HaswaaWewe ni mwamba, nimekukubali sana. Don't trade money for sex, wote mnainjoi
SwadaktaHongera sana kwa kuokoa pesa yako,Ungeweza kumtumia hata mama yako mzazi ukajiongezea baraka kuliko kuhonga mwanamke ambaye hajui thamani yako.
Acha kupenda wanawake matapeli, tambua kuwa mwanamke unayempenda ana mwanaume wake na huenda mnachat kwakua kuna vitu haviendi sawa na mwanaume wake na huenda anampenda huyo aliyenaye kuliko wewe unayejipendekeza kwake.
Anaongea nawewe kama kukuhifadhi ili endapo kamba itakatika kwa mwanaume anayemtegemea ndipo aje kwako, mara nyingi wanawake kama hawa huweza kuwalia wanaume wa pembeni kisha kuwaacha kwenye mataa.
Hata umpe nini huwezi kusikia anakushuru badala yake atajifanya yupo busy na hata ukijifanya kuumia kwa anayokufanyia wala hawezi kushtuka,sana sana atakupa vikwazo ambavyo wew kwa kutokujua unaweza dhania anaongea vizuri kumbe ni mbinu za kukuzuia usihisi vibaya ili aendelee kukuweka kama mchepiko wa akiba
Achana naye huyo atakutesa bure sio mama yako mzazi ndio maana umerudisha muamala hajakutafuta kwakua anajua sio future yake na anahisi umechukizwa na majibu yake ya kijinga aliyokupa wakati umeshamtumia pesa.
Ungemuachia pesa hiyo pamoja na majibu aliyokupa angekudharau sana. Umeamua maamuzi sahihi, siku akipigwa chini au akifarakana na mtu wake atakufuata kwa lugha tamu ila mambo yake yakirudi vizuri atakutesa upya hivyo kuwa makini naye sana.
Muache aende zake
Uswahili tu ilikuwaje ukarudisha muamala sababu kakukatalia kutoka?
Haya sasa pambana na hali yako mkaka ndio umeshaachwa.





Ko umebetti muhamala ukapotea hella zikarudi, unataka kubetti tena angali umejua kabisa mechi zimekaa vibaya
Anyways, ni ngum mwanamke kukutana na mwanaume asiyempenda, ila kama anakupenda, aahhh!!! Ata chooni atakuita
%Amani iwe kwenu wana wa MMU.
Katika pita pita na pilika za maisha nikapata kumjua mrembo moja matata jirani na kibarua changu.
Nikapewa namba na outing moja sehemu nzuri, sijui niliikosea hiyo date, maana tangu hapo amekuwa anaruka ruka kukutana tena.
Kosa langu kubwa nilishatongoza kwenye sms na kadhalika.
Akiwa na shida ndogo hivi tunasaidiana, mara ananikopa na cha ajabu analipa tofauti na wengine, basi nikatia nia kuwa endapo atanielewa basi huyo ndo mtarajiwa.
Nini Kimenileta kwenu? Juzi tumechat chat saana, tukafikia hatua tunachagua style za nywele ili apendeze sikukuu, siku hiyo karibu kila txt aliyokuwa ananitumia ilikuwa na neno 'dia' , jana nikatuma pesa za kumtosha saloon na vitu vidogo vidogo, cha ajabu baada tu kutuma pesa, chatting haikuwa ya kiviiile, zaidi nikajikuta nimeomba appointment j2, akasema sikukuu huwa hatoki, nikaomba basi hata jmoc au j3, akasema kwa ujumla hapendi kutoka. na alishaniambia sema najisahaulisha.
Nilichokifanya.
Nilirudisha ule muamala usiku ule ule, na baada ya hapo hajanitxt wala me sijamtxt.
Tatizo liko wapi?
Bado namtaka huyu binti kwa kweli, sasa najihisi nshavuruga, ingawa naye tabia yake ndo imesababisha. karoho kaniniuma, nifenyejeee???
NB: That word "glow" was supposed to sound "grow". Other than that you made a wonderful reply. I would recommend the same.As the man you need to glow some balls, it is clear that women manipulate guys these days , what surprise me is the tendence of guys to fall in the victim category , as for women they are able to take your money and runaway but you guys dont feel doing the same , you continue with the act of loosing money hoping that some miraculous day she will come to her sense and attend your needs this is ultimate bullshit glow some balls dude , once a woman friendzone you the only thing you can do is take your things and leave or continue to play a victim forever.
Unataka kumpoteza mwana, hamna kutuma hela tena! Demu kashaona picha kali anajifanya hatokagi kabisa ila hela anapokea hahah!Ulikosea sana mkuu kurudisha muamala cha kukushauri mtumie hela nyingine
Ila mwanamke sio selfish hapo? You guys should also learn to ignore the offers as well. Theres no free lunch in Africa!pole uko selfish na umejionyesha character yako mapema,lol, uwezekano wa kumpata tena ni mdogo mkuu..tafuta mwingine...utapata tuu..usiogope.
Umemaanisha nn hapa mkuu Vi rendra:Nyie wote mmekutana mfuniko na pipa