Maalumu kwa wanaume wanandoa

Maalumu kwa wanaume wanandoa

Na unapomkataza mwanamke aache kufanya kitu fulani lazima utoe sababu za msingi na madhara ambayo yatasababishwa na yeye kufanya hicho kitu unachomkataza. Siyo unaamua tu kumkataza eti kwa sababu wewe ni mwanaume huo sasa ndiyo uonevu wenyewe.
Na nitashangaa mwanamke anayekatazwa kufanya maendeleo kisa mwanaume kuwa kichwa sijui mguu, nawapenda wanaume wa ukoo wetu very supportive kwa mwanamke huwa nawashangaa wanaume wa humu wanaoshadadia ukandamizaji kwenye forum hii. Sijui wametoka sayari gani.
 
mwanamke kunivuruga kiaje?
ngoma gani hyo kuchezeshwa?
Si hayo mapovu yenu kuhusu wanawake these, wanawake vile. Ukiona wacheza ngoma sio yako ni kutokujielewa kwanini ukubali mtu akuvuruge
 
Huko ni kutokujiamini ni Nani alisema mwanaume awe juu na mwingine chini bila kuheshimiana hyo haipo eti mwanaume awe juu hata Kama anafanya utopolo, lazima mubadilike ndoa nikusikilizana na kushauriana, Sasa nyie wanaume mnataka muonee wanawake eti ili ndoa idumu kwanini nyie msiwe sehemu hyo mnatolea wababu mfano wakati walikuwa wajinga tu .
Ili ndoa idumu lazima mpendane, mhurumiane mheshimiane, msikilizane hyo ya kuwa juu ni Chaka letu wanaume kuendekeza ukandamizaji tu kwa wanawake
Mwanaume au mume kuwa juu haimanishi kuwa ni ticket ya kumuonea mke, au haimaanishi kuwa hakuna upendo, amani, n.k la hasha. Mwanaume kuwa juu maana yake ni kuwa mwanaume au mume awe kiongozi wa nyumba. Mnaweza sikilizana, heshimiana n.k sawa, lkn mwanaume nafasi yake ya yeye kuwa mtu wa mwisho kwenye maamuzi liwepo. Mbona hili hata kwenye vitabu vya dini lipo wazi na hata kiasili lipo hvy. Ndy maana sisi tunatoa mahali, tunawanunulia mashela kipindi Cha kufunga ndoa..... Yaani hii ni fact.

Binafsi siamini katika kumkandimiza au kumuonea KE, hapana, Naamini katika kuridhiana, kuheshimiana, kuvumiliana, n.k! Lkn pia Naamini ya kuwa mwanaume ndy kiongozi wa familia.

Huwezi wewe mke, ukamkaribisha rafiki yako/zako uliesoma nae shule bila ya kunipa Mimi taarifa. Au hauwezi wewe kwenda kwa mfano kuchora tatoo mwili wako bila ya kunipa Mimi mumeo taarifa hata Kama ni mwili wako.
 
Huko ni kutokujiamini ni Nani alisema mwanaume awe juu na mwingine chini bila kuheshimiana hyo haipo eti mwanaume awe juu hata Kama anafanya utopolo, lazima mubadilike ndoa nikusikilizana na kushauriana, Sasa nyie wanaume mnataka muonee wanawake eti ili ndoa idumu kwanini nyie msiwe sehemu hyo mnatolea wababu mfano wakati walikuwa wajinga tu .
Ili ndoa idumu lazima mpendane, mhurumiane mheshimiane, msikilizane hyo ya kuwa juu ni Chaka letu wanaume kuendekeza ukandamizaji tu kwa wanawake
Nakazia hapo kwa mababu tena walikuwa wajinga haswa si kidogo. Eti mtu anafuatisha tamaduni za mababu ambao walijiwekea sheria kwa kujipendelea wao wenyewe na kuwabebesha mizigo wanawake sababu tu hawakuwa na sauti ya kujitetea wala kukataa.

Mimi nilishasema sitakaa nifuate tamaduni za kiafrika nitafanya kile ninachotaka mimi tu. Ilimradi simdhuru mtu wala sivunji sheria za nchi basi hayo mengine kwangu ni upumbavu.
 
