Maalim Seif mwongo sana

Maalim Seif mwongo sana

prof na slaa ni mawakala wa ccm kwa muda mrefu sana. mbaya zaidi, walitaka wao ndo wawe wagombea wkt uwezo hawana.

prof hataki slaa awe na slaa hataki prof awe, kila mtu anajiona ni mwamba kumzidi mwenzake. dawa ni kusajili nje yao wote, ndio maana akawa Lowasa.

wapumzike, kazi waliyoifanya tutaikumbuka daima

Na wewe u kibaraka wa nani?
 
prof na slaa ni mawakala wa ccm kwa muda mrefu sana. mbaya zaidi, walitaka wao ndo wawe wagombea wkt uwezo hawana.

prof hataki slaa awe na slaa hataki prof awe, kila mtu anajiona ni mwamba kumzidi mwenzake. dawa ni kusajili nje yao wote, ndio maana akawa Lowasa.

wapumzike, kazi waliyoifanya tutaikumbuka daima
Kama ulijua makamanda hawa ni wakala wa ccm kwa muda mrefu mbona hujawahi kusema wakati wapo madarakani. Unakuja kusema leo! ! Huu ni ujinga mtakatifu. Utakuwa na wewe ni wakala pia lazima
 
Wewe tulia utashangaa october subiri lowassa aanze kuzunguka utashangaa unampigia makofi na kuanza kumsifia
 
hahaha vzuri vya ukawa ndo vyakuzungumzwa vbaya vyote vya ccm ndo vyakuletwa hum
 
Kuna watu wamezoea kuwa wapinzani wakisikia kushika Dola wanahaha ndo hawa wanaosaliti dakika za mwisho ukawa ni ya wananchi sio ya Viongozi
 
Uongo upo wapi..?usitufanye wajinga na uzi wako uliojaa uzandiki, nimehudhuria mkatano wa ukawa pale mlimani city seif alisema aliongea nae na hakuonesha dalili wala kumwambia kuhusu kujiuzuru, lakini maamuzi ya mtu hubaki nayo moyoni mwake, ulitaka seif aseme nini..? Hujawahi kuona mtu anakuchekea usoni moyoni amejaa chuki..? Think big kid...
 
Juzi wakati wa mkutano wa UKAWA alisimama na kusema kuwa hawana tatizo na mwenyekiti wa CUF bara na kusema wako pamoja katika suala la UKAWA kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi mkuu ila leo PROFESA LIPUMBA kaweka msimamo wake wazi na kusema haungi mkono suala hilo zaidi anachotambua yeye ni ule umoja wa katiba ya wananchi sio huu uliomteua fisadi Lowassa.

Hivi CHADEMA na CUF mnatuchezea watanzania eeee alianza Dkt Slaa amefuata Prof Lipumba tutawatoa kapa agosti kwa huu mchezo mchafu

Lowassa ndiye mgombea.Jiandae kisaikolojia.Mwaka huu CCM Bye Bye!
 
prof na slaa ni mawakala wa ccm kwa muda mrefu sana. mbaya zaidi, walitaka wao ndo wawe wagombea wkt uwezo hawana.

prof hataki slaa awe na slaa hataki prof awe, kila mtu anajiona ni mwamba kumzidi mwenzake. dawa ni kusajili nje yao wote, ndio maana akawa Lowasa.

wapumzike, kazi waliyoifanya tutaikumbuka daima

Kweli mkuu, sisi mapambano yako pale pale.
 
huyo li-pumba c alikuwepo cku lowasa anatambulishwa na aliongea wamekubaliana yote? namshangaa sn huyo prof.

ukisikia mtu mzima hovyo ndio Lipumba hii ni ishara tosha kwamba wananchi tunapohitaji mabadiliko wao wanatuletea mizaha,mtu alikuwepo lowasa akipokelewa leo eti hajui lolote,huyu anatakiwa anatakiwa ajiunge na akina joti na akina bambo maana Comedy inamfaa,Poor Prof.
 
Acheni kukurupuka ndugu seif alikuwa hajui kitu ndio maana lipumba wakati wa mkutano Jana uliahirishwa kwa sababu tu wazee walishtushwa na ujio wa jamaa kuita waandishi wa habari
 
Ndiyo tatizo la mtu form four failure kutaka kuwaburuza ma mr. Na ma professor matokeobyake ndiyo haya.

Uongozi sio shule wewe ebu kuwaza mpolee.... Hata lanne anaweza kukuongoza vizuri na akakupa maendeleo nn wewe bwana Tanzania Kuna maprofesa madesa na sarakasi lipumba
 
Ndiyo tatizo la mtu form four failure kutaka kuwaburuza ma mr. Na ma professor matokeobyake ndiyo haya.

Nyie maproffesor wa ccm na wasomi wakubwa mmeifanyia nini tanzania na watanzania??? Escrow, epa, rada, nyumba za serikali na udharimu wote mmefanya nyie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom