Hawa watu wanafanya DIVERSION kutokana na stress zao wakijuwa wanakabiliwa na sindikizo la kimataifa kuhusu sakata la Zanzibar.
Maalim Seif wanamuota na wanamuandalia kila ubaya. Tafsiri ya taarifa hii ni mbili.
i. Mpango wao wa kuivuruga CUF kuna point waliitega kupitia msajili kupandikiza mgogoro ili waidhoofishe CUf au kuifuta kwa kisingizio cha migogoro. Kwa sasa wanatafakari kuchukuwa maamuzi lakini wanasnoop public attention na kuuelekeza upepo wa Maalim Kutafuta chama . Hao ni usalama wa Taifa wako kazini kuisaidia CCM.
ii. Sindikizo la kimataifa kupatiwa suluhu suala la Zanzibvar, muda wa ahadi umekaribia na wanacheza na mindset za watu kupotezea na kuwashughulisha watu na wana cuf kuamini kuwa kuna usaliti na kuwakatisha tamaa .
Maalim Seif wanamuota na wanamuandalia kila ubaya. Tafsiri ya taarifa hii ni mbili.
i. Mpango wao wa kuivuruga CUF kuna point waliitega kupitia msajili kupandikiza mgogoro ili waidhoofishe CUf au kuifuta kwa kisingizio cha migogoro. Kwa sasa wanatafakari kuchukuwa maamuzi lakini wanasnoop public attention na kuuelekeza upepo wa Maalim Kutafuta chama . Hao ni usalama wa Taifa wako kazini kuisaidia CCM.
ii. Sindikizo la kimataifa kupatiwa suluhu suala la Zanzibvar, muda wa ahadi umekaribia na wanacheza na mindset za watu kupotezea na kuwashughulisha watu na wana cuf kuamini kuwa kuna usaliti na kuwakatisha tamaa .