Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
KumbeUswahili tu ilikuwaje ukarudisha muamala sababu kakukatalia kutoka?
Haya sasa pambana na hali yako mkaka ndio umeshaachwa.
KumbeUswahili tu ilikuwaje ukarudisha muamala sababu kakukatalia kutoka?
Haya sasa pambana na hali yako mkaka ndio umeshaachwa.
Hujui mfuniko? Hujui pipa?Umemaanisha nn hapa mkuu Vi rendra:
Wote yeye na uyo mwanamke wanafanana akiliUmemaanisha nn hapa mkuu Vi rendra:

Navijua but kwny Uzi huu vimehusikaje!Hujui mfuniko? Hujui pipa?

Hicho ndo wanawake wengi hawakiwezi, kukataa ofa. Yaani hakupendi lkn hela yako anatakaIla mwanamke sio selfish hapo? You guys should also learn to ignore the offers as well. Theres no free lunch in Africa!
We ushaona mtu ana interest na wewe na unaona hujamkolea basi kataa na offer
Hicho ndo wanawake wengi hawakiwezi, kukataa ofa. Yaani hakupendi lkn hela yako anataka
Aise na wewe mkuu ukawa unakomaa tu????Unataka kumpoteza mwana, hamna kutuma hela tena! Demu kashaona picha kali anajifanya hatokagi kabisa ila hela anapokea hahah!
Yani demu kama hajakuelewa bana huwa wana namna za kipekee za kukukata wenge. Kuna manzi huyo anapiga kazi next to our office. Ni manka ya Marangu smart inajipenda sana na body imenyooka inshort nimeielewa sana ila kimsingi naona hajanielewa.
Basi unaambiwa kila nikiomba appointment nae hakosi sababu yani inshort ananikwepa ila offer zangu anapokea. Sio Jmosi sio Jpili utaskia mie sio mtu wa kutoka toka so ntakudanganya tu. Mda wa kutoka kazini pia anazingua, anadai huwa ye anachelewa kuondoka ili hali ya usafiri iwe ishatulia maybe saa2 kasoro usiku. Siku ambayo atawahi kutoka unaskia ntakuwa na wajomba zangu.Truth is a bitter pill to swallow!



Wanayumba sana hapo, ndio maana wengine wanatafunaga mizigo kibabiloni!Hicho ndo wanawake wengi hawakiwezi, kukataa ofa. Yaani hakupendi lkn hela yako anataka
Hahahaahahahahahahahaha kwa hiyo Leo unasaliti kambi sio?Wadada wote hapa watalaumu kitendo ch kurudisha muamala... ila mimi nimekuelewa mkuu. Wakati anataka hela alikuwa mpole na mnyenyekevu, full kujibebisha mzee ukaingia laini ukatuma pesa. Baada ya kuona muamala na uhakika alisema jinga hili mi nilipeleke wapi na msonyo juu! Akaanza kuku kwepa na msg fupi fupi![]()
Hiyo ndo tabia ya wadada wengi siku hz. Hakupendi ila anataka kukulia hela zako. Akishakukubali ataanza na kuomba hela aone kama utatoa au vp na ukishatoa anajenga tabia ya kuomba mara kwa mara na k utazungushwa wee mpaka uisome namba..
Kwa kifupi tu huyo dada hajakupenda.
Eeeeh ndiwoooooooooo jamani wewe hupendi pesa?Hicho ndo wanawake wengi hawakiwezi, kukataa ofa. Yaani hakupendi lkn hela yako anataka
Hahahahahahahhaahah pole sanaUnataka kumpoteza mwana, hamna kutuma hela tena! Demu kashaona picha kali anajifanya hatokagi kabisa ila hela anapokea hahah!
Yani demu kama hajakuelewa bana huwa wana namna za kipekee za kukukata wenge. Kuna manzi huyo anapiga kazi next to our office. Ni manka ya Marangu smart inajipenda sana na body imenyooka inshort nimeielewa sana ila kimsingi naona hajanielewa.
Basi unaambiwa kila nikiomba appointment nae hakosi sababu yani inshort ananikwepa ila offer zangu anapokea. Sio Jmosi sio Jpili utaskia mie sio mtu wa kutoka toka so ntakudanganya tu. Mda wa kutoka kazini pia anazingua, anadai huwa ye anachelewa kuondoka ili hali ya usafiri iwe ishatulia maybe saa2 kasoro usiku. Siku ambayo atawahi kutoka unaskia ntakuwa na wajomba zangu.Truth is a bitter pill to swallow!