duncan wa mbuji
Member
- Jun 12, 2013
- 44
- 8
Lakin tatizo halikimbiwi hila ni kulitafutia ufumbuzi,na huko Zanzibar nako ni muungano wa Unguja na Pemba bado pia matatizo yatakuwepo,kuvunja muungano cyo suluhisho ndugu.
uvunjweeeee......!serikali tatu ni porojo. Muungano uvunjwe, kwani zanzibar ni nchi huru. Kama kuna umuhimu wa kuwa karibu basi iwe shirikisho kama ilivyo jumuiya ya afrika mashariki. Mbona uganda na kenya hamkuzifanya serikali mbili. Hii ni kwasababu ni nchi kubwa na msingeweza kuziburuza. Acha zanzibar iwe huru wajipangie mambo yao kama tanganyika inavyo takiwa kuwa huru. Na hii imeleta matatizo sana wakati wa sharehe ya uhuru kujua ni uhuru wa tanganyika au tanzania
Ndoa ikiwa na kokoro nyingi ni bora ivunjike ili kuepusha balaa.
Mtu unaweza mwagiwa tindikali ukiwa umelala....
Tokea nikuone humu, leo naona kama umeanza kupona kwamba, kidogo yamekuwa kama mawazo ya mtu timamu
Mkuu Muungano huu hautavunjika kirahisi kama unavyodhani!
Kuna wanzanzibar kule hawataki kabisa Zanzibar ijitenge na Tanzania...! Ila kwa sababu ya ubabe na uoga wa watawala fulani huko basi wazanzibar hawa wanaendelea kukaa kimya.
Na hili kuthibitisha haya...siku Zanzibar ikijitenga kutoka Muungano wa Tanzania. Wazanzibar wengi wataomba kuamia Tanzania.
Ila mbaya zaidi kwa Zanzibar inayolazimisha kujitenga (kwa kutengeneza mazingira ya kuikwa Tanzania) ni kuwa wazanzibar waliokimya watalazimisha Kisiwa kilicho na ikulu ya Zanzibar kiwe sehemu ya Jamhuri ya Tanzania. Na hapa ndipo hawa wanaoshadadia kujitenga kwa Zanzibar kutoka Tanzania watakapoonja joto ya jiwe.
Subirini muone.
Ugonjwa wa mtu ni siri ya doktaKwani alikuwa anaumwa ugonjwa gani?
Hayatuhusu hayo,Lakin tatizo halikimbiwi hila ni kulitafutia ufumbuzi,na huko Zanzibar nako ni muungano wa Unguja na Pemba bado pia matatizo yatakuwepo,kuvunja muungano cyo suluhisho ndugu.
Lakin tatizo halikimbiwi hila ni kulitafutia ufumbuzi,na huko Zanzibar nako ni muungano wa Unguja na Pemba bado pia matatizo yatakuwepo,kuvunja muungano cyo suluhisho ndugu.
Tokea nikuone humu, leo naona kama umeanza kupona kwamba, kidogo yamekuwa kama mawazo ya mtu timamu
Lakin tatizo halikimbiwi hila ni kulitafutia ufumbuzi,na huko Zanzibar nako ni muungano wa Unguja na Pemba bado pia matatizo yatakuwepo,kuvunja muungano cyo suluhisho ndugu.
Ukweli ni kwamba watu ni wanafiki. wenye akili timamu wanajua muungano ni huu hauna chochote cha maana, hivyo wanaogopa kusema moja kwa moja hakuna muungano, hivyo taratibu wana anzia kwa serikali tatu...Baadae watasema hakuna haja ya gharama za serikali ya muungano kwanza hauna faida, hivyo wataunjilia mbali. kama sikosei haya maswala ya viongozi wa din kuuwawa inawezekana kabisa ilikuwa ni njia ya kuwaonesha WaTanganyika kwamba wazanzibar hawataki kulzimsishiwa huu muunganoWingu leo hamna.
By the way, huu Muungano mimi sielewi ni kwa faida ya nani. Warioba anasema ni bora kutumia gharama kubwa kuendesha serikali 3 vinginevyo Muungano utavunjika. Sasa mi najiuliza, ukivunjika tunaugua wapi?
Kifadulo cha ubongoKwani alikuwa anaumwa ugonjwa gani?
CCM wangetuachia wananchi tungeuvunja hata kesho.
Lakin tatizo halikimbiwi hila ni kulitafutia ufumbuzi,na huko Zanzibar nako ni muungano wa Unguja na Pemba bado pia matatizo yatakuwepo,kuvunja muungano cyo suluhisho ndugu.
Kwa kuwa lengo kuu la muungano lilikuwa kudumisha usalama na ulinzi katika pwani yetu; na kwa kuwa suala la maendeleo lilichukuliwa for granted kuwa yatapatikana; na kwa kuwa Zanzibar sasa baada ya kujiridhisha na usalama wake; na kwa kuwa Zanzibar inadhani kuwa kuendelea kuwa ndani ya muungano kunachelewesha maendeleo yake na ustawi wa Wazanzibari; na kwa kuwa Zanzibar inataka kujenga uchumi wa huduma(Service economy) badala ya uchumi wa rasilimali;Mkuu Muungano huu hautavunjika kirahisi kama unavyodhani!
Uacheni Muungano ujivunje wenyewe Taratibu , maana baada ya serikali 3 , katika kipindi cha miezi 6 tu ya mwanzo , muungano Utabomoka wenyewe , wala hakuna haja ya kutoa Mapovu ! Kwa rasimu hii Muungano Chali miguu juu !
Kuwa CCM sio lazima ukubaliane na kila kinachosemwa na CCM.Chris, lkn serikali tatu sio sera ta CCM! Au nawe ni mpinzani ndani ya CCM?