Umeongea point. Wapinzani si wa kuwaaminiHeri hata lowasa amekuja na nguvu na wafuasi wengi,imagine mgombea awe Slaa àu lipumba yaani moja akisimamishwa mengine anajitoa,UKAWA ingekufa,sasa hivi hata wakiondoka lowasa kaziba kila pengo
Waliozaliwa nje ya ccm bado hawajafikisha umri wa kugombea urais, tuliowengi tumezaliwa ndani ya ccm na chama kinapoanzishwa ni lazima kitaiba wanachama flan hasa kutoka chama tawala,Inamaana upinzani wooote hakuna mtu mwenye uwezo wa kuwa rais hadi mfate makapi hii ni fedheha na inaonesha bado upinzani wanatakiwa kujipanga sana....andaeni watu mnakuwa kama taifa starz...hamua daji wachezaji halafu mnashiriki kampeni za kucheza kombe la dunia....
Tutakaofanya mabadiliko ni sisi tunaoteswa na uongozi mbovu wa CCM sio viongozi ambao wana maisha mazuri tofauti na wafuasi wao.
prof na slaa ni mawakala wa ccm kwa muda mrefu sana. mbaya zaidi, walitaka wao ndo wawe wagombea wkt uwezo hawana.
prof hataki slaa awe na slaa hataki prof awe, kila mtu anajiona ni mwamba kumzidi mwenzake. dawa ni kusajili nje yao wote, ndio maana akawa Lowasa.
wapumzike, kazi waliyoifanya tutaikumbuka daima
mkuu kati ya maalimu selfu na Lipunga, aliyeshiriki Vikao vyote vya Kumkaribisha Lowasa na Kumsafisha ni nani? Tumia Akiri, CCM wameshaMpa Mzee Lpumba chakeJuzi wakati wa mkutano wa UKAWA alisimama na kusema kuwa hawana tatizo na mwenyekiti wa CUF bara na kusema wako pamoja katika suala la UKAWA kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi mkuu ila leo PROFESA LIPUMBA kaweka msimamo wake wazi na kusema haungi mkono suala hilo zaidi anachotambua yeye ni ule umoja wa katiba ya wananchi sio huu uliomteua fisadi Lowassa.
Hivi CHADEMA na CUF mnatuchezea watanzania eeee alianza Dkt Slaa amefuata Prof Lipumba tutawatoa kapa agosti kwa huu mchezo mchafu
Tutakaofanya mabadiliko ni sisi tunaoteswa na uongozi mbovu wa CCM sio viongozi ambao wana maisha mazuri tofauti na wafuasi wao.
Juzi wakati wa mkutano wa UKAWA alisimama na kusema kuwa hawana tatizo na mwenyekiti wa CUF bara na kusema wako pamoja katika suala la UKAWA kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi mkuu ila leo PROFESA LIPUMBA kaweka msimamo wake wazi na kusema haungi mkono suala hilo zaidi anachotambua yeye ni ule umoja wa katiba ya wananchi sio huu uliomteua fisadi Lowassa. Hivi CHADEMA na CUF mnatuchezea watanzania eeee alianza Dkt Slaa amefuata Prof Lipumba tutawatoa kapa agosti kwa huu mchezo mchafu
Jamani ntamaholo,sasa hapo nani ccm zaidi,Slaa,Lowasa au Lipumba,,mi nadhani kuna jambo tu km ni u-ccm Huyo EL hata miezi 2bado toka aondoke ccm,heri ya slaa katoka zamani kajenga chama hadi kufika hapo,tusikalili mageuzi wakati ndani yake kuna tatizo itatukosti watanzania wote....asante...
Juzi wakati wa mkutano wa UKAWA alisimama na kusema kuwa hawana tatizo na mwenyekiti wa CUF bara na kusema wako pamoja katika suala la UKAWA kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi mkuu ila leo PROFESA LIPUMBA kaweka msimamo wake wazi na kusema haungi mkono suala hilo zaidi anachotambua yeye ni ule umoja wa katiba ya wananchi sio huu uliomteua fisadi Lowassa.
Hivi CHADEMA na CUF mnatuchezea watanzania eeee alianza Dkt Slaa amefuata Prof Lipumba tutawatoa kapa agosti kwa huu mchezo mchafu
prof na slaa ni mawakala wa ccm kwa muda mrefu sana. mbaya zaidi, walitaka wao ndo wawe wagombea wkt uwezo hawana.
prof hataki slaa awe na slaa hataki prof awe, kila mtu anajiona ni mwamba kumzidi mwenzake. dawa ni kusajili nje yao wote, ndio maana akawa Lowasa.
wapumzike, kazi waliyoifanya tutaikumbuka daima
Uzuri siku hizi teknolojia imekua sana na utunzaji wa kumbukumbu za kimaandiashi,sauti na picha umekua mkubwa tu,sasa angalia hizo picha utagundua nani mnafiki kati ya Seif na Ibrahim.Juzi wakati wa mkutano wa UKAWA alisimama na kusema kuwa hawana tatizo na mwenyekiti wa CUF bara na kusema wako pamoja katika suala la UKAWA kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi mkuu ila leo PROFESA LIPUMBA kaweka msimamo wake wazi na kusema haungi mkono suala hilo zaidi anachotambua yeye ni ule umoja wa katiba ya wananchi sio huu uliomteua fisadi Lowassa.
Hivi CHADEMA na CUF mnatuchezea watanzania eeee alianza Dkt Slaa amefuata Prof Lipumba tutawatoa kapa agosti kwa huu mchezo mchafu
mkuu kati ya maalimu selfu na Lipunga, aliyeshiriki Vikao vyote vya Kumkaribisha Lowasa na Kumsafisha ni nani? Tumia Akiri, CCM wameshaMpa Mzee Lpumba chake
Juzi wakati wa mkutano wa UKAWA alisimama na kusema kuwa hawana tatizo na mwenyekiti wa CUF bara na kusema wako pamoja katika suala la UKAWA kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi mkuu ila leo PROFESA LIPUMBA kaweka msimamo wake wazi na kusema haungi mkono suala hilo zaidi anachotambua yeye ni ule umoja wa katiba ya wananchi sio huu uliomteua fisadi Lowassa.
Hivi CHADEMA na CUF mnatuchezea watanzania eeee alianza Dkt Slaa amefuata Prof Lipumba tutawatoa kapa agosti kwa huu mchezo mchafu
Inamaana upinzani wooote hakuna mtu mwenye uwezo wa kuwa rais hadi mfate makapi hii ni fedheha na inaonesha bado upinzani wanatakiwa kujipanga sana....andaeni watu mnakuwa kama taifa starz...hamua daji wachezaji halafu mnashiriki kampeni za kucheza kombe la dunia....