mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 5,079
- 5,605
prof na slaa ni mawakala wa ccm kwa muda mrefu sana. mbaya zaidi, walitaka wao ndo wawe wagombea wkt uwezo hawana.
prof hataki slaa awe na slaa hataki prof awe, kila mtu anajiona ni mwamba kumzidi mwenzake. dawa ni kusajili nje yao wote, ndio maana akawa Lowasa.
wapumzike, kazi waliyoifanya tutaikumbuka daima
Na wewe u kibaraka wa nani?