Maalim Seif: Tunataka Zanzibar yetu!

Maalim Seif: Tunataka Zanzibar yetu!

bahati yenu mmekutana na watanganyika watu wapole maana ingekuwa amri yangu ningeshaamrisha masela kuanza kuchoma maduka na majengo yote ya wapemba huku bara.nyie ngojeni tutawashikisha adabu siku si nyingi maana mnajifanya mnajua kuchonga sana.

thubutu mtazame kitakachotokea lazima mtajuta majuto makubwa ....baada ya hapo HAMTAKUWA NA TANGANYIKA TENA mtakuwa na nchi zisopungua tano humo ndani zitakazo pigana wenyewe kwa wenyewe nitakutajia moja azania itakuwa ni mchanganyiko wa mikoa ya pwani nyengine home work utajibu wewe.
na hamtaweza tena kuitumia coast sea mpaka baada ya mkataba wa amani na zanzibar we have strategic AND serous concern on this JAMUHURI YA WATU WA ZANZIBAR KWANZA'' MUUNGANO BADAEEEEE
''
 
Hivi sisi upande wa Tanzania bara kwanini tunahangaika na watu ambao hawataki muungano na teyari wameonyesha dalili zote za kutokutaka kuendelea na muungano?

Akionge katika mkutano huko Zanzibar leo hii,makamu wa pili wa raisi wa Zanzibar,Maalimu Seif Shariff Hamadi amefikia hatua ya kusema hata swala la uraia lisiwe la muungano!Alifafanua kuwa kuwe na uraia wa Zanzibar na uraia wa Tanganyika!Na kibaya zaidi alishangiliwa na umati wa watu waliohudhuria mkutano huo.

Sasa wadau huo ni mfano mmoja tu wa kauli zenye kuonyesha kuwa hawataki tena muungano.Kwa maana hiyo basi kwanini tusivunje huu muungano?Kwanini sisi watu wa bara tuonekane kulazimisha muungano?Hivi muungano ukivunjika leo ni uaoande gani wa muungano utakaoathirika zaidi kama siyo Zanzibar?.

Ukweli ni kwamba watakaoathirika zaidi kisiasa,kiuchumi na kijamii ni wazanzibari.

Mtoto akililia wembe mpe!

Mimi nafikiria leo angelikuwepo baba yenu wa Taifa, na kukusikia unvyolonga angelekukwa lubango miaka 3, kwani yeye anaijua thamani anayopata Zanzibar, ndio maana leo Tushakwambieni MUUNGANO hatuutaki, lakini nyinyi mmebaki kunga'ngania, Zanzibar ni walimu na hivi Karibuni mtajuwa kitunguu maji au Kachumbari, mtaumwa sana Jiti limeingia ndipo.
 
Mkuu, sera ya Waliberal hua wanaunga kila kitu na kupinga kila kitu, hakuna cha kuchangaza hapo.
 
Wakuu, as Days goes on mie nimekuwa nawashangaa sana wenzetu, Waliberali wa CUF.
Leo Maalim Seif alikuwa Zanzibar kwenye Harakati za Kudai Zanzibar Huru.
Zanzibar yenye Mamlaka Yote, hii ikifanikiwa inamaana kuwa Hakuna Mungano.
Cha ajabu Huyu huyu Mzee, Maalim Seif pamoja na wa Liberali wenzake wa CUF, wanasema Lipumba ndo Rais 2015????????
Haya wameyasemea Morogoro, Tanganyika.
Natatizika hapa, Hawa Jamaa CUF wanataka kutawala Tanganyika na Zanzibara???????
Kuna Sabababu gani ya the Same Maaliim Seif Kudai Mamlaka kamili ya Zanzibar and at the same time Kuja Tanganyika.
Kudai Uuungwaji Mkono na Wa Tanganyika.
Maalim Seif anadai Mamlaka Kamili ya Zanzibar kwa Kofia ya CUF.
Maalim Seif huyu huyu anakuja Tanganyika tena kuomba Wa Tanganyika waunge Mkono CUF????
Jamani Mbona Wa Liberali CUF wamechanganyikiwa hivyo, Mbona Mwana Ndoa mwenzao CCM hafanyi hayo??????
Hivi Wakuu, Liberal Lipumba kwani ni Mzanzibar????


