Maalim Seif: Tunataka Zanzibar yetu!

Maalim Seif: Tunataka Zanzibar yetu!

Siku itafika Muungano utavunjika tu, sio kwasababu ya Maalim Seif bali wazanzibari walio wengi wamechoshwa na usanii wenu. Maalim Seif ni mtu mmoja, akiwepo asiwepo harakati za ukombozi zitaendelea mpaka kieleweke.

Kasumba za Nyerere ndio zinawasumbua...
Sasa kinachoshindikana nini vunjeni hata kesho...tena sasa rahisi kweli maana serikalini smz mpo nusu kwa nusu....vunjeni hata sasa unajua mnashangaza sana... muungano wa mkataba wa kazi gani
 
Kwa namna moja au nyengine nchi zinategemeana, mataifa yanategemeana . Tatizo mamlaka (MAAMUZI) ya Zanzibar , tunataka yaamliwe na waZNZ wenyewe na sio vingunge kutoka Tanganyika.
kwa hiyo muungano usivunjwe
 
Zanzibar ilikuwa nchi huru ilipoingia kwenye muungano lakin saiv mamlaka yote yamemezwa na zimwi muungano. Pia naomba muelewe wazanzibar hatujasema kama tunataka kuvunja muungano bali mfumo huu wa muungano wa kikatiba hatuwebu kwasababu muungano wa kikatiba unafaa kwa taifa moja na sio serikali mbili kma saiv. Lakini suluhisho pekee la muungano wetu kila nchi iwe huru halafu pawe na ki2 cha tatu ambacho ni muungano wa kukatibiana(shirikisho).
 
Pia muelewe wazanzibar sasa hivi tuko kitu kimoja katika kuikomboa nchi yetu ingawa kuna watu wachache wanataka tuendelee kunyanyasika lakini hawawezi kupambana na wimbi la mabadiliko.
 
Tatizo hapa ni ubinafsi! wazanzibari wanafikiri wanaibiwa, hivi tujiulize kuna nini cha kuiba zanzibar? na huu ubinafsi utawamaliza hata mkipata dola kamili, wataibuka wapemba na waunguja! fikirini, kama hamjui kufikiri jifunzeni kufikiri.
 
Zanzibar tumeamua kuwacha tofauti za vyama vyetu na kuwa kitu kimoja, wengi wenu mumekuwa mukisema kama cuf ni ccm b,hilo co kweli. Kama mutakumbuka miaka ya nyuma wazanzibar ilikuwa tunauwana,tunagombana na kususiana na kuwa maadui sie wenyewe kwa wenyewe sasa kwa hali kama hii wazanzibar kwa kauli moja tukasema vita basi hakuna haja ya kugombana wakati sote ni ndugu. Na maridhiano haya co ya cuf na ccm kama wengi wa watanzania munavyodhani,haya maridhiano ni ya wazanzibar coz ndio tuliopiga kura ya maoni ya 65 kuuridhia mfumo huu. Na mfumo huu chama chochote kikipata asilimia zilizowekwa basi katik serikali ya umoja wa kitaifa kitaingia. Mfano chadema wafike asilimia zilizowekwa basi na wao watatoa mawazir na manaibu kama cuf na ccm. Ikumbukwe maridhiano haya ni baada ya mapigano ya wenyewe kwa wenye na co maridhiano ya cuf na ccm ni maridhiano ya wazanzibar ingawa kuna 35%walikataa maridhiano haya.Na hawa waliokataa ndio hawa wanaotusumbua sasa hivi katika kuitetea nchi yetu kwa sababu baadhi yao wamo madarakani mfano(makamo wa pili wa rais seif ali idi.). Mwisho watanzania musiwe na chuki na wazanzibar fuatilieni kwa kina hoja zao ni kwanini wameunda serikali ya umoja wa kitaifa? Na why wanataka mamlaka kamili ya zanzibar kitaifa na kimataifa halafu kuwepo kwa mashirikiano mema na tanganyika kupitia muungano wa mkataba?.
 
The Zanzibar First Vice President, Mr Seif Sharif Hamad, has declared that he is not in favour of the current structure of Union between Tanganyika and the Isles.In his first major public statement on the Union structure, Mr Hamad told a rally in Pemba over the weekend that he wants to see an autonomous Zanzibar establish contractual tiers with Tanzania Mainland.

