Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,183
- 10,920
Seif ni mwanasiasa ambaye historia itakuja kumpa nishani hata akiwa kaburini.Ameona mbali kura ya leo ndiyo itakayowapa ushindi CCM wakipiga peke yao.Askari waliopiga kura leo kesho mapema watakuwa mitaani kuzuia wapiga kura wa Seif kwenda vituoni.Kwa maana hiyo kura ni leo sote na kesho sote au isiwepo kabisa.Safi... Kupiga kura ni kesho, yeye anaenda leo kama nani?