Mwanaume au mume kuwa juu haimanishi kuwa ni ticket ya kumuonea mke, au haimaanishi kuwa hakuna upendo, amani, n.k la hasha. Mwanaume kuwa juu maana yake ni kuwa mwanaume au mume awe kiongozi wa nyumba. Mnaweza sikilizana, heshimiana n.k sawa, lkn mwanaume nafasi yake ya yeye kuwa mtu wa mwisho kwenye maamuzi liwepo. Mbona hili hata kwenye vitabu vya dini lipo wazi na hata kiasili lipo hvy. Ndy maana sisi tunatoa mahali, tunawanunulia mashela kipindi Cha kufunga ndoa..... Yaani hii ni fact.

Binafsi siamini katika kumkandimiza au kumuonea KE, hapana, Naamini katika kuridhiana, kuheshimiana, kuvumiliana, n.k! Lkn pia Naamini ya kuwa mwanaume ndy kiongozi wa familia.

Huwezi wewe mke, ukamkaribisha rafiki yako/zako uliesoma nae shule bila ya kunipa Mimi taarifa. Au hauwezi wewe kwenda kwa mfano kuchora tatoo mwili wako bila ya kunipa Mimi mumeo taarifa hata Kama ni mwili wako.
Acha kutumia vitabu vya dini kufanya justification za kipumbavu Mara juu, Mara Kati Mara kichwa, mbona kila kiumbe kina kichwa. Msitumie vitabu kuhalalisha upuuzi na ukandamizaji wenu, wakati inajulikana kabisa.
Eti lazima niwe wa mwisho kwa wanaume Hawa Hawa wasiofikiria kesho mhhhhh.

Sipendi ntu kuingiza dini kuhalilisha utopolo Mimi na ukondoo flani.
 
Na nitashangaa mwanamke anayekatazwa kufanya maendeleo kisa mwanaume kuwa kichwa sijui mguu, nawapenda wanaume wa ukoo wetu very supportive kwa mwanamke huwa nawashangaa wanaume wa humu wanaoshadadia ukandamizaji kwenye forum hii. Sijui wametoka sayari gani.
Yaani siyo siri JF nimekutana na wanaume wa ajabu sijapata kuona. Wanaume wa humu wanaweza kukufanya hata uwaunge mkono wazungu kwa kutubagua waafrika.
 
bila shaka utakuwa muathirika kwenye haya mambo ya mahusiano
kwahyo uiyeanzisha Uzi umeathirika na mahusiano, eeeh sijaathitika na lolote sema tumetofautiana ufikiri na sijui kwanini wanaume wa humu mkishindwa hoja huingiza vitabu vya dini, Mara utakuja single mother, Malaya. Jifunzeni kutofautiana, wewe unawaza hayo vile uliona mamako akiwa victim, so kila mtu ame grow differently, na haamini kwenye kukandamiza wengine.
 
Acha kutumia vitabu vya dini kufanya justification za kipumbavu Mara juu, Mara Kati Mara kichwa, mbona kila kiumbe kina kichwa. Msitumie vitabu kuhalalisha upuuzi na ukandamizaji wenu, wakati inajulikana kabisa.
Eti lazima niwe wa mwisho kwa wanaume Hawa Hawa wasiofikiria kesho mhhhhh.

Sipendi ntu kuingiza dini kuhalilisha utopolo Mimi na ukondoo flani.
aina ya wanawake km nyinyi huwa ni wagumu, viburi na hamna heshima kwa wanaume zenu. mnapenda kushindana.
 
Nakazia hapo kwa mababu tena walikuwa wajinga haswa si kidogo. Eti mtu anafuatisha tamaduni za mababu ambao walijiwekea sheria kwa kujipendelea wao wenyewe na kuwabebesha mizigo wanawake sababu tu hawakuwa na sauti ya kujitetea wala kukataa.