“I do not want to beat around the bush in this matter, I want to declare that I am for a fully autonomous Zanzibar with national and international powers which should then freely enter into contractual agreement with Tanganyika and establish treaty-based union,” he told a rally organised by Civic United Front (CUF) in Pemba. Mr Hamad also doubles as CUF secretary general. He further argued:

“I personally believe that a treaty-based Union will be the panacea to the economic problems facing Zanzibar,” Mr Hamad told a rally at the Mchanga Mdogo grounds in Wete District, Pemba.In order to ensure that this dream is realised, Mr Hamad urged people in North Pemba Region to come out in big numbers to air their views and categorically demand for a treaty-based Union before the Constitutional Review Commission (CRC) started its work yesterday.

He noted that for the past 48 years, there had been 26 commissions and more than 100 meetings organised by the Attorney General’s Chambers in efforts to resolve Union queries but all that, he claimed, had been in vain.
“If anything, the Union problems have been escalating. This makes me believe the only solution is to go to the basics... it is the structure of the Union which is the problem,” he insisted.
 
Jamani musipotoshe umma,sisi wazanzibar sio wabinafsi bali nyinyi tanganyika munatudhulumu ndio maana tunataka kupumua. Kabla ya kuwepo muungano znz ilikuwa ni taifa huru lenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa lakini baada ya muungano znz ilipoteza mamlaka yake yote na tanganyika kubaki kuwa huru na mamlaka yake kwasababu serikali ya tanganyika ndio hiyo hiyo ya muungano. Serikali ya muungano inashughulikia mambo ya muungano na tanganyika.
 
hahahahaaaa.............issue nyingine ni vichekesho tu.......unataka kuwa huru lakini unataka kuendelea kujishikiza kama kupe......eti MKATABA...my foot.

Unadai uhuru majukwaani na kwenye Mitandao.......si wana BLW? si wapeleke hoja? mbona hawaongelei kwenye vikao husika........!!!

Maalimu na genge lako ni hovyo kabisa......!!
 
Jamani musipotoshe umma,sisi wazanzibar sio wabinafsi bali nyinyi tanganyika munatudhulumu ndio maana tunataka kupumua. Kabla ya kuwepo muungano znz ilikuwa ni taifa huru lenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa lakini baada ya muungano znz ilipoteza mamlaka yake yote na tanganyika kubaki kuwa huru na mamlaka yake kwasababu serikali ya tanganyika ndio hiyo hiyo ya muungano. Serikali ya muungano inashughulikia mambo ya muungano na tanganyika.
Vunjeni basi Muungano........who cares.!!!
Mnaongelea vijiweni tu.......
Muungano ni jinamizi la CCM la kuendelea kutawala milele.....Znz is beneficial to CCM........Vunjeni muungano, rudisheni Znz yenu na Vyama vyenu....sio mnavunja Muungano na mnabaki na CCM.....msiwe kama chura, anajifanya anapiga kelele kumbe anaita dume lije kumshughulikia.
 
Sichukii Seif kusema hivyo ila namuona MNAFIKI sababu kama yeye anataka Zanzibar kamili ARUSHA ANAFATA NINI?? BARA ANAFATA NN si akae Zanzibar afanye mikutano yake akitoka Unguja aende Pemba unajua kuna Maalim kaishiwa SERA NAMANISHA CUF(UHAMSHO) hawana sera za kuiteka Zanzibar kutoka kwenye CCM ndomana hawana cha kusema zaidi ya MUUNGANO CUF wamekosa cha kuwaambia Wananchi Zanzibar wanakazi zanzibar ikiwa nje ya MUUNGANO ITAKUWA NA MAENDELEO hapo hapo SEIF anasema MUUNGANO WA MKATABA KISHA ANASEMA MUUNGANO WA SERIKALI 3 UTAGUNDUA kuwa Muungano wanautaka lakin nasema Wabongo hatuna shida na MUUNGANO RASIMALI TUNAZO ARDHI TUNAYO...MADINI TUNAYO,MAFUTA TUNAYO TENA KILA MKOA WA BARA UNAMADINI EWE MZANZIBAR BARA HATUISHI SABABU YAKO WW

