Maalim Seif mwongo sana

Maalim Seif mwongo sana

Juzi wakati wa mkutano wa UKAWA alisimama na kusema kuwa hawana tatizo na mwenyekiti wa CUF bara na kusema wako pamoja katika suala la UKAWA kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi mkuu ila leo PROFESA LIPUMBA kaweka msimamo wake wazi na kusema haungi mkono suala hilo zaidi anachotambua yeye ni ule umoja wa katiba ya wananchi sio huu uliomteua fisadi Lowassa.

Hivi CHADEMA na CUF mnatuchezea watanzania eeee alianza Dkt Slaa amefuata Prof Lipumba tutawatoa kapa agosti kwa huu mchezo mchafu
Wasomi wote hufikiria nje ya boksi. Ukiangalia ile picha ya kmupokea huyu FISADI, Prof. Baregu alikuwa ameangalia chini, Dr. Slaa alikuwa anaangalia kwa kushangaa kilichokuwa kinatokea. Leo Prof. Lipumba ameamua kubwaga manyanga! Yaani hawa wasomi wakubwa TZ tuwatilie mashaka au hao vilaza wa CDM waliokimbia shule? Huwezi kunishawishi katika hili. Kuna kitu cha ajabu kinaendelea CDM na wala siyo uzalendo wala Mama Tanzania.
 
prof na slaa ni mawakala wa ccm kwa muda mrefu sana
bakisha na maneno ya kesho, wenzako wako tuko kwenye funga kumuombea mzee wetu dr slaa afanye maamuzi sahihi wewe unaleta kejeli
 
Heri hata lowasa amekuja na nguvu na wafuasi wengi,imagine mgombea awe Slaa u lipumba yaani moja akisimamishwa mengine anajitoa,UKAWA ingekufa,sasa hivi hata wakiondoka lowasa kaziba kila pengo

Kwa hiyo unataka kuniambia Fisadi Lowassa ameileta CCM yake UKAWA. Au una maana gani?
 
Lipumba alikuwa anautaka urais jamani...

Sasa kapokonywa tonge mdomoni hivyo kapigwa na bumbuwazi...
 
Uzuri siku hizi teknolojia imekua sana na utunzaji wa kumbukumbu za kimaandiashi,sauti na picha umekua mkubwa tu,sasa angalia hizo picha utagundua nani mnafiki kati ya Seif na Ibrahim.

Vikao vya kumpitisha LOWASA kuwa mgombea urais ndivyo vimemchefua Profesa...kingine mwenzio katubu na kujutia maamuzi yake...kama ilivyo kwa DKT.SLAA
 
Kaa sikiliza speech ya lipumba utagundua alikuwa anaburuzwa...mwenzenu kachoka na amesema nafsi inamsutaaa....alifanya kosa na kaona anamkosea mungu wake na watanzania ndio maana katubu
Angalia Picha hapo juu, utajua Mnafiki nani? Tumia akili, kwani kuwawanachama wa ccm, hata akili nayo inaondoka? eheee kazi kweli kweli
 
Hawa akina sefu na mbowe wamekula pesa nyingi sana toka kwa lowasa wahuni sana hawa jamaa.
 
Vikao vya kumpitisha LOWASA kuwa mgombea urais ndivyo vimemchefua Profesa...kingine mwenzio katubu na kujutia maamuzi yake...kama ilivyo kwa DKT.SLAA

hana impact kwenye UKAWA let him rest in peace!!
 

Attachments

  • 1438878852027.jpg
    1438878852027.jpg
    153.4 KB · Views: 193
Vikao vya kumpitisha LOWASA kuwa mgombea urais ndivyo vimemchefua Profesa...kingine mwenzio katubu na kujutia maamuzi yake...kama ilivyo kwa DKT.SLAA
Sahihi kabisa Lipumba ameona kabisa kilichofanyika kumpokea yule fisadi ni sawa na zina hivyo kajinasua kwenye balaa hili.
 
Yaani ww ni mpuuzi kweli., Maalim alipanda juzi kwenye jukwaa na kusema alichokuwa anakifahamu mpaka dakika ya mwisho alipokuwa na Prof. Lipumba, habari rasmi ya Prof Lipumba kujiuzulu ni leo baada ya yeye mwenyewe kwenda kwenye media na kutangaza.

