Maamuzi ya Kijinga Yananigharimu

Maamuzi ya Kijinga Yananigharimu

Hicho ndo wanawake wengi hawakiwezi, kukataa ofa. Yaani hakupendi lkn hela yako anataka
Niliwahi mchana mjinga mmoja..
Nataka onana naye, akasema sijasuka nitumie hela, nikatuma.. Tumeonana mara nataka hiki mara kile.. Narusha ndoano ooh mimi nina mtu.

Zimepita siku mbili anaomba tena hela, nikamwambia kwanini usimuombe huyo mtu wako, akajibu yaishe...
Nikakazia " yaani wewe mimi hunitaki ila hela zangu unazitaka".. Yule mtoto alinichunia mazima..
Baada ya mwezi nikamtafuta, akasema haji kunisahau kwa majibu niliyompa.
 
Haraka haraka haina mbaraka. Ulivyotuma pesa hukupaswa uonyeshe kama unanjaa ya kugegeda ungemute kimya. Baada ya kusuka angekutumia picha ya alivyosuka na ungemsifia kwa sifa zetu wakwale tunavyojua kupaka poda hadi mtoto ajue yes the guy is a real husband.

Mwambie muamala ulirudishwa baada ya kuona jina la mpokeaji sio lile ulijualo hivyo unatuma tena.


Kuomba msamaha ni jadi yetu kama sehemu hiyo bado hujavuna.
Huyu kafeli hapo anarudishaje mwamala wakati bado anampenda huyo mtu yaani hapo ameharibu kabisaaaaaa bora angeiaminisha akili yake kwamba amebet na mkeka umechanika pesa imeliwa na muhindi angeendelea na harakati za kumnyenga binti taratibu angemwelewa tu sasa yeye na mihasira yake kafanya maajabu hampati tena huyo
 
Aise na wewe mkuu ukawa unakomaa tu????
Ilibidi nikate uzi tu qmmmke! Mtoto yuko vizuri ila miyeyusho...
Jakaya aliwahi sema ukitaka ule sharti uliwe kidogo ila mtoto naona anakula sana af mi naishia kunawa tu, Nikaona sio kweli asintanie!
 
Niliwahi mchana mjinga mmoja..
Nataka onana naye, akasema sijasuka nitumie hela, nikatuma.. Tumeonana mara nataka hiki mara kile.. Narusha ndoano ooh mimi nina mtu.

Zimepita siku mbili anaomba tena hela, nikamwambia kwanini usimuombe huyo mtu wako, akajibu yaishe...
Nikakazia " yaani wewe mimi hunitaki ila hela zangu unazitaka".. Yule mtoto alinichunia mazima..
Baada ya mwezi nikamtafuta, akasema haji kunisahau kwa majibu niliyompa.
Haahahhahahaah huyu wako kiboko ...ana mtu halafu pesa anakuomba wewe???? Mweeeeeh
 
inauma mzee baba, yan mkubaliane apendeze afu usimuone hata kumuona, tena anasema kabisa, hicho hakitakaa kitokee daah, niliona kama dharau hivi.
Naunga mkon hatua zako za kishujaa
 
Ilibidi nikate uzi tu qmmmke! Mtoto yuko vizuri ila miyeyusho...
Jakaya aliwahi sema ukitaka ule sharti uliwe kidogo ila mtoto naona anakula sana af mi naishia kunawa tu, Nikaona sio kweli asintanie!
Katika maisha lazima ukubali kuna wanawake huwezi kuwa naoo...!! Hapo huyo mwanamke ukutee kuna mwana anamlilia balaaa...
 
Niliwahi mchana mjinga mmoja..
Nataka onana naye, akasema sijasuka nitumie hela, nikatuma.. Tumeonana mara nataka hiki mara kile.. Narusha ndoano ooh mimi nina mtu.

Zimepita siku mbili anaomba tena hela, nikamwambia kwanini usimuombe huyo mtu wako, akajibu yaishe...
Nikakazia " yaani wewe mimi hunitaki ila hela zangu unazitaka".. Yule mtoto alinichunia mazima..
Baada ya mwezi nikamtafuta, akasema haji kunisahau kwa majibu niliyompa.
Safi mkuu ukivungaa utachunwaaa balaa
 
Kosa ni kujitutumua kumtumia pesa iliyo nje ya uwezo wako, alikua anakupima akili yako na ndio maana hajaitoa kwenye simu
 
Uswahili tu ilikuwaje ukarudisha muamala sababu kakukatalia kutoka?

Haya sasa pambana na hali yako mkaka ndio umeshaachwa.
Jamani umbuje habari za siku...
Wacha aachwe maana inaonekana hata kujieleza hajui.


Howcomes anaandika hii kitu kama sisi tunaifahamu tangu awali?


Ukikosa mke/mchumba na unauhitaji wa kuoa japo sio kuchezea njoo nikupatie ninao warembo kibao....

Nadhani ulimi wangu una sukari...sijawahi mwambia mtoto wa kike nakupenda akanikatalia...
 
Katika maisha lazima ukubali kuna wanawake huwezi kuwa naoo...!! Hapo huyo mwanamke ukutee kuna mwana anamlilia balaaa...
Yeah asiekubali kushindwa si mshindani, af maisha ndio yapo hivyo, kuna mtu atakuja kumliza vibaya au la kama anaye basi anamzingua kinomanoma mara 10 ya hata alivyonzingua mimi.
 
Umerudisha muamala??? Haahahhahahahahahahaha aseee nyinyi watu mnatia aibu kwahiyo umeona atafaiiiidi hiiiii....na huyo Dada nae kazubaa sana....Mimi pesa ikiingia tu kwenye akaunti yangu Fulani cha kwanza ni kuihamishia akaunti nyingine ikiwezekana nyingine sababu najua kuna hawa wanaopenda kurudisha miamala
pole

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Namshauri amuache maan ameshaharibu
Kitendo cha wewe kurudisha muamala ndilo kosa lako.
Unaporudisha muamala ujue unakata relationship yako na mrembo. Hutakiwi kurudisha tena majeshi huko ,itakugharimu mno zaidi ya mwanzo.
 
Hahahaahahahahahahahaha kwa hiyo Leo unasaliti kambi sio?
Hahahaa hapana...hii tabia siipendi hata kidogo. Kama mtu humpendi mwache aende kwa nini unatamani vitu vyake sasa

Kuna mpangaji mwenzangu ndo zake hz. Mwanaume akijilengesha tu basi ataombwa hela mpaka ajute na hapewi k. Akitaka waonane basi haendi mwenyewe atabeba na mashost na wakifika huko wataagiza vya kuagiza na hela ya bajaji anataka ili tu amlie jamaa hela zake.

Hii tabia siipendi hata kidogo. Unakuwa tapeli wa kike. Hata mtu aliye sirias ataghairi.
 
Eeeeh ndiwoooooooooo jamani wewe hupendi pesa?
Mimi niko tofauti sana. Napenda zakwangu nilizotolea jasho. Mambo ya kuomba omba kama matonya hapana. Kama mwanaume ananipenda ajue wajibu wake na sio niombe ombe.
 
Back
Top Bottom