Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,112
- 124,675
Huu uzi haunihusu, ila mbona mtoa mada umeegemea upande mmoja? Umeandika kama vile ndoa ikishakuwa kongwe mwanaume ndio huwa victim? Je hakuna makosa ambayo wanaume wanayafanya pindi ndoa inapofikia stage hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app