Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,096
- 9,074
Ndo wadada wengi walivyo sasa hv. Ukiona umetongoza dada baada ya siku mbili anaomba hela, mkimbieNiliwahi mchana mjinga mmoja..
Nataka onana naye, akasema sijasuka nitumie hela, nikatuma.. Tumeonana mara nataka hiki mara kile.. Narusha ndoano ooh mimi nina mtu.
Zimepita siku mbili anaomba tena hela, nikamwambia kwanini usimuombe huyo mtu wako, akajibu yaishe...
Nikakazia " yaani wewe mimi hunitaki ila hela zangu unazitaka".. Yule mtoto alinichunia mazima..
Baada ya mwezi nikamtafuta, akasema haji kunisahau kwa majibu niliyompa.

