Mkulu Pdidy, kwa maoni yangu you are damn right,
- Six anaaminika kukinyemelea sana na kwa muda mrefu kiti cha juu kwa hiyo hapa zilikuwa ni simple politics, kwamba Six ni a threat kwa wote, kuanzia Muungwana, mpaka Mtandao wa Lowassa, na hasa Asilia ambao hawamuamini Six a former Mtandao, ni bin-adam mwenye tabia za kubadilika badilika, kwa hiyo alikuwa kafara kwa makundi yote ya ndani ya CCM, labda sasa ndio ataamua kuchagua asimamie wapi ili aaminike,
- Nia na madhumuni ya Lowassa ilikuwa kumuondoa kabisa kwenye picha ya politics ili asiwe tatizo 2015, lakini nia ya Muungwana ilikuwa ni kumpunguza makali na speed, Asilia waliomuokoa walitaka kum-test waone kama ni trust-worthy, now the winner wa hii Cinema/Ze-comedy ni Membe, na the losers ni sisi wananchi wa Tanzania, kwa sababu in the process ya hii experiment a lot of damage has been done kwa political system yetu na hasa morale ya wapiganaji, na haiwezi kuwa repaired mpaka yafanyike mabadiliko ya katiba ya Jamhuri, ambayo yatazibana nguvu za chama tawala, chochote kile mbele ya safari.
- Walichofanya mafisadi kwenye hii Cinema ni kupanda mbegu za mbele ya safari ya 2015, ambako wana uhakika wa kuchukua power kwa 100%, kwa sababu dalili ziko wazi hapa, kwamba Muungwana anawahitaji kushinda tena 2010, na ninaamini kwamba ameshakata nao deal, akiamini kwamba anaweza kuwachezea akili mwishoni mwa 2015 halafu ampitishe Membe, by then wapiganaji wa kumsaidia hawatakuwepo tena na Muungwana for the first time atalipa the price kama ya Mkapa, atakabwa koo na kuwapa urais mafisadi, ambao watamchafua kila kona na kuua kabisa jina lake politically, kama umejifunza one thing kwenye hiii Cinema ya juzi, ni kwamba mafisadi they do not play, wakikupata wanakumaliza hawana huruma.
- Muungwana hawezi tena kutudanganya wabongo ni kwamba anawachukia mafisadi, na anajua ili abaki kwenye power ni lazima awe sawa nao kama alivyofanya hiki kikao cha NEC. Dodoma juzi mstari umechorwa rasmi asiyeweza kuusoma vizuri shauri yake!
Mungu Aibariki Tanzania.
Respect.
Field Marshall Es!