Wakuu, as Days goes on mie nimekuwa nawashangaa sana wenzetu, Waliberali wa CUF.
Leo Maalim Seif alikuwa Zanzibar kwenye Harakati za Kudai Zanzibar Huru.
Zanzibar yenye Mamlaka Yote, hii ikifanikiwa inamaana kuwa Hakuna Mungano.
Cha ajabu Huyu huyu Mzee, Maalim Seif pamoja na wa Liberali wenzake wa CUF, wanasema Lipumba ndo Rais 2015????????
Haya wameyasemea Morogoro, Tanganyika.
Natatizika hapa, Hawa Jamaa CUF wanataka kutawala Tanganyika na Zanzibara???????
Kuna Sabababu gani ya the Same Maaliim Seif Kudai Mamlaka kamili ya Zanzibar and at the same time Kuja Tanganyika.
Kudai Uuungwaji Mkono na Wa Tanganyika.
Maalim Seif anadai Mamlaka Kamili ya Zanzibar kwa Kofia ya CUF.
Maalim Seif huyu huyu anakuja Tanganyika tena kuomba Wa Tanganyika waunge Mkono CUF????
Jamani Mbona Wa Liberali CUF wamechanganyikiwa hivyo, Mbona Mwana Ndoa mwenzao CCM hafanyi hayo??????
Hivi Wakuu, Liberal Lipumba kwani ni Mzanzibar????
Hebu tujadilini jamani, hawa Wa Liberali wa CUF ni nini hasa wanataka