Maalumu kwa wanaume wanandoa

Maalumu kwa wanaume wanandoa

Yani na ukidate na mwanaume wa hivi kupata maendeleo ni tabu Sana, wamekaa kuwaza negative kusingizia 50/50 Kama excuse ya Mambo, kuna wanaume waelewa na wanaishi na wenzi wao vizuri bila shida na Mambo yanaenda, ukikutana na walioaminishwa kuwa mwanaume lazima umtese mkeo, usimusikilize umdunde utashangaa Sana
Ni shida kwa kweli. Hao ndiyo wanaume wetu ambao wanalilia kuwa viongozi na vichwa vya familia mimi kuliko kuongozwa na mwanaume wa aina hiyo bora niongozwe hata na mnyama tu.
 
Wewe kwenye ndoa una amini Nini? Nafasi ya mwanamke na mwanaume ili ndoa iwe imara ni Nini?

Kwako mume unamuweka ktk nafasi gani, in relation ya asili ya mwanamke na mwanaume?
Itategemea na aina ya mwanaume niliye naye. Siyo kila mwanaume anastahili heshima ya mwanamke maana uanaume siyo tu kuwa na uume pekee ndiyo ujione kuwa eti wewe tayari ni mwanaume.

Manhood comes with a lot of responsibilities
 
A very long way kwa kweli. Mie huwa nasema aliyewaroga baadhi ya wanaume wa kiafrika hana huruma kabisa yaani karoga kwa asilimia zote katuachia magarasa hajataka kuwabakishia akili japo kidogo tu.

Mimi bora niitwe feminist ila siwezi kuolewa au kuishi na mwanaume mnyanyasaji katu. Heri nibaki single maisha yangu yote.
Natamanigi tu wanaume wangekuwa ka baba yangu ni very understanding hata wababa wadogo hawana hizi Mambo za ukandamizaji sijui Mimi mwanaume na vile Sasa ukikutana na Hawa kwa jamii yetu una choka mwili na roho, kwanza anakuwa anakunyanyasa ile fear yake anakuwa ana ku undermine, ili yeye ajione ndo mwanaume very exhausting, kuliko kuishi na mwanaume design hyo Bora uwe single maana ufikiri umetofautiana
 
Wewe umeolewa?
Natamanigi tu wanaume wangekuwa ka baba yangu ni very understanding hata wababa wadogo hawana hizi Mambo za ukandamizaji sijui Mimi mwanaume na vile Sasa ukikutana na Hawa kwa jamii yetu una choka mwili na roho, kwanza anakuwa anakunyanyasa ile fear yake anakuwa ana ku undermine, ili yeye ajione ndo mwanaume very exhausting, kuliko kuishi na mwanaume design hyo Bora uwe single maana ufikiri umetofautiana
 
Natamanigi tu wanaume wangekuwa ka baba yangu ni very understanding hata wababa wadogo hawana hizi Mambo za ukandamizaji sijui Mimi mwanaume na vile Sasa ukikutana na Hawa kwa jamii yetu una choka mwili na roho, kwanza anakuwa anakunyanyasa ile fear yake anakuwa ana ku undermine, ili yeye ajione ndo mwanaume very exhausting, kuliko kuishi na mwanaume design hyo Bora uwe single maana ufikiri umetofautiana
Maelezo yako tu yanaonesha upo in ur early 20s, u have a lot of expectations on marriage issues. Hauko realistic, u have a lot of illusions in ur mind.

Subiri umri usogee kwanza, Kisha ndy utaelewa tunachozunhumza hapa.
 
Sio kushindana utapewa ukweli wako bila kujali jinsia yako Mimi na amini wote tuko sawa kilichotofautisha ni vikojoleo tu the rest tuko sawa. Kikubwa kuheshimiana

Feminist huyu, na sina imani hata kama ameolewa..! Kiukweli, Ndoa ni Taasis iliyochini ya Mwenyezi Mungu..! Kama iko chini ya mwenyezi Munu, basi heshima, upendo na kuaminiana na sio kumpiga.. Hayo ni sehemu muhimu ili ndoa iweze kudumu. Pamoja na hayo, Kila mmoja ni muhimu sana kujua nafasi yake katika ndoa hiyo. Mume afanye sehemu na mke naye sehemu yake huku mkiheshimiana, pendana, kuaminiana na kuwa Marafiki na Kuwa wawazi. Kufanya hayo kunaweza kudumisha ndoa ila sio hayo mawazo yako yaliyojaa harakati na ushindani kwenye ndoa.
 
True, true!
Feminist huyu, na sina imani hata kama ameolewa..! Kiukweli, Ndoa ni Taasis iliyochini ya Mwenyezi Mungu..! Kama iko chini ya mwenyezi Munu, basi heshima, upendo na kuaminiana na sio kumpiga.. Hayo ni sehemu muhimu ili ndoa iweze kudumu. Pamoja na hayo, Kila mmoja ni muhimu sana kujua nafasi yake katika ndoa hiyo. Mume afanye sehemu na mke naye sehemu yake huku mkiheshimiana, pendana, kuaminiana na kuwa Marafiki na Kuwa wawazi. Kufanya hayo kunaweza kudumisha ndoa ila sio hayo mawazo yako yaliyojaa harakati na ushindani kwenye ndoa.
 
