa kujitokeza kwenye vituo vya kupigia kura kuhofia usalama wao.
Chonde chonde Samia na serikali yako jitahidi kuwa mzalendo madaraka yana mwisho, weka utaifa mbele na punguza uchu na tamaa za madaraka.
Ugali ulivyomtamu, ngono na bangi ilivyotamu.

Navyopenda kuzini, Kula na kuvuta bangi niandamane niviache hivi vyote?

No way maame!

Nyau de adriz
 
MTOA POST TAFUTA KAZI UFANYE..

HAKUNA CHA MAANDAMANO HAPO, ETI MTU YUPO MAREKANI ANAANDIKA MTANDAONI YEYE HAYUPO, HALAFU WEWE UNAINGIA BARABARANI?

IN SHORT HAKUNA MTU WA KUZUIA MTU MWINGNE KUTUMIA HAKI YAKE KIKATIBA KUPIGA KURA..

KATIKA MAAZIMIO YA WAUME ZENU HAO, ULIONA KUNA AZIMIO LINASEMA KAMA HAKUNA MABADILIKO WATU WASIENDE KUPIGA KURA?
Relax till October, then leta feedback
 
Kwani walioko Marekani ndiyo waliandika katiba inayoruhusu maandamano?
MTOA POST TAFUTA KAZI UFANYE..

HAKUNA CHA MAANDAMANO HAPO, ETI MTU YUPO MAREKANI ANAANDIKA MTANDAONI YEYE HAYUPO, HALAFU WEWE UNAINGIA BARABARANI?

IN SHORT HAKUNA MTU WA KUZUIA MTU MWINGNE KUTUMIA HAKI YAKE KIKATIBA KUPIGA KURA..

KATIKA MAAZIMIO YA WAUME ZENU HAO, ULIONA KUNA AZIMIO LINASEMA KAMA HAKUNA MABADILIKO WATU WASIENDE KUPIGA KURA?
Wa
 
Yaani nchi yetu eti vitu vidogo tu tunazungushaaaana hadi tunakuwa kituko cha dunia yaani kanuni mbili tatu za kuweka fair ground zinatushinda kwa nini wakati ni kwa manufaa ya umma!?
 
Itakuwa vyema jambo hilo likiwezekana
uchaguzi unapaswa uwe huru, wa haki na wa uwazi pasipo upendeleo
Haya mambo wengi wa Watanzania wanayataka ila CCM inaogopa sijui wana matatizo gani?
 
Back
Top Bottom