z'bar ni MZIGO
mojawapo ya kero yangu kubwa ni huu muungano, why don't we just let them go, and I know they will come back begging for reunion just after few months.
Hamko serious; kama mngekuwa mnataka mamlaka kamili mngekuwa mnasema "Tunataka Tujitoe Kwenye Muungano"... Hamuwezi kuwa na Mamlaka Kamili kama kutakuwa na Muungano wa aina yoyote. So.. do the do!
Hamko serious; kama mngekuwa mnataka mamlaka kamili mngekuwa mnasema "Tunataka Tujitoe Kwenye Muungano"... Hamuwezi kuwa na Mamlaka Kamili kama kutakuwa na Muungano wa aina yoyote. So.. do the do!
Hamko serious; kama mngekuwa mnataka mamlaka kamili mngekuwa mnasema "Tunataka Tujitoe Kwenye Muungano"... Hamuwezi kuwa na Mamlaka Kamili kama kutakuwa na Muungano wa aina yoyote. So.. do the do!
Mamlaka kamili hayawezekani..mamlaka mnayo tena yanatosha sana..kwa sasa tunaitaka Tanganyika
muungano hauwezi kufa kwa hoja za kitoto unazozitoa huku jf, wewe mwanakijiji hauko tanzania, huna uchungu wowote na tanzania, mi nawashangaa sana watu wanaoyakubali mawazo yako, . muungano ni kwa ajili ya maslahi ya wote bara na visiwani, hatuwezi kuwa na serikali tatu haitakaa itokee tanzania hii..trust me ,serikali ni either moja au mbili tu
muungano hauwezi kufa kwa hoja za kitoto unazozitoa huku jf, wewe mwanakijiji hauko tanzania, huna uchungu wowote na tanzania, mi nawashangaa sana watu wanaoyakubali mawazo yako, . muungano ni kwa ajili ya maslahi ya wote bara na visiwani, hatuwezi kuwa na serikali tatu haitakaa itokee tanzania hii..trust me ,serikali ni either moja au mbili tu