HIKI NI KILIO CHA WAPEMBA
Wapemba wanaona Muungano unawanufaisha UNGUJA kuliko waao na 7bu Unguja iko juu kuliko Pemba kwa uzuri wa Majengo mpaka wingi wa WATU NA maendeleo kiujumla lakini kuna mambo ypo nature UNGUJA ILIVYOUMBWA NA muumbaji na ZANZIBAR IPO UNGUJA RAIS yupo UNGUJA baraza la Wawakilishi lipo UNGUJA KILA kitu UNGUJA wapemba wanamini NJE YA MUUNGANO wataweza kuitawala Unguja na nafasi nyingi kushika wao na kuweza kuleta mahusino mazuri na Warabu lakini Mfalme wa OMAN kipindi cha vurugu za UHAMSHO akasema kuwa ZNZ isitegemee OMAN kwani hatousika na chochote na znz mambo ya Ukoloni yalkuwa zamani na sasa itajitegemea yenyewe mpo jaman...90% CUR(UHAMSHO) NI WAPEMBA wanayachukia sana MAPINDUZI 1964 kwani walipinduliwa wao so wanauchungu na kuitawala UNGUJA na WATU WA UNGUJA wanajua hilo ndomana Uhamsho walpofanya Tasmini ya wanaotaka na wasiotaka MUUNGANO walishangaa kuona wanaotaka ni wengi kuliko wasiotaka swali Inamaana kelele zile HATUTAKI MUUNGANO WALIKUWA WANATUPAKA MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA uhamsho walfanya wenyewe na wakatulia wenyewe

CUF (UHAMSHO) DHIDI YA CCM

CUF wamejitahidi kutaka Urais lakini wameshindwa na wamemaliza SERA visiwani wakaamua kuanzisha JUMUIYA YA WASIASA NA MIHADHARA YA KISLAM nmeita hivi sababu ni Nyuma ya pazia na huu ndo ukweli CUF wakaunda chombo kingne lakini pia wanachemka CUF wakaona wakifanikiwa kuitoa CCM kwa njia ya VURUGU ZANZIBAR basi watafanikiwa kuitawala Zanzibar lakini mbio zao zinangonga mwamba SEIF hana sera nasema na MNAFIKI DHAIRI KAMA KWELI HAUTAKI MUUNGANO ASIKUBALI KUWA KATIKA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA CHINI YA CCM MBONA ANAKAA SEIF NI MTAPA TAPA NA MAJI ALISHWAMBIA WANANCHI YEYE AKINGIA MADARAKANI BASI MAPEMBE BASI NA KAINGIA MADARAKANI NA BADO ZANZIBAR TUNAKULA MCHELE WA MAPEMBE UTAGUNDUA SEIF ANAUCHU NA MADARAKA NA WATU WASHAMCHOKA HANA JIPYA CUF WASIMAMISHE JEMBE LINGINE
 
He knows that Zanzibar can not survive for long without the mainland. They call us all kinds of demonic names, the worst of all they call us "colonialist". One should wonder why would the oppressed want full independence and after that quickly get into pacts, contracts and agreements with their former "colonial masters"!! They dont want to admit this, but they know that out of the union they wont survive for long.
 
Muungano wa tanzania ni muungano wa zanz na tanganyika. Zote hizo zilikuwa ni nchi huru.Muungano tanzania uliridhiwa na bunge la tanyanyika na ukatungiwa sheria za kuukubaliwa muungano huu.Lakini kwa upande wa zanzibar hakuna uthibitisho mpaka hii leo kwamba baraza la mapinduzi waliuunga mkono na kuuridhia. Pia hati ya muungano mpaka hii leo haiyonekani. Pia mambo waliyokubaliana kati ya karume na nyerere kushirikiana yalikuwa 11 lakin leo serikali ya muungano wameyaongeza hadi kufikia 44 kitu ambacho ktika makubaliano yetu ilikuwa siruhusa kuongeza ki2 katika mkataba hule.Tena ubaya wake mambo yote hayo 44 wameyaongeza watanganyika kwasababu mambo haya yanapitishwa na bunge hata kama waznz wabunge wote wakatae kuengeza kitu katika muungano basi kitapita coz wapo kidogo bungeni.Znz hakuna ki2 hata kimoja walichopendekeza wakakubaliwa.
 
Muungano wa tanzania ni muungano wa zanz na tanganyika. Zote hizo zilikuwa ni nchi huru.Muungano tanzania uliridhiwa na bunge la tanyanyika na ukatungiwa sheria za kuukubaliwa muungano huu.Lakini kwa upande wa zanzibar hakuna uthibitisho mpaka hii leo kwamba baraza la mapinduzi waliuunga mkono na kuuridhia. Pia hati ya muungano mpaka hii leo haiyonekani. Pia mambo waliyokubaliana kati ya karume na nyerere kushirikiana yalikuwa 11 lakin leo serikali ya muungano wameyaongeza hadi kufikia 44 kitu ambacho ktika makubaliano yetu ilikuwa siruhusa kuongeza ki2 katika mkataba hule.Tena ubaya wake mambo yote hayo 44 wameyaongeza watanganyika kwasababu mambo haya yanapitishwa na bunge hata kama waznz wabunge wote wakatae kuengeza kitu katika muungano basi kitapita coz wapo kidogo bungeni.Znz hakuna ki2 hata kimoja walichopendekeza wakakubaliwa.
 
Sichukii Seif kusema hivyo ila namuona MNAFIKI sababu kama yeye anataka Zanzibar kamili ARUSHA ANAFATA NINI?? BARA ANAFATA NN si akae Zanzibar afanye mikutano yake akitoka Unguja aende Pemba unajua kuna Maalim kaishiwa SERA NAMANISHA CUF(UHAMSHO) hawana sera za kuiteka Zanzibar kutoka kwenye CCM ndomana hawana cha kusema zaidi ya MUUNGANO CUF wamekosa cha kuwaambia Wananchi Zanzibar wanakazi zanzibar ikiwa nje ya MUUNGANO ITAKUWA NA MAENDELEO hapo hapo SEIF anasema MUUNGANO WA MKATABA KISHA ANASEMA MUUNGANO WA SERIKALI 3 UTAGUNDUA kuwa Muungano wanautaka lakin nasema Wabongo hatuna shida na MUUNGANO RASIMALI TUNAZO ARDHI TUNAYO...MADINI TUNAYO,MAFUTA TUNAYO TENA KILA MKOA WA BARA UNAMADINI EWE MZANZIBAR BARA HATUISHI SABABU YAKO WW

HIKI NI KILIO CHA WAPEMBA
Wapemba wanaona Muungano unawanufaisha UNGUJA kuliko waao na 7bu Unguja iko juu kuliko Pemba kwa uzuri wa Majengo mpaka wingi wa WATU NA maendeleo kiujumla lakini kuna mambo ypo nature UNGUJA ILIVYOUMBWA NA muumbaji na ZANZIBAR IPO UNGUJA RAIS yupo UNGUJA baraza la Wawakilishi lipo UNGUJA KILA kitu UNGUJA wapemba wanamini NJE YA MUUNGANO wataweza kuitawala Unguja na nafasi nyingi kushika wao na kuweza kuleta mahusino mazuri na Warabu lakini Mfalme wa OMAN kipindi cha vurugu za UHAMSHO akasema kuwa ZNZ isitegemee OMAN kwani hatousika na chochote na znz mambo ya Ukoloni yalkuwa zamani na sasa itajitegemea yenyewe mpo jaman...90% CUR(UHAMSHO) NI WAPEMBA wanayachukia sana MAPINDUZI 1964 kwani walipinduliwa wao so wanauchungu na kuitawala UNGUJA na WATU WA UNGUJA wanajua hilo ndomana Uhamsho walpofanya Tasmini ya wanaotaka na wasiotaka MUUNGANO walishangaa kuona wanaotaka ni wengi kuliko wasiotaka swali Inamaana kelele zile HATUTAKI MUUNGANO WALIKUWA WANATUPAKA MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA uhamsho walfanya wenyewe na wakatulia wenyewe

