Ni jambo la kusikitisha kwamba, wakati nchi ndogo zinajaribu kuungana na nchi jirani ili kuunda Federation au Union kubwa, kuna viongozi kama Maalim Seif wanataka Zanzibar yao wenyewe. Kama Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere alivyosema, mwishoni watataka Pemba yao, na wengine Unguja yao.
Hivi karibuni, East African Community ya Tanzania, Kenya na Uganda walikaribisha Rwanda na Burundi; na mchakato unaendelea kuimarisha soko la pamoja na huduma za pamoja; papo hapo kujaribu kukaribisha D.R.C., Zambia, Malawi na Msumbiji. Sasa huyu Seif alikuwa wapi asipinge, kama anataka kanchi kake ka Zanzibar kawe nchi pekee inayojitegemea?
Large countries with huge populations offer markets which can attract capital for the proper exploitation of natural resources to provide emplyment for the people. The larger the country, the better. Indeed if tiny countries' delegates at the U.N. where Seif wants to go to represent Pemba, start talking, most delegates walk out for smoking, coffee or to prepare their statements. They have no influence and make no impact.