Mimi nilishasema sitakaa nifuate tamaduni za kiafrika nitafanya kile ninachotaka mimi tu. Ilimradi simdhuru mtu wala sivunji sheria za nchi basi hayo mengine kwangu ni upumbavu.
Na mababu walifanya hvo ili wajipatie favor eti Kuna vitu wao ruksa kwa mwanamke mwiko.
Na zamani ndoa zilidumu vile watu walikuwa waishi sehemu moja, kijijini, kuonewa mwanamke ilikuwa sawa, na vile wanawake hawakuwa na uchumi ilibidi wabaki, Ila sikuhizi Nani anafanya hyo kitu kuvumilia mateso eti ndo heshima, Tena huko tuendako wanaume wajipange na uonevu wao watasingizia wazungu, Mara ushetani, blah blah kujihalalishia ushenzi wao.
Na bado watasimamia na kusingizia 50/50 imeharibu hawaoni wao makosa yao.
Hawa wanaume wa Africa lazima wabadilike watoke gizani bila hivo watataathirika kisaikolojia
 
Hakunaga formula ya kusolve problems ndani ya ndoa. Jambo unaloliona wewe ni kosa mwingine analiona ni la kawaida tu. Cha kufanya endesha ndoa yako kulingana na matakwa yenu mkizingatia ndoa ni kipande cha mwisho cha maisha yenu hivyo mnatakiwa muishi kwa raha na amani. Make sure mwenzio anaelewa hilo na anaelewa nini afanye au ufanyiwe. Usisite kuongea nae mara kwa mara kwa lengo la kudumisha amani na furaha yenu. ajue unapenda nini na anapenda nini.
 
aina ya wanawake km nyinyi huwa ni wagumu, viburi na hamna heshima kwa wanaume zenu. mnapenda kushindana.
Sio kushindana utapewa ukweli wako bila kujali jinsia yako Mimi na amini wote tuko sawa kilichotofautisha ni vikojoleo tu the rest tuko sawa. Kikubwa kuheshimiana
 
Na mababu walifanya hvo ili wajipatie favor eti Kuna vitu wao ruksa kwa mwanamke mwiko.
Na zamani ndoa zilidumu vile watu walikuwa waishi sehemu moja, kijijini, kuonewa mwanamke ilikuwa sawa, na vile wanawake hawakuwa na uchumi ilibidi wabaki, Ila sikuhizi Nani anafanya hyo kitu kuvumilia mateso eti ndo heshima, Tena huko tuendako wanaume wajipange na uonevu wao watasingizia wazungu, Mara ushetani, blah blah kujihalalishia ushenzi wao.
Na bado watasimamia na kusingizia 50/50 imeharibu hawaoni wao makosa yao.
Hawa wanaume wa Africa lazima wabadilike watoke gizani bila hivo watataathirika kisaikolojia
Mkuu samahani, hv umeolewa? au una experience yyt ya ndoa?
 
Yaani siyo siri JF nimekutana na wanaume wa ajabu sijapata kuona. Wanaume wa humu wanaweza kukufanya hata uwaunge mkono wazungu kwa kutubagua waafrika.
Yani wako hovyo hawataki kuelimika wallah kuwa wastaarabu na kuwaheshimu wengine. Wazungu wamestaarabika mno hzo tabia za uonevu walishaziacha mda Ila huku kwetu tunawaona hamnazo
 
Na nitashangaa mwanamke anayekatazwa kufanya maendeleo kisa mwanaume kuwa kichwa sijui mguu, nawapenda wanaume wa ukoo wetu very supportive kwa mwanamke huwa nawashangaa wanaume wa humu wanaoshadadia ukandamizaji kwenye forum hii. Sijui wametoka sayari gani.
bila shaka wewe ni victim.
mwanaume huwa halinganishwi. sijui mwanaume wa ukoo wenu sijui wazungu wanafanya hv au vile au kwanini hatuishi km watu fulani na nk. hiyo ndiyo inaitwa external force ya mwanamke yaani mwanamke kutumia hisia zaidi kuliko akili. mwanaume anaongozwa na internal forces (kutumia akili zaidi kuliko hisia) so kumuingilia ktk maamuzi na mipango yake ni kumvuruga kimkakati.
 
Back
Top Bottom