Sasa kuna uhusiano gani baina ya juzi Maalim Seif alivyosema anachokijuwa kwa mara ya mwisho kwa Lipumba na kilichotokea leo ambacho hakuna binaadamu yeyote mwenye upeyo wa kujuwa kitakachotokea keshokutwa???

mwongo ni babako ambaye amekudanganya kukuzaa na mamako kumbe mamayak ni mwengine.

Matusi hayasaidii zaidi ya kujishushia heshima yakooo......kwa inawezekana huwezi read fellings za mtu akiwa anazingumza alikuwa anadanganya wazwaz...we endelea kutukana
 
Nimemsikia Lipumba akisema alishiriki vikao vyote vya kumkaribisha Lowasa na kumjadili mpaka walipokubaliana sasa tatizo lipo wapi zaidi amepasha kadi yake inamalizika mwaka 2020 ,pia ametumia demokrasia na zaidi Seif kwa muda aliotamka alikuwa hajui yaliyo moyoni mwa Lipumba.Hata Seif akijiuzulu bado CUF itabaki palepale ,unapoondoka pale ulipopawacha wenzako wanapakodolea macho.
 
Juzi wakati wa mkutano wa UKAWA alisimama na kusema kuwa hawana tatizo na mwenyekiti wa CUF bara na kusema wako pamoja katika suala la UKAWA kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi mkuu ila leo PROFESA LIPUMBA kaweka msimamo wake wazi na kusema haungi mkono suala hilo zaidi anachotambua yeye ni ule umoja wa katiba ya wananchi sio huu uliomteua fisadi Lowassa.

Hivi CHADEMA na CUF mnatuchezea watanzania eeee alianza Dkt Slaa amefuata Prof Lipumba tutawatoa kapa agosti kwa huu mchezo mchafu

Mkuu ndo leo unagundua uongo wa wanasiasa! Hakuna mwanasiasa mkweli. Ukiwa mkweli wewe ni mwana sayansi siyo mwana siasa.
 
Matusi hayasaidii zaidi ya kujishushia heshima yakooo......kwa inawezekana huwezi read fellings za mtu akiwa anazingumza alikuwa anadanganya wazwaz...we endelea kutukana

alivyotukwana makamo wa Kwanza wa Rais kwamba ni muongo ata hukusema chochote.
 
Juzi wakati wa mkutano wa UKAWA alisimama na kusema kuwa hawana tatizo na mwenyekiti wa CUF bara na kusema wako pamoja katika suala la UKAWA kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi mkuu ila leo PROFESA LIPUMBA kaweka msimamo wake wazi na kusema haungi mkono suala hilo zaidi anachotambua yeye ni ule umoja wa katiba ya wananchi sio huu uliomteua fisadi Lowassa.

Hivi CHADEMA na CUF mnatuchezea watanzania eeee alianza Dkt Slaa amefuata Prof Lipumba tutawatoa kapa agosti kwa huu mchezo mchafu
MaCCM bhana. Mtaja.mba sana mwaka huu.
 
Huyu lipumba hata simuelewi. Vikao vyote alikuwepo tena mpaka wakakumbatiana na kucheka pamoja na el ambaye ndiye mmoja wa aliyepitisha katiba pendekezwa. Ina mana hakujua hayo? Nina wasiwasi lipumba kapewa mlungula mana hoja yake haina mashiko ukifuatilia movie yake yote.
 
Maalim anakupiga uwongo halafu anamalizia kwa kusema "sawa sawa"
 
Kwa sasa UKAWA ndio uongozi mbaya zaidi na unatafunwa na rushwa na hii ni ishara tosha toka Kwa mungu mapema kabisa tumefunuliwa kuwa hawa jamaa hawana msimamo kabisa

tumeoneshwa rangi zao halisi mapema sana.
 
prof na slaa ni mawakala wa ccm kwa muda mrefu sana. mbaya zaidi, walitaka wao ndo wawe wagombea wkt uwezo hawana.

prof hataki slaa awe na slaa hataki prof awe, kila mtu anajiona ni mwamba kumzidi mwenzake. dawa ni kusajili nje yao wote, ndio maana akawa Lowasa.

wapumzike, kazi waliyoifanya tutaikumbuka daima
Leo ndo mnaona kama wasaliti! siku zote mliwaona mashujaa. Binadamu wabaya jamani! Myuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom