Let Zanzibar GO
Napenda kutoa onyo kwa Wazanzibari wote. Zanzibar ipo kwa sababu ya Muungano, nje ya Muungano kuna Upemba na Unguja.(Nukuu ya Mwalimu). Mtambue kwamba Muungano ukishavunjika Waarabu watakuja kuchukua koloni lao na wote mtaolewa kwani kila kitu mtapewa na waarabu na baada ya miaka kama 20 nchi itageuka ya kiarabu. Na hii itafanyika baada ya kuhasi(castrate) wanaume wote. Kumbuka enzi ya utumwa wanaume waliopelekwa uarabuni walihasiwa. Huo ni ushauri wa bure. Msichezee Muungano ndio unaowalinda mtakuja kujuta.
Tatizo la ZNZ si uwepo wa Tanganyika ni Zanzibar huru!Nikiwaambia waTanganyika Nyerere aliwadanganya sana na alisimamia kidete kuhakikisha HAMUWEZI KABISA KUUNDA Serikali ya TANGANYIKA pamoja na Znz kuwasaidia sana kuwaombea Serikali Hiyo katika mjadala wa kwanza kuhusu Muungano wenu.
Waarabu tuna usemi " NI RAHISI SANA KUWADANGANYA WATU, LAKIN NI VIGUMU SANA KUWAAMBIA KUWA MUMEDANGANYWA''
Lakin ukweli unasimama kuwa NYERERE aliwadanganya waTanganyika kuwa Serikali na utaifa wao sio Muhimu ndani ya muungano wenu.Poleni sana WaDanganyika.
By BarubaruWaarabu tuna usemi " NI RAHISI SANA KUWADANGANYA WATU, LAKIN NI VIGUMU SANA KUWAAMBIA KUWA MUMEDANGANYWA''![]()
Lakin ukweli unasimama kuwa NYERERE aliwadanganya waTanganyika kuwa Serikali na utaifa wao sio Muhimu ndani ya muungano wenu.Poleni sana WaDanganyika