Maalumu kwa wanaume wanandoa

Maalumu kwa wanaume wanandoa

Sipendi kuona unasuka......

Baby ukinyoa unapendeza sana....

Baby unapendeza sana ukivaa magauni ya kuburuza chini....

Baby hereni hazikupendezi kabisaaa....

Unapendeza ukionekana natural......

Wanaume buanaaaaaaa......

.wakati mwingine mke anakaidi kwakuwa anakatazwa jambo lisilo na mashiko....

😎
 
Sipendi kuona unasuka......

Baby ukinyoa unapendeza sana....

Baby unapendeza sana ukivaa magauni ya kuburuza chini....

Baby hereni hazikupendezi kabisaaa....

Unapendeza ukionekana natural......

Wanaume buanaaaaaaa......

.wakati mwingine mke anakaidi kwakuwa anakatazwa jambo lisilo na mashiko....

😎
Hivo vitu mbona vina mashiko sana kwasabu nikiishaoa mwanamke inatakiwa awe katika muonekano utakaonifaa kama Mme wake kwamfano binafsi sipendi mwanamke anaevaa vinguo vifupi na bahati mbaya mke wangu kabla sijamuoa alikua muhanga wa nguo fupi ila nilimbadilisha mpaka Leo hana nguo fupi hata moja.
Enyi wanawake waheshimuni waume zenu, nanyi waume wapendeni wake zenu
kila mmoja akizingatia hivi hakutakua na ugomvi kwenye ndoa zetu
 
Hapana haipo hvy, kwangu mwanamke aachwe awe mwanamke, asuke, anyoe, ajirembe, n.k ilimradi anafanya kwa kuzingatia "status" yake Kama mke wa mtu haina, shida....

Hapa tunazungumzia, mfano mume ametoka kazini, anarudi home anakuta wife hayupo, unampigia simu anakwambia nimeenda kwa rafiki yangu Ukonga, ilhali hajakupa prior notice.

Au unarudi home, unakuta amenuna bila sababu, ukimuuliza sababu hakuna jibu, au muda wa chakula anamwambia Dada muandalie baba chakula, ilhali yeye yupo na pengine hayaenda kazini.
Sipendi kuona unasuka......

Baby ukinyoa unapendeza sana....

Baby unapendeza sana ukivaa magauni ya kuburuza chini....

Baby hereni hazikupendezi kabisaaa....

Unapendeza ukionekana natural......

Wanaume buanaaaaaaa......

.wakati mwingine mke anakaidi kwakuwa anakatazwa jambo lisilo na mashiko....

 
Mkuu in ur perspective, ndoa unaichuliaje au ina nafasi gani? Na kwa mwanaume ana role gani ndani ya nyumba yako, na wewe role yako ni ipi?
Ahaa kumbe hiyo ndio tafsiri ya kiongozi?? Mimi kwa uelewa wangu mdogo kiongozi anatakiwa kuwa mfano kwa matendo mema ili wanaomfuata nyuma yake waige mwenendo mwema. Kumbe kiongozi maana yake ni mtu anayeruhusiwa kufanya makosa ambayo wanafamilia wengine ni mwiko....hii kwangu ni definition mpya. Ahsante kwa kutujuza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana haipo hvy, kwangu mwanamke aachwe awe mwanamke, asuke, anyoe, ajirembe, n.k ilimradi anafanya kwa kuzingatia "status" yake Kama mke wa mtu haina, shida....

Hapa tunazungumzia, mfano mume ametoka kazini, anarudi home anakuta wife hayupo, unampigia simu anakwambia nimeenda kwa rafiki yangu Ukonga, ilhali hajakupa prior notice.

Au unarudi home, unakuta amenuna bila sababu, ukimuuliza sababu hakuna jibu, au muda wa chakula anamwambia Dada muandalie baba chakula, ilhali yeye yupo na pengine hayaenda kazini.
Pamoja na kufanya hayo kama kunyoa,kusuka nk lazma iwe katika look itakayomfaa Mme wake kama Mme haridhiki na look yake bado atakua hajawa tayar kumsikiliza Mme wake na uzuri wa hvo vitu Ni vya kuongea pole pole na kwa upendo kabisa
 
Migogoro mingi ndani ya ndoa nyingi inatokana na wanandoa wengi kutokujua roles zao kwenye family na katika zote role namba moja kwa mwanaume Ni kumpenda mke wake na kwa mwanamke ni kumheshimu Mme wake kila mmoja akitimiza wajibu wake hapa vilivyo hakuna kitakachosababaisha migogoro ndani ya ndoa
 
Kwa taarifa yako Nina mke for 5 years na hiyo 50/50 haijawai kua agenda kwenye ndoa yetu kila mmoja anajua mpaka yake!! Mke wangu anajua kua mm ndie kiongozi mkuu kwenye familia and I am the last say kwenye family na ashazoea kabisa sijawai kusikia analalamika eti namnyanyasa
Kule juu mbona umesema umeghairi kuoa mkuu, which is which hapo unabadilika ka kinyonga.
Hamna mtu aliyekubadilisha njia hata mkeo unajua kuwa wewe ni mkewe ka wewe unavoona ni mumewe that's all.
 
Sasa hao ni wanandoa au wanachuo wanaoshare room ya hostel? Kwa mentality hii sishangai ukiniambia hujaolewa au umeachika......!
Wakikaa hostel au chini ya mwembe au mapangoni kote ni ndoa haijalishi as long as they sleep together as husband and wife. Na kuliko kuishi na mwanaume asiyejielewa heri tuachane niwe mwenyewe milele
 
Sipendi kuona unasuka......

Baby ukinyoa unapendeza sana....

Baby unapendeza sana ukivaa magauni ya kuburuza chini....

Baby hereni hazikupendezi kabisaaa....

Unapendeza ukionekana natural......

Wanaume buanaaaaaaa......

.wakati mwingine mke anakaidi kwakuwa anakatazwa jambo lisilo na mashiko....

Kuna wanaume Wana Mambo ya ajabu eti staki usuke kumbe hataki kukupa hela ya sali au kununua wigi basi atapinga wewe,
Mara usivae hichi hivi una mpangiaje mtu mzima mwenzako maisha?
 
Kule juu mbona umesema umeghairi kuoa mkuu, which is which hapo unabadilika ka kinyonga.
Hamna mtu aliyekubadilisha njia hata mkeo unajua kuwa wewe ni mkewe ka wewe unavoona ni mumewe that's all.
Sijasema nimeghairi kuoa nimesema kama style itakua kwamba kwenye ndoa yangu hakuna tofaut kati ya Mme kama kichwa cha familia na mke kama msaidizi Ni bora nisioe coz akijitokeza hali hiyo naweza ua mtoto wa watu bureee!!
 
Sijasema nimeghairi kuoa nimesema kama style itakua kwamba kwenye ndoa yangu hakuna tofaut kati ya Mme kama kichwa cha familia na mke kama msaidizi Ni bora nisioe coz akijitokeza hali hiyo naweza ua mtoto wa watu bureee!!
Kama kutofautiana ni kuua wewe tu ua uende magereza ubaki ukijuta the rest of ur life.
 
Kama kutofautiana ni kuua wewe tu ua uende magereza ubaki ukijuta the rest of ur life.
Ndo maana siwezi kuingia kwenye ndoa ambayo nitakua na mamlaka sawa na mwanamke there must be a line between husband and wife kwa ninavyojifaham ikitokea hvo naweza kuua mtu sasa ili kukwepa adha ya namna hyo Ni either kuoa mwanamke atakaekubali kua chino yangu au kutokuoa kabisa, that's my point
 
Unasema umeolewa, Mara hauamini katika ndoa, which one we should pick, anyway what I learnt ni kwamba, bado hujajua ndoa ni Nini, ndy maana you have a lot of negativity khs ndoa,. Yes, unaweza ukaolewa lkn usiwe mwanandoa.....!!!

Just because you ruined ur marriage for whatever reason, it doesn't mean kwamba ndoa si kitu chema.

Ndio nimeolewa nakaribia menopause

Unahangaika na shangingivaliyeshindwa kutunza ndoa yake.! Yeye anaona ndoa ni sehemu ya kuchukulia point tatu za ushindi.
Mie siamini katika kupiga au kumbana mwanamke ila naamini katika Mawasiliano mazuri na urafiki wenye uwazi. Mpenzi wangu mimi ni rafiki yangu...! Tunaambizana kila linakuwa katika nafasi yetu. Na ninamheshimu hata nikisha muoa nitampa nafasi yake kama Mama na Mlezi wa familia na mimi kama Provider. Kuwa provider haimanishi sitamsaidia la hasha ila Yeye akifanya sehemu yake mie nitamsaidia kazi zake ili kuongeza upendo kati yetu. Ni mwanamke wa kichaga ambaye naamini Mungu ataniongoza. Cariha anasumbuliwa na hasira na visasi rohoni kwake.
 
Kuna wanaume Wana Mambo ya ajabu eti staki usuke kumbe hataki kukupa hela ya sali au kununua wigi basi atapinga wewe,
Mara usivae hichi hivi una mpangiaje mtu mzima mwenzako maisha?
Ahaaaaaa kwahyo kama mme wako nikikuambia sitaki usuke hapo nishakupangia maisha?? Hv unajua tutafanyaje savings za kiasi gani kwa hzo pesa za kwenda saloon atleast kila week kwa mwaka??? Anyway vitu kama hivyo no minor sana kwenye ndoa Ni vitu vya kukubaliana tu tena kwa upole na upendo kabisa na mnaelewana pasipo mikwaruzano yoyote
 
Mkuu, hongera miaka 5 umejitahidi sana kwa maisha ya siku hizi.
ahsante mkuu... Na hata mke wangu niliishamwambia kabisa kama akitaka ndoa yetu ivunjike aanze kuleta hzo habari za 50/50 hapo sitavumilia unless tuangalie majukumu yote ndani ya nyumba nayo tugawane 50/50 kila mmoja atimize lakn kama mm ndo nategemewa kwa asilimia zaid ya 50 ajue hapo ndoa imevunjika asubuh
 
Ndo maana siwezi kuingia kwenye ndoa ambayo nitakua na mamlaka sawa na mwanamke there must be a line between husband and wife kwa ninavyojifaham ikitokea hvo naweza kuua mtu sasa ili kukwepa adha ya namna hyo Ni either kuoa mwanamke atakaekubali kua chino yangu au kutokuoa kabisa, that's my point
Ukitaka mwanamke akuheshimu vizuri hakikisha majukumu yote ya ku provide ni yako hakikisha hata chupi yake hanunui na kama wazazi wake kama wako hao uwe unawarushia pesa mara moja moja huyo ata kuheshimu sana unless uoe kichaa lakini unaoa mke unategemea yeye ndio alipe school fees au anunue chakula hapo tegemea kiburi jeuri na madharau. I am talking from my own experience.
All the best.
 
Back
Top Bottom