Yaani wewe angalau hauko negative sana na ME km mwenzako, unachomiss kuelewa muktadha wa hii hoja ni kitu kidogo Sana.
Hakuna mtu aliesema kumnyanyasa, kumpiga au kumuonea KE au whatsoever, ndy uanaume...,hapana! Me binafsi naamini katika malidhiano, maelewano na makubaliano baina ya sisi wawili. Kwamba tunakubaliana ktk nyumba yetu sote kwa pamoja ( mke na mume) juu ya Dos and Don't ndani ya nyumba.
Tunaposema mwanaume awe kiongozi au kichwa cha familia, hatumaanishi kuwa yeye awe dictator, hapana....wanandoa wanaoheshimiana na kupendana hawafanyi hvy. Ila pamoja na yote lazima kuwepo na mtu ambae ndy kiongozi ndani, kiasi hata wewe mwanamke kwa mfano anapokuja mtu kuwazingua hapo home unamuita, yaani ni simple logic tu na ya asili hata wanyama wengi wanayo hii Kariba.