Huyu ni Mpemba na wapemba hawatakiwi Unguja na hawapendwi hili liko wazi so wauguja ndio hawataki kuvunja muungano ni wapemba tu... na wamanga..
Kumbe Watanganyika ndio wamezuia uchimbaji wa mafuta Zanzibar duh Sijalijua hili!!!!
Bado anatafuna maneno! Seif hajatamka kuvunja muungano. Hayo ni maneno ya kutafuna.
Amesema tunataka ujirani mwema kama ule wa Kenya, safi sana! halafu anakula matapishi yake kwa kusema tunataka mkataba na Tanganyika.
Huyu mwanasultani anawavuruga WZNZ hadi waonekane majuha. Ukitaka uhuru unavunja muungano, period.
Unaporudi kusema unataka mkataba ni upuuzi wa kiwango cha kimataifa. Mkataba wa nini nawe unataka uwe huru.
Sisi Tanganyika tunasema hatutaki mkataba, tunataka muondoke zenu!
Mwambieni Seif hoja za kupiuuzi za mkataba mwisho Chumbe! Hatuiihitaji ZNZ jamani!
Seif Sharif Hamad anauma maneno, futa neno mkataba katika hotuba zako weka neno muungano uvunjwe.
Mkataba mwisho Chumbe... ha ha ha haaaa.
Maalim inabidi aanze kuongea sasa baada ya pazia la Uamsho kuondolewa. Mwezi ujao kuna kikao cha bunge la muungano, kama kweli anataka uhuru na akiwa kama makamu wa kwanza wa SUK awaambie wabunge wa Zanzibar hawana ruhusa ya kupanda boti.
FJM,
..hawawezi kugoma kuhudhuria vikao vya bunge la muungano.
..yaani waache mishahara na posho za ubunge kwa ajili ya ZNZ??
Bado anatafuna maneno! Seif hajatamka kuvunja muungano. Hayo ni maneno ya kutafuna.
Amesema tunataka ujirani mwema kama ule wa Kenya, safi sana! halafu anakula matapishi yake kwa kusema tunataka mkataba na Tanganyika.
Huyu mwanasultani anawavuruga WZNZ hadi waonekane majuha. Ukitaka uhuru unavunja muungano, period.
Unaporudi kusema unataka mkataba ni upuuzi wa kiwango cha kimataifa. Mkataba wa nini nawe unataka uwe huru.
Sisi Tanganyika tunasema hatutaki mkataba, tunataka muondoke zenu!
Mwambieni Seif hoja za kupiuuzi za mkataba mwisho Chumbe! Hatuiihitaji ZNZ jamani!
Seif Sharif Hamad anauma maneno, futa neno mkataba katika hotuba zako weka neno muungano uvunjwe.
Only last week Maalim alikwenda Arusha kwa ndege ya Tanganyika! Then anafika huko (Arusha) na kuwambia vijana wanaolipa kodi ya kununulia mafuta ndege iliyomleta, kuwa wanakunywa viroba!
Nadhani muda umefika sasa kila akija Tanganyika watu wamuulize -anafuata nini?
Maalimu kashindwa kutmaka neno vunja muungano, kuna mbunge gani atakayethubutu?Mkataba mwisho Chumbe... ha ha ha haaaa.
Maalim inabidi aanze kuongea sasa baada ya pazia la Uamsho kuondolewa. Mwezi ujao kuna kikao cha bunge la muungano, kama kweli anataka uhuru na akiwa kama makamu wa kwanza wa SUK awaambie wabunge wa Zanzibar hawana ruhusa ya kupanda boti.
Ha ha haa..nao povu linafoka , taratibu usije ukadondoka chini...Muache Maalim Seif atumie uhuru wake wa ki-demokrasia. Bado mawazo ya kidikteta yanakusumbua, yamemshinda baba wenu...
Umesahau hata hewa avuta kutoka Tanganyika ....Brain washed.
takashi, huo sio uhuru wa demokrasia bali ni usanii. Anataka uhuru lakini wakati huo huo anataka 'ndege' ya kumtembeza Tanganyika!
Kama anataka uhuru kwanini kesho asubuhi asiwa-summon wabunge wa zanzibar (walioko bunge la muungano), mawaziri toka zanzibar pamoja na VP na kuwaambia 'face to face' kwamba kuanzia sasa wako 'huru', hawatakiwi tena kuhudhuria vikao au kufanya kazi kwa 'mkoloni'?
Only last week Maalim alikwenda Arusha kwa ndege ya Tanganyika! Then anafika huko (Arusha) na kuwambia vijana wanaolipa kodi ya kununulia mafuta ndege iliyomleta, kuwa wanakunywa viroba!
Nadhani muda umefika sasa kila akija Tanganyika watu wamuulize -anafuata nini?