LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 519
Wasomi wote hufikiria nje ya boksi. Ukiangalia ile picha ya kmupokea huyu FISADI, Prof. Baregu alikuwa ameangalia chini, Dr. Slaa alikuwa anaangalia kwa kushangaa kilichokuwa kinatokea. Leo Prof. Lipumba ameamua kubwaga manyanga! Yaani hawa wasomi wakubwa TZ tuwatilie mashaka au hao vilaza wa CDM waliokimbia shule? Huwezi kunishawishi katika hili. Kuna kitu cha ajabu kinaendelea CDM na wala siyo uzalendo wala Mama Tanzania.Juzi wakati wa mkutano wa UKAWA alisimama na kusema kuwa hawana tatizo na mwenyekiti wa CUF bara na kusema wako pamoja katika suala la UKAWA kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi mkuu ila leo PROFESA LIPUMBA kaweka msimamo wake wazi na kusema haungi mkono suala hilo zaidi anachotambua yeye ni ule umoja wa katiba ya wananchi sio huu uliomteua fisadi Lowassa.
Hivi CHADEMA na CUF mnatuchezea watanzania eeee alianza Dkt Slaa amefuata Prof Lipumba tutawatoa kapa agosti kwa huu mchezo mchafu