Village fooler
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 722
- 1,463
Binafsi najitambua na kujielewa mke wangu nitampatia mahitaj yote anayotaka yaliyo ndani ya uwezo wangu japo unajua siwezi kumpatia kila kitu atakachohitaji kwa wakati lakn kadri ya uwezo wangu namhudumia nayeye anajua hilo ije itokee from no where motivational speaker mmoja aje amjaze ujinga et 50/50 wallahi hiyo ndoa itakua na masaa machache sana ya kusurviveUkitaka mwanamke akuheshimu vizuri hakikisha majukumu yote ya ku provide ni yako hakikisha hata chupi yake hanunui na kama wazazi wake kama wako hao uwe unawarushia pesa mara moja moja huyo ata kuheshimu sana unless uoe kichaa lakini unaoa mke unategemea yeye ndio alipe school fees au anunue chakula hapo tegemea kiburi jeuri na madharau. I am talking from my own experience.
All the best.
Bahati mbaya mm sio muumini wa 50/50 kabisa aseee hakuna kitu nakichukia aa hicho