Hebu tujadilini jamani, hawa Wa Liberali wa CUF ni nini hasa wanataka

achana na kiingereza usicho kijua. neno sahihi ni "as days go on" na siyo "as days goes on.." es kwenye go haiwekwi kwa sababu neno days liko ktk wingi (plural) siyo umoja.
 
achana na kiingereza usicho kijua. neno sahihi ni "as days go on" na siyo "as days goes on.." es kwenye go haiwekwi kwa sababu neno days liko ktk wingi (plural) siyo umoja.

Sawa Mliberali,
As "day Goes" unzaidi kuukumbatia Uliberali
 
Kupapasana si sawa na kuwa Mliberali mkuu!
CHADEMA nilikuwa nawakubali sana lakini kumbe ni SAMAKI No.2.,, Kama CUF ni Liberal CHADEMA ni nani? mana chadema viongozi wake wakuu ni wakiristu na wakiristu tunawajuwa kazi zao, kule kanisani kuna siku taa huwa zinazimwa halafu hupapasana sehemu zao kike kwa kiume hadi kweupe asubuhi, Nani Mliberali?
 
Kama ni kura ya maoni mimi nitapiga kura ya ndio Zanzibar ijitegemee. Sioni faida yoyote ya Zanzibar kwa Tanganyika zaidi ya kutunyonya.
 
sasa hayo mamlaka kamili mnataka awape nani? mtanganyika? unavyojua wewe mtanganyika anafaidika na nyinyi au?
 
Inawezekana masikini wananchi wengi wa Zanzibar hawajui kama leo hii Znz bila Tanganyika hawataweza kulipa mishahara wafanyakazi, huduma za kijamii na kiuchumi kama umeme ambavyo vingi wanavipata bure kutoka bara, chuki baina yao kuongezeka, na mambo mengi mabaya ambayo hatutaki yatokee. Kwa tathmini ya haraka haraka ukifuatilia, wa-Tanganyika wengi wanaendelea kuichukia Zanzibar kwa kasi kutokana na Wazanzibar kuonyesha chuki ya wazi na kutaka kujitenga dhidi ya bara. Hii mwisho wa siku itakuwa ni mbaya na watakaoathirika ni wazanzibar. Hivyo kinachotakiwa ni mutual benefits bila kuwapendelea wazanzibar, maana kwa kuwa Zanzibar ni nchi na Tanganyika lazima iwe nchi huru na yenye mamlaka kamili bila kuificha kwenye muungano. Dont't delay to the proper solution for the benefit of next generation
 
mojawapo ya kero yangu kubwa ni huu muungano, why don't we just let them go, and I know they will come back begging for reunion just after few months.
 
CCM mwaka kesho pale dodoma waakaa kuamua ni nani awatawale tena

Mna kazi sana Zenji
 
Inaonekana wake zetu mna mimba ndo maana hamuishi kulalamika,kila siku mnataka mamlaka kamili mshasau kwamba nyie ni mke wa mtu
 
Nyinyi simnao uhuru kamili wa kumwagia watu tindikali na kuua mapadri sasa mnataka uhuru gani zaidi..........?
 
Mnataka! Piganieni komaeni,mkilegea raisi wenu ataendelea kutoka Dodoma.
 
Inaonekana wake zetu mna mimba ndo maana hamuishi kulalamika,kila siku mnataka mamlaka kamili mshasau kwamba nyie ni mke wa mtu

Huoja iko hapo mbona matusi?. Au ndio mukitukana mapenzi yanazidi"?.
Sisi tumekwisha amuwa kuwa tunataka nchi yetu kwa njia ya amani. Vinginevo, musifikiri kuwa Dodoma ni mbali kama noma iwe noma mutaumia nyinyi zaidi. Kuwa na ubongo wacheni utumbo.
 
Back
Top Bottom