CUF (UHAMSHO) DHIDI YA CCM

CUF wamejitahidi kutaka Urais lakini wameshindwa na wamemaliza SERA visiwani wakaamua kuanzisha JUMUIYA YA WASIASA NA MIHADHARA YA KISLAM nmeita hivi sababu ni Nyuma ya pazia na huu ndo ukweli CUF wakaunda chombo kingne lakini pia wanachemka CUF wakaona wakifanikiwa kuitoa CCM kwa njia ya VURUGU ZANZIBAR basi watafanikiwa kuitawala Zanzibar lakini mbio zao zinangonga mwamba SEIF hana sera nasema na MNAFIKI DHAIRI KAMA KWELI HAUTAKI MUUNGANO ASIKUBALI KUWA KATIKA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA CHINI YA CCM MBONA ANAKAA SEIF NI MTAPA TAPA NA MAJI ALISHWAMBIA WANANCHI YEYE AKINGIA MADARAKANI BASI MAPEMBE BASI NA KAINGIA MADARAKANI NA BADO ZANZIBAR TUNAKULA MCHELE WA MAPEMBE UTAGUNDUA SEIF ANAUCHU NA MADARAKA NA WATU WASHAMCHOKA HANA JIPYA CUF WASIMAMISHE JEMBE LINGINE

elimu ya maskani ndio hii ?? unaandika bila full stop, maneno hayafahamiki ,herufi kubwa zinachanganywa na ndogo.

Ningalikuomba uende ukajifundishe kuandika kwanza baadaye ndio uje tena JF.

Hapo maskani yenu anzisheni shule ndogo ya kujifundisha kusoma na kuandika , msipoteze muda wote kwenye siasa tu
 
Maalim Seif hana fursa ya kutoa haya maoni katika Tume ya Warioba inayotembelea nchi nzima kutunga Katiba Mpya? Au amesahau?

Msimamo wake unafanana na wangu kwa vile wakati umefika Tanganyika kuachana na huu Muungano. Tumewabeba Wazenji ya kutosha.

Wana-Uamsho wanaoponda ponda na kuchoma makanisa wakiwataka Wabara waondoke katika kanchi kao, wametuchosha na udini.

JMT ikivunjika, tutakuwa na amani na utengemano baina ya Watanganyika wa dini zote ili tuweze ku-concentrate ktk kujenga uchumi wa nchi yetu. Tuondokane na Wazanzibar.
 
Kero zetu katika muungano:kwanza muungano wenyewe umeshakuwa kero kwasababu hatujafaidika kitu baada ya hasara.Pili katika makubaliano ya muungano rais wa zanz ni makamo wa rais wa muungano lakin leo hii mumemdhulumu rais wetu na katika cabinet yeye anatambulika kama ni wazir asie na wizara. Tatu nyinyi munachimba madini na rasilimali kibao zote hamujaziingiza katika muungano munavuna peke yenu lakin sisi tuna mafuta mpaka hii leo mumeyazuia yasichimbwe mpaka na nyinyi mufaidike sasa hii haki ikiwa rasili mali zenu munakula nyinyi sisi hatupati lakin za kwetu tule pamoja. Nne mkuu wa majeshi anatokea kwenu,Mkuu wa polis(IGP).Msajili wa vyama,mkuu wa tume ya uchaguz,jaji mkuu,mwanasheria mkuu,GAVANA WA bot,mtakwimu mkuu,mkurugenzi wa sumatra,mkurugenz wa mashtaka,mkurugenz wa tanesco, mkuu TRA,mkuu POSTA,spika na naibu wa bunge,katibu wa bunge,pia tuna hisa 11% katika bot halafu katka muungano tunatakiwa mutupe 4.5% lakini hamutupi vile ipasavyo. hamutuachii kujiunga na taasisi hata ndogo ndogo. mkuu wa necta anatoka kwenu, wakuu wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu wanatoka kwenu,mabaloz munachukua kidogo kutoka znz. yaan naweza kero kitabu kizima hapa lakin muda cna. sasa kama sisi tumeungana ilikuwa pawe na usawa.hata kama cc tupo kidogo lakin tulikuwa huru.sisi tumechoka tunataka tupange sera zetu za uchumi sio mutupangie nyinyi.
 
mimi hua nashangaa sana ivi nani anayefaidika na muungano sana kati ya watu wa zanziba na tanganyika? Afu mtu anaongea tene kwa kujiamini kiasi hiki, kama vp jitoeni.
 
Maalimu Seifu ni mlevi wa Madaraka, maslai binafsi ndio yanayomsukuma kusema hayo aliyosema.
 
Back
Top Bottom