Feminist huyu, na sina imani hata kama ameolewa..! Kiukweli, Ndoa ni Taasis iliyochini ya Mwenyezi Mungu..! Kama iko chini ya mwenyezi Munu, basi heshima, upendo na kuaminiana na sio kumpiga.. Hayo ni sehemu muhimu ili ndoa iweze kudumu. Pamoja na hayo, Kila mmoja ni muhimu sana kujua nafasi yake katika ndoa hiyo. Mume afanye sehemu na mke naye sehemu yake huku mkiheshimiana, pendana, kuaminiana na kuwa Marafiki na Kuwa wawazi. Kufanya hayo kunaweza kudumisha ndoa ila sio hayo mawazo yako yaliyojaa harakati na ushindani kwenye ndoa.
Unajua maana ya Feminist kwanza au na wewe ni wale wale walio aminishwa Beijing bila kujua undani wake. Hebu Soma kitabu Cha Chimamanda Ngozie uelewe maana ya hyo Feminist kiundani.
Hafu Mimi sioni shida kusimamia ninachokiamini na kinachonipa furaha hata dunia nzima ikiwa against me I don't care as long nime fulfil purpose yangu la life I'm happy.
Kwa kweli siachi kusimamia ninachoamini ndoa zimewashinda wasio ma feminist sembuse mie na misimamo yangu.
 
Maelezo yako tu yanaonesha upo in ur early 20s, u have a lot of expectations on marriage issues. Hauko realistic, u have a lot of illusions in ur mind.

Subiri umri usogee kwanza, Kisha ndy utaelewa tunachozunhumza hapa.
Kwanza hata hyo marriage siiamini Mana ni taasisi inayoomgoza kwa unafiki na machungu ya watu wengi bila kujali jinsia, watu wajidai wako kwa marriage wanaongoza kwa umalaya kuliko single si Bora waache unafiki, daily huku twaona nyuzi hasa wanaume mnalalamika Sasa huo si unafiki jamani
 
Ndio nimeolewa nakaribia menopause
Unasema umeolewa, Mara hauamini katika ndoa, which one we should pick, anyway what I learnt ni kwamba, bado hujajua ndoa ni Nini, ndy maana you have a lot of negativity khs ndoa,. Yes, unaweza ukaolewa lkn usiwe mwanandoa.....!!!

Just because you ruined ur marriage for whatever reason, it doesn't mean kwamba ndoa si kitu chema.
 
Unasema umeolewa, Mara hauamini katika ndoa, which one we should pick, anyway what I learnt ni kwamba, bado hujajua ndoa ni Nini, ndy maana you have a lot of negativity khs ndoa,. Yes, unaweza ukaolewa lkn usiwe mwanandoa.....!!!

Just because you ruined ur marriage for whatever reason, it doesn't mean kwamba ndoa si kitu chema.
Hakunaga mwalimu wa ndoa dunia hayupo kabisa na Sina negativity yoyote but huo ni ukweli unafiki mwingi Sana kuliko uhalisia wenyewe
 
Umesema hauamini kwenye marriage/ndoa...hii tayari ni negativity, na kwasababu hauamini inamaana haupo kwenye ndoa, na kwasababu haupo, hauijui kiuundani ndoa....hvy hii inakunyima moja kwa moja uhalali wa kutochangia au kutoa maoni. Sababu huwezi toa maoni kwa kitu usichokijua.
Hakunaga mwalimu wa ndoa dunia hayupo kabisa na Sina negativity yoyote but huo ni ukweli unafiki mwingi Sana kuliko uhalisia wenyewe
Kwanza hata hyo marriage siiamini Mana ni taasisi inayoomgoza kwa unafiki na machungu ya watu wengi bila kujali jinsia, watu wajidai wako kwa marriage wanaongoza kwa umalaya kuliko single si Bora waache unafiki, daily huku twaona nyuzi hasa wanaume mnalalamika Sasa huo si unafiki jamani
 
Habari wanajamvini, ni matumaini yangu mnaendelea vyema na majukumu yenu.

Embu twende moja kwa moja kwenye hoja, hivi wewe Kama mume ndani ya nyumba yako, pindi mwenzako anapofanya tukio la kukukera, linaweza kuwa kubwa sana au la kawaida, lkn ikabaki kuwa amekwazika sana na alichofanya. Je huwa unatumia njia gani kutatua?

Ni wazi na ukweli usiopingika kuwa kila ndoa ina changamoto yake, kitendo cha kukaa au kuishi nyumba moja na mke kwa muda mrefu, huleta hali fln hv ya kuchokana au kuonana wa kawaida, na hadi kuepelekea wanawake wengine kutotimiza majukumu yao ya ki ndoa na kimahusiano Kama ilivyokuwa awali. Ni ngumu sana kuwa na muendelezo wa mapenzi au uhusiano imara kwa wana ndoa kwa muda mrefu, hata kama kuna vitu mtakuwa mnavifanya ili kurutubisha mapenzi au ndoa yenu, bado kuna mmj wenu au wote atakuwa mnafiki, na hupelekea kusababisha kutokea kwa makosa kadhaa kwenye ndoa au mahusiano.

Mfano wa makosa hayo yanaweza kutokea Ni Kama dharau toka kwa mke, kuchepuka, kutokuthamini mume ( mke hafanyi tena mmb kwa ajili ya mume), kujibishana na mume, n.k, hali zote hizi husababisha hasira isiyoelezeka, ikifikia hatua hii ndipo kila mwanaume huwa na njia yake ya ku "deal" na changamoto hy.

SWALI:
Wewe huwa unafanyaje Kati ya haya?

Unampiga mwanamke kutuliza hasira na hujishughulishi ku sort tatizo?

Unakaa chini na kujadiliana nae?

Unauchuna tu?

Unamfukuza arudi kwao?

Unalipa kisasi?

Unatafuta watu wa kuwasuluhisha, Kama wazazi, mshenga, viongozi wa dini, Wana familia n.k?

Je unaamini katika kupiga mwanamke ndy suluhisho au ndy kuongeza petrol ktk moto? Kama hupigi nini huwa unafanya ku prove ur point?

Embu funguka .
Umeharibu kwenye multiple choices.
 
Umesema hauamini kwenye marriage/ndoa...hii tayari ni negativity, na kwasababu hauamini inamaana haupo kwenye ndoa, na kwasababu haupo, hauijui kiuundani ndoa....hvy hii inakunyima moja kwa moja uhalali wa kutochangia au kutoa maoni. Sababu huwezi toa maoni kwa kitu usichokijua.
Yani wewe unapangia na kunyima watu Cha kuchangia wewe ni dictator eeh. Kutokuwa au kuwepo kwenye Jambo haimaanishi hujui Jambo lolote
 
A very long way kwa kweli. Mie huwa nasema aliyewaroga baadhi ya wanaume wa kiafrika hana huruma kabisa yaani karoga kwa asilimia zote katuachia magarasa hajataka kuwabakishia akili japo kidogo tu.

Mimi bora niitwe feminist ila siwezi kuolewa au kuishi na mwanaume mnyanyasaji katu. Heri nibaki single maisha yangu yote.
Samahani mkuu hvi Ni unyanyasaji aina gan mnoouongelea hapa yaan ile kua chini ya mwanaume tayari ndo unyanyasaji au mnaongelea unyanyasaji wa aina gani
 
Sasa makazini wanasemaga uwe na experience ya miaka 3,5,...... Ya kazi gani?
Yani wewe unapangia na kunyima watu Cha kuchangia wewe ni dictator eeh. Kutokuwa au kuwepo kwenye Jambo haimaanishi hujui Jambo lolote
 
Msingi mkuu wa yote hayo ni kosa la kuchagua mke. Kuna mahali nilisema mke wa ndoa anapaswa kutambua kuwa ndoa sio uwekezaji wa 50/50. Ili ndoa idumu ni LAZIMA kuwe na clear line kati ya mke na mume, kwamba ni nani mwenye ndoa!!

Sasa kwa ndoa za kisasa ambapo mwanamke na mwanamke wana hisa sawa mwenye ndoa, inahitaji mke mwenye busara na malezi bora mno. Wengi wanaingia wakiwa na mtazamo wa kiuanaharakati ndani ya ndoa ndio products za kina Kiria hizo.

Nikisema mume awe mume namaanisha kwamba mke anatakiwa atambue wazi kuwa maisha yake yanategemea ndoa, kwamba bila ndoa basi dunia kwake ni chungu. Kama ukioa mke ambaye ana mtazamo wa kuwa ukiona sifai nirudishe kwetu, basi jua hukupata mke bali mwanamke. Siku hizi kuna ujinga fulani umetamalaki, kwenye send off ni kawaida kusikia wazazi wa mwanamke wakisema binti huyu hajafukuzwa kwao, hivyo ukiona kakushinda mrudishe kwa amani. Ukisikia kauli kama hiyo jua mwwnamke huyo atabaki na connection na watu wa kwao na atakusumbua kweli.

Nikija kwenyebswali lako, mke akuleta hayo wala hakuna haja ya kuita vikao, MWONYE. Wewe ni mume, umetoa mahali kujenga mji wako sio wenu. Akikusikia umepata mke, la hajakusikia basi jua iko sauti anayoisikiliza huko nje, yaweza kuwa kidume au mashoti zake. Hapo sasa kama atakuwa anarudia na kuleta dharau na kiburi KUWA MWANAMUME. Mrudishe kwao akapumzike kwanza, hilo litamshitua mno kama no mke anayestahili ndoa, tena hawezi kucheza na mambo yako ya msingi.

Mwanamke ukimruhusu akudharau basi jiandae kwa maumivu makubwa zaidi. Lazima ajue kuna mahali umechora mstari na kwamba hatothubutu kuuvuka. Akishajua hilo atakyheshimu na ataogopa kukuletea ujinga. Lakini kunbuka wewe pia unapaswa kuwa mume mwenye kujitambua.
Agiza kinywaji ulipo bro......
 
Back